Ndivyo itakavyokua..!

Ndivyo itakavyokua..!

ZeMangi

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2011
Posts
436
Reaction score
33
Siku ya mwisho nitakapokabidhiwa kitabu cha hukumu huko Mbinguni,
MUNGU:Mangi shika kitabu hiki,wasome wale watakatifu wapite mkono wa kulia...na wale watenda maovu mkono wa kushoto kwenye ziwa la moto.
MANGI:Sawa bosi,
Wana JF wote walioshiriki kuwaponda wachaga....KUSHOTO....,
wana CCM wote KUSHOTO....
Wachaga wote KULIA...
Wana CHADEMA KULIA.,
Osama KULIA...
Obama KUSHOTO...
Saddam KULIA...
J.K KUSHOTO...
Slaa na kabwe KULIA...
Ila nafasi ya kuingia uzimani ipo,ni wewe tu kunitoa na kiasi chochote cha fedha
 
Sasa Bwashee kula buku basi mi niende zangu peponi...
 
Siku ya mwisho nitakapokabidhiwa kitabu cha hukumu huko Mbinguni,
MUNGU:Mangi shika kitabu hiki,wasome wale watakatifu wapite mkono wa kulia...na wale watenda maovu mkono wa kushoto kwenye ziwa la moto.
MANGI:Sawa bosi,
Wana JF wote walioshiriki kuwaponda wachaga....KUSHOTO....,
wana CCM wote KUSHOTO....
Wachaga wote KULIA...
Wana CHADEMA KULIA.,
Osama KULIA...
Obama KUSHOTO...
Saddam KULIA...
J.K KUSHOTO...
Slaa na kabwe KULIA...
Ila nafasi ya kuingia uzimani ipo,ni wewe tu kunitoa na kiasi chochote cha fedha

Kuna watu mna vipaji vya kuchekesha wenzenu! Sikutegemea kucheka usiku huu! Majirani ambao hata sijawaona siku kadhaa wamekuja kunigongea
 
Siku ya mwisho nitakapokabidhiwa kitabu cha hukumu huko Mbinguni,
MUNGU:Mangi shika kitabu hiki,wasome wale watakatifu wapite mkono wa kulia...na wale watenda maovu mkono wa kushoto kwenye ziwa la moto.
MANGI:Sawa bosi,
Wana JF wote walioshiriki kuwaponda wachaga....KUSHOTO....,
wana CCM wote KUSHOTO....
Wachaga wote KULIA...
Wana CHADEMA KULIA.,
Osama KULIA...
Obama KUSHOTO...
Saddam KULIA...
J.K KUSHOTO...
Slaa na kabwe KULIA...
Ila nafasi ya kuingia uzimani ipo,ni wewe tu kunitoa na kiasi chochote cha fedha
Teh eth,nice stuff & agreed.
 
Utakaowapeleka kushoto ni wengi. Demu aliyekupiga kibuti kushoto, HR aliyokutosa job, kushoto... Aliyekunyang'anya demu wako, kushoto,,,
 
Siku ya mwisho nitakapokabidhiwa kitabu cha hukumu huko Mbinguni,
MUNGU:Mangi shika kitabu hiki,wasome wale watakatifu wapite mkono wa kulia...na wale watenda maovu mkono wa kushoto kwenye ziwa la moto.
MANGI:Sawa bosi,
Wana JF wote walioshiriki kuwaponda wachaga....KUSHOTO....,
wana CCM wote KUSHOTO....
Wachaga wote KULIA...
Wana CHADEMA KULIA.,
Osama KULIA...
Obama KUSHOTO...
Saddam KULIA...
J.K KUSHOTO...
Slaa na kabwe KULIA...
Ila nafasi ya kuingia uzimani ipo,ni wewe tu kunitoa na kiasi chochote cha fedha
FF, Maleria sugu, Rejeo, .............. Hawa hata kwenye mkutano wa hukumu hawatakuwepo maana watakuwa washangulia kushoto
 
Ghafla mara Mangi kaniweka kushoto na Mungu akamwambia Mangi geuka nikajikuta niko mkono wa kulia
 
Siku ya mwisho nitakapokabidhiwa kitabu cha hukumu huko Mbinguni,
MUNGU:Mangi shika kitabu hiki,wasome wale watakatifu wapite mkono wa kulia...na wale watenda maovu mkono wa kushoto kwenye ziwa la moto.
MANGI:Sawa bosi,
Wana JF wote walioshiriki kuwaponda wachaga....KUSHOTO....,
wana CCM wote KUSHOTO....
Wachaga wote KULIA...
Wana CHADEMA KULIA.,
Osama KULIA...
Obama KUSHOTO...
Saddam KULIA...
J.K KUSHOTO...
Slaa na kabwe KULIA...
Ila nafasi ya kuingia uzimani ipo,ni wewe tu kunitoa na kiasi chochote cha fedha
Tehe tehe tehe tehe tehe tehe!!!! Ze Mangi nakupa buku tano na kwenye uchaguzi nitapigia CDM, niambie niende wapi?
 
zemangi ukimaliza kusoma na ww boss atakwambia pita .....?
 
Back
Top Bottom