Ndivyo nilivyo .... Niko hivo....

Ndivyo nilivyo .... Niko hivo....

Huyo bi shosti ni complicator kuna wadada waiga uzungu had wawa vtuko wengine ukiwakuta na ma style ya ajabu ya nywele, kujichubua ndo usiseme, bora kujiamini nakuwa natural
 
Kabisaaa dada Kasie ..huwezi ukaishi kwa principle za watu wengine. Kufuata mkumbo ni dalili za kutojiamini.. Mwanamke mjanja anajiamini.

Kabisa, mie tangu niko shule ya msingi nilikataa kuwa kwenye kundi la kufata mkumbo. Maana shuleni kwetu kulikuwa na wale watoto waliotoka familia bora basi wakati wa mapumziko alienda mahali utaona kundi linamfata. Akigombana na mtu basi kundi zima na wao hawaongei na yule mtu. Kiufupi hizi team dengue team vitumbua sijui hazikuanza leo. Mie nafanya kile ninachokipenda na ninachokiamini na ushauri ambao akili yangu umeikataa naukalia huo ushauri ila ushauri ambao unaninufaisha hata mie naufanyia kazi.

Nimejikuta nimekua hivyo sasa huyu dada wa leo naona alikuwa hajajua Kasie yukoje, baada ya bandiko hili atajua na kumfahamu Kasie sawia.
 
Kabisa, mie tangu niko shule ya msingi nilikataa kuwa kwenye kundi la kufata mkumbo. Maana shuleni kwetu kulikuwa na wale watoto waliotoka familia bora basi wakati wa mapumziko alienda mahali utaona kundi linamfata. Akigombana na mtu basi kundi zima na wao hawaongei na yule mtu. Kiufupi hizi team dengue team vitumbua sijui hazikuanza leo. Mie nafanya kile ninachokipenda na ninachokiamini na ushauri ambao akili yangu umeikataa naukalia huo ushauri ila ushauri ambao unaninufaisha hata mie naufanyia kazi.

Nimejikuta nimekua hivyo sasa huyu dada wa leo naona alikuwa hajajua Kasie yukoje, baada ya bandiko hili atajua na kumfahamu Kasie sawia.
Nimekutana nao sana hao..yaani wanakuwa boss wa group hahahhaa nonsense!
Kujiamini na kujikubali starts with you..nimependa ulivyomkazia huyo dada kwanza. Maana anadhani wanawake wote inabidi tuishi kwa kufanana. Na ingekuwa hivyo humo majumbani na mabarabarani kusingetosha..
 
Habari za jumapili,

Mmh iko hivi...

Kasie ana mazoea yake na kawaida zake sasa usifikiri hata siku moja utatoka huko ulikotoka ukambadilisha Kasie muonekano wake au haiba yake.

Duniani hatulingani hata kidogo kama ambavyo tumeumbwa kwa namna tofauti tofauti ndivyo ambavyo haiba na mionekano yetu haiwezi kufanana.

Yaweza kutokea mtindo wa kisasa wa nywele au nguo au mavazi au nakshi ambazo wewe ukaona ni swaga kwa mschana au mdada yeyote basi usilazimishe nami niwe kama hao. Mfano sasa hivi kuna mtindo wa nywele bandia za kutoka Brazil ambazo mdada au mschana akivaa hizo nywele huonekana kama zake na zina bei hadi laki 9 na watu wananunua. Aiseeh kama hizo swaga hazipandi akilini mwangu hatoniona nimetinga. Vivyo hivyo kwenye vitu vya urembo kama rangi za mwili rangi za kucha au rangi za mdomo na nyusi.
Wako walioniita mshamba bin wakuja bin wazamani wengine wakasema mie ni shkamoo jazz band.... sawa ila nafanya navaa na kupaka kitu kwenye mwili wangu ambacho nimeridhika nacho na kwa asilimia kubwa kama si 97 huwa naambiwa nimependeza kutoka majirani, kanisani, sokoni hadi kazini.

Imenilazimu kuandika haya baada ya kukutana na mdada leo kanisani yuko eeh Kasie mbona unajizeesha kuvaa haya magauni ya kutarizi ya kizee? Halafu nywele mbona hiyo ni mitindo ya zamani? Nikamsalimu nikaingia kwenue gari na kurudi nyumbani maana ibada ilikuwa imeisha na sikutaka kupoteza upako wangu wa jumapili maana nilihisi ninhefunua mdomo kumjibu ningemtukana halafu ingekuwa mbaya zaidi.

