>Walokole wote KUSHOTO...
>Mateja wote KULIA....
>Machangudoa wote....mhh..!hawa cjui waende wapi!!!
>Walevi....hapa inahitaji busara kuchagua.
>Wanaoenda kanisani sana lkn hawatoi sadaka KUSHOTO.
>Wabunge wote wa vyama pinzani ...KULIAAAA!
>Torres alikosa magoli cku Chelsea walipocheza na Man u...KUSHOTO,
>Refa aliyempa Drogba na Bosingwa Red card...KUSHOTO,
>Nani mwingne aende kulia or kushoto?