sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
kushotospika kushoto kulia?
kushotospika kushoto kulia?
yeye mangi alikuwa upande gani?
mkuu wa kaya bhana hakuna kujadili hata yeye anajua akija tu anapata makofi kadhaa alafu mwenyewe bila kuambiwa anajinyookea kiulaiiiiniiii pande za kushoto
Mara Mungu akamwambia ze mangi, hebu geuka kule unaitaje majina huku umenigeukia. Mara mangi alipogeuka mbele akawa amewapeleka wapendwa wake kushoto. Na mungu akamwambia, wafuate walio wako
>Walokole wote KUSHOTO...
>Mateja wote KULIA....
>Machangudoa wote....mhh..!hawa cjui waende wapi!!!
>Walevi....hapa inahitaji busara kuchagua.
>Wanaoenda kanisani sana lkn hawatoi sadaka KUSHOTO.
>Wabunge wote wa vyama pinzani ...KULIAAAA!
>Torres alikosa magoli cku Chelsea walipocheza na Man u...KUSHOTO,
>Refa aliyempa Drogba na Bosingwa Red card...KUSHOTO,
>Nani mwingne aende kulia or kushoto?
Searching...100%
Loading...0%
Network failed
kweli jombaa,hawa watawekwa kati hahahahahahaha....
ukiwatia kushoto au kulia watashangaa sana maana matendo yao hayaruhusu kutiwa kushoto wala kulia labda uwatie mbele yako au uwatie nyuma mpaka umalize watu wote ndio uwarudie uwatie kushoto na wengine kulia
mimi vipi!!!!!