Mchana baada ya kupata mlo wa mchana nyumbani nikaenda zangu mahali kuna mambo flani nilikuwa nafatilia nikakutana na mkaka tulisomaga nae chuo yuko ooh Kasie za siku mingi na makumbato mengi na busu za gafla za mashavu za kurudia rudia.... baada ya muhtahsari wa salamu akaniambia you still look good... hahaha tukaagana kila mtu anaendelea na yake.

Yawezekana huyo mkaka alinisifia ile ya mwanaume kawaida kimsifia mwanamke hata kama hajapendeza walau kuonekana ameongea na huyo mdada.

Sina shida na hilo ila nimejikuta Kasinde nafanya mambo kwa ajili yangu na si kwa ajili ya mtu au watu wanione.

Nikifanya mazoezi ni kwa ajili ya afya yangu na mie niwe fit kwa jinsi ninavyojipenda na si kwasababu flani anione. Ukiniambia tutoke out usitarajie ntaenda kununua nguo na kwenda saluni kwa ajili unione niko vizuri, ntakuja mtanashati kama sikuzote nnavokuwaga mtanashati.

Nikienda saluni kutengeneza nywele au kucha ni kuwa muda wangu wa kwenda kusuka au kutengeneza kucha umefika. Nikinunua nguo ni kwasababu nimeipenda na ntaivaa kwenye tukio lolote litalotekea au hata siku ya kawaida.

Hivo wee bidada (yupo humu) wiki ijayo ukiniona kanisani uwe ushapata jibu la maswali yako.

Poleni kwa maelezo marefu, ndivyo nilivyo hehehe.

Kasie.
Tuma picha tukuone unavyoonekana tuwashauri na mapank wetu
 
Am me always .... I do....

If I go to gym not because of bae it's because I like to do it same way if I diet or why I shop....

Snsidubehdudbenzzjvdhdisgebsjzizhdbssjnssn

Are you you or for them? Do you do for you or for them?

(There's only one thing.... you know I do for whom)
Ggjhfxfjjhgffhjjvfxgnmbbmmgcvbnkkjkhvvvvvbbbnnn
 
Unafaa kuwekwa pambo nyumbani..sio hawa wengine mpaka mnanuniana kisa fulani ana nguo mpya yeye hana..
 
Huyo bi shosti ni complicator kuna wadada waiga uzungu had wawa vtuko wengine ukiwakuta na ma style ya ajabu ya nywele, kujichubua ndo usiseme, bora kujiamini nakuwa natural

Yeah japo kila mtu yuko huru kufanya kile atakacho, nnachogomba mie ni kulazimisha Kasie awe kama flani au asifanye hicho kwakuwa ni ushamba au haendi na wakati na si kuwa nguo imetatuka au aje basi tuu uwafurahishe wao noop mie nawaambia siko hivyo, niko hivi unionavyo kila siku.
 
Nimekutana nao sana hao..yaani wanakuwa boss wa group hahahhaa nonsense!
Kujiamini na kujikubali starts with you..nimependa ulivyomkazia huyo dada kwanza. Maana anadhani wanawake wote inabidi tuishi kwa kufanana. Na ingekuwa hivyo humo majumbani na mabarabarani kusingetosha..

Kabisaa wako ambao walikuwa na nao wanawafatisha, utakuta mtu anajiona yeye ndo fashonista ukikutana nae anakwambia alivyokremisha au kuviona flani kafanya ndo anataka na wewe uwe hivyo.

Utasikia yaani wewe hapo ungevaa kiatu cha wedge na top fupi halafu na pochi ya kinyaia basi ungetokelezea..... hehee mie nawaambia hapa nimetokelezea ki Kasie Kasie na kuna wanaoigaga swaga zangu hivo wallah mradi tuu sitembei utupu.
 
Unafaa kuwekwa pambo nyumbani..sio hawa wengine mpaka mnanuniana kisa fulani ana nguo mpya yeye hana..

Hahahahaha asantee hatulingani, ila yafaa kuwaelewesha kuwa kuwa vitu vya muhimu au vya lazima na vile vitu vya ziada kizungu wanasema basic needs (necessity things) and luxury things..
 
Naona umeamua kukamua ndimuu!!
Asha usoma huu uzii??

