Ndivyo nilivyo .... Niko hivo....

Ndivyo nilivyo .... Niko hivo....

Wanakera kweli watu wa ivyo!!! Unakuta mtu hakununulii ata pipi ya hamsini lakini kazi kukukosoa! Kila mtu na misimamo yake kimaisha... Ukifuata watu wanavyoishi hautasonga mbele. Achana nao Kassie...
YOU ARE THE BEST AT BEING YOU

Kabisa yaani hawanisumbui sana ssna wakinikera huwa nawaambia ndivyo nilivyo basi.
 
Si vibaya! Ndo mana inaitwa ushauri... Unaweza ufuata au kutoufuata. Ukiwa na msimamo hutayumbishwa na maneno ya watu! Afu watu wengine wanakosa busara jinsi ya kushauri! Kama huyo dada kamkwaza mwenzake akati ametoka kanisani.

Umeona eeeh asingepungukiwa na kitu kama angesema Kasie, mimi ningependa ungevaa gauni la satin au shifon maana si kile nipendacho mimi na yeye anakipenda. Ni wastaarabu tuu ndo huheshimu uchaguzi au mapendekezo ya mtu. Japo kuna wale ambao kiukweli ukiwatizama tuu wamevaa si sawa hawa waweza waambia ila swala la kwenda na mitindo na wakati wacha wanipite kwanza siko umri wao hata sielewagi kwanini wananisisitiza kuwa kama wao.

Au ndo ile wanataka uonekane kama kinyago ili wakucheke. Watu wabaya sana, hivi unafikiri wema sepenga alianza tuu kupaka mkorogo na kuongeza tako? Walimletea na kumshawishi na kumwambia umependeza huku akiondoka wanamng'ong'a. Yataka utumie za kuzaliwa uwanga'amue watu wa hivi na kuwaepuka maana kwa muda huo kwako wanakuwa wanatafuta hela na ukiharibikiwa ndo hao hao utasikia... wema tako kama tofali. .. ooh mkorogo hapo hawezi rudi kama zamani.... watu wabaya sana mweeh nashukuru Mungu kuzaliwa mbishi maana saa ingine ukiwaitikia kila kitu watakuletea hadi puu upake.
 
Na ndivyo unatakiwa uwe ili uweke utofauti na wao
Sio tuu kuwa tofauti nao ni kuwa tuu unakuta nikijaribu kufanya hayo huwa nakosa ujasiri mbele za watu nahisi nikitabasamu wataona kama nimekunja uso nalia au kama nimelamba ndimi hivo kuipa shida akili yangu kuwaza anayenitazama anaona sawa au kituko aaah sasa adhabu yote hiyo ya nini?

Hata nikihusishwa kwenye shughuli ambazo nahitajika nipake rangi za mwili (make up) basi nikitoka hapo lazima yule mpambaji alalamike juu yangu maana wale nao hawatakagi kukosolewa. Anachoona yeye anaona yuko sahihi mie nikifika namwambia wanja na rangi ya mdomo nipe nipake mwenyewe.... hiyo foundation kila akipaka naangalia kisha namwambia hapo basi akisema bado nanyanyuka yaani sio nakuwa msumbufu makusudi ila nawaza kwanini naondolewa uhuru wangu wa kutabasamu?

Niko hivyo ana ndivyo Kasie alivyo.
 
kumbe hupendi ushauri huwezi kuwa upo sawa kila kitu lakini ujue

Hujanipata sawia, nashaurika ila hunilazimishi kuwa kama wanamitindo au waigizaji au kuendana na mtindo ulioingia. Niko hivyo.
 
Be you, do you!

Am me always .... I do....

If I go to gym not because of bae it's because I like to do it same way if I diet or why I shop....

Snsidubehdudbenzzjvdhdisgebsjzizhdbssjnssn

Are you you or for them? Do you do for you or for them?

(There's only one thing.... you know I do for whom)
 
Kasinde, nenda hapo kwa Mangi kunywa tani yako nakuja kulipa. Yaani unakuta binti kajaliwa ngozi nyororo ya huu weusi unaong'ara halafu ameiharibu kwa mkorogo kisa naye awe kama wengine. Huwa nasikitika sana!

Hahahahaaa asante, nimechukua chupa moja tuu ya Dodoma wine, natumai sijaharibu budget hehehe. Kiukweli wafanyabiashara wabaya sana wao wanaangalia pesa wanayoingiza ila kujali ngozi ya mwenzao akuu daah. Inasikitisha kwakweli.
 
Unakuta anakuwa kama kinyago[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Aaah mie yalinishinda hayo nikitupia wanja na lipshine au red lipstick mwendo mdundo. Kichwani yeboyebo au vibutu nimemaliza.
 
Definitely mkamilifu ni Muumba The almighty, so there has to some elements as u have said, though zinakuwa very minor as compared na mtu mwingine
Ni kwelii
 
Been around. Waited in vain for your invitation to church.

Hahahahahahaa stay tuned on 25th September 2016 please be our guest - church

Didn't know that that you were waiting for the invitation. As I was waiting for lens glasses inspection naked thing..... hehehehe

Missed you... alot!!
 
Back
Top Bottom