lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,481
Magaga nayo ni ugonjwa.....sasa nisisuguliwe mguu nikapaka rangi kisa kuolewa???kama vp niachike!!!Nyie mnasuguliwa videvu saloon mpaka mnasimama dede dushe zenu....
Mama wee, DUH!
Magaga nayo ni ugonjwa.....sasa nisisuguliwe mguu nikapaka rangi kisa kuolewa???kama vp niachike!!!Nyie mnasuguliwa videvu saloon mpaka mnasimama dede dushe zenu....
Hawa mods wafukunyuku, sasa ndio nini kufuta posts za watu?
Hivi hamjui kuwa watu wanatumia muda wao mwingi kuipaisha hii Jeiefu?
Yaani ninyi pasipo hata hiyana with one single click mnabofya kitufe cha delete...post ya mtu inakuwa imeyeyuka...
Muwe mnaona aibu bana #@@&& %%% zenu!!!
Hawa mods wafukunyuku, sasa ndio nini kufuta posts za watu?
Hivi hamjui kuwa watu wanatumia muda wao mwingi kuipaisha hii Jeiefu?
Yaani ninyi pasipo hata hiyana with one single click mnabofya kitufe cha delete...post ya mtu inakuwa imeyeyuka...
Muwe mnaona aibu bana #@@&& %%% zenu!!!
Wameniudhi sana, hivi endoscopy ni tusi? Wajue mie hadi kuweza kuliandika nimemediteti kwa masaa kadhaa
Sasa kama namnyoa Ikulu, iweje kichwa nisinyoe? Ni maelewano ti na wala sio ubahili, hivi majuzi kama miezi 3 nimenunulia IST ya kwendea job, sokoni n.k. I thank God she is happy with me, apart of all am doing to her to be more natural ... Njoo nikutengeze na wewe
Wengi wanazoea na kuna hatari wakawa dysfunctionalmi ndo mana nmenunua vifaa vyote ndani, akitaka kuosha sijui kupaka rangi namaliza mwenyewe... Ila na hao vijana wanashida sana, sipati picha wanajipiga bao ngapi kwa siku maana hayo mapaja wanayokutana nayo ..........
hah..!! leo ofisini muda wa chai mwenyew menyanyuka naenda chukua kikombe changu binafsi kikubwa mana vya ofisi ni tuduchu sitoshekagi( nlikiweka jikoni )ninywe chai.. binti vuuuuupp nkafungua mlango sijapiga hodi wala nini najua kunakaaga majiko na vyombo vingne vya kupikia tu.. lol nkakuta mdada mpika chai yupo na mkaka mmoja wa hapa ofisini wako bize mkaka anamnyonya mdada maziwa... namimi nkawa bize na yangu nkachukua kikombe huyooo nkawaacha na yao.....
.. lol nkakuta mdada mpika chai yupo na mkaka mmoja wa hapa ofisini wako bize mkaka anamnyonya mdada maziwa...
Saluni zilikuwa zamani hizi za sasa mi naona ni madanguro tu!!!
Na hii mikongo ndio imeasisi huu upuuzi!!
Aisee ina maana huyo mkaka hatosheki tu na maziwa ya ofisini hadi aanze kunyonya ya mpika chai...
Massage ya miguu na unyayo nayokupatia mke wangu "eti"unahaja ya kwenda kuwapa wakongo miguu yako?