Ibilisi acha uchochezi,

Umenifanya nikumbuke kipindi Yesu anajaribiwa na ibilisi akimwambia Yesu ageuze mawe yawe mkate kama kweli yeye ni mwana wa Mungu au masujudie kisha apewe ulimwengu wote.... ila ibilisi alitolewa knock out....
 
Ibilisi acha uchochezi,

Umenifanya nikumbuke kipindi Yesu anajaribiwa na ibilisi akimwambia Yesu ageuze mawe yawe mkate kama kweli yeye ni mwana wa Mungu au masujudie kisha apewe ulimwengu wote.... ila ibilisi alitolewa knock out....
eeeeeh
basi yaishee
Hilo Jina la yesu nikisikia huwa sina ujanjaa
 
Habari za jumapili,

Mmh iko hivi...

Kasie ana mazoea yake na kawaida zake sasa usifikiri hata siku moja utatoka huko ulikotoka ukambadilisha Kasie muonekano wake au haiba yake.

Duniani hatulingani hata kidogo kama ambavyo tumeumbwa kwa namna tofauti tofauti ndivyo ambavyo haiba na mionekano yetu haiwezi kufanana.

Yaweza kutokea mtindo wa kisasa wa nywele au nguo au mavazi au nakshi ambazo wewe ukaona ni swaga kwa mschana au mdada yeyote basi usilazimishe nami niwe kama hao. Mfano sasa hivi kuna mtindo wa nywele bandia za kutoka Brazil ambazo mdada au mschana akivaa hizo nywele huonekana kama zake na zina bei hadi laki 9 na watu wananunua. Aiseeh kama hizo swaga hazipandi akilini mwangu hatoniona nimetinga. Vivyo hivyo kwenye vitu vya urembo kama rangi za mwili rangi za kucha au rangi za mdomo na nyusi.
Wako walioniita mshamba bin wakuja bin wazamani wengine wakasema mie ni shkamoo jazz band.... sawa ila nafanya navaa na kupaka kitu kwenye mwili wangu ambacho nimeridhika nacho na kwa asilimia kubwa kama si 97 huwa naambiwa nimependeza kutoka majirani, kanisani, sokoni hadi kazini.

Imenilazimu kuandika haya baada ya kukutana na mdada leo kanisani yuko eeh Kasie mbona unajizeesha kuvaa haya magauni ya kutarizi ya kizee? Halafu nywele mbona hiyo ni mitindo ya zamani? Nikamsalimu nikaingia kwenue gari na kurudi nyumbani maana ibada ilikuwa imeisha na sikutaka kupoteza upako wangu wa jumapili maana nilihisi ninhefunua mdomo kumjibu ningemtukana halafu ingekuwa mbaya zaidi.

Mchana baada ya kupata mlo wa mchana nyumbani nikaenda zangu mahali kuna mambo flani nilikuwa nafatilia nikakutana na mkaka tulisomaga nae chuo yuko ooh Kasie za siku mingi na makumbato mengi na busu za gafla za mashavu za kurudia rudia.... baada ya muhtahsari wa salamu akaniambia you still look good... hahaha tukaagana kila mtu anaendelea na yake.

Yawezekana huyo mkaka alinisifia ile ya mwanaume kawaida kimsifia mwanamke hata kama hajapendeza walau kuonekana ameongea na huyo mdada.

Sina shida na hilo ila nimejikuta Kasinde nafanya mambo kwa ajili yangu na si kwa ajili ya mtu au watu wanione.

Nikifanya mazoezi ni kwa ajili ya afya yangu na mie niwe fit kwa jinsi ninavyojipenda na si kwasababu flani anione. Ukiniambia tutoke out usitarajie ntaenda kununua nguo na kwenda saluni kwa ajili unione niko vizuri, ntakuja mtanashati kama sikuzote nnavokuwaga mtanashati.

Nikienda saluni kutengeneza nywele au kucha ni kuwa muda wangu wa kwenda kusuka au kutengeneza kucha umefika. Nikinunua nguo ni kwasababu nimeipenda na ntaivaa kwenye tukio lolote litalotekea au hata siku ya kawaida.

Hivo wee bidada (yupo humu) wiki ijayo ukiniona kanisani uwe ushapata jibu la maswali yako.

Poleni kwa maelezo marefu, ndivyo nilivyo hehehe.

Kasie.
Safi sana sistaaa hua naomba mungu sana nimpate mwanamke kama wewe vipi mae umeolewa??
 
Back
Top Bottom