Ndio nini kuminya minya mapaja wake za watu?

Ndio nini kuminya minya mapaja wake za watu?

wewe unasema hayo mkuu mimi ni miongoni mwa wakatakucha hapa jijini mwanza alooo! wasukuma watamu aisee nimeisha kanyaga wanake kupitia kaziyetu hiii ya kukata kucha

Unaona ujanjaa huo subiri matokeo.
 
kusugua miguu,kukatwa kuchwa au kupakwa rangi saloon au na mr.kucha not bad at ol jmn..
Bt wadada tujstiri unakuta mr.kucha yupo mbl yk anakupaka rang alf ww umepga umini wa nguvu na kubana miguu hujui bas ni tabuu kwa mr.kucha mana atapaka rang mpk ngozi kwa kushangaa katkat ya mapaja
Vaa jeans yk akaaa ata mguu ainueje mr kucha ht aweke began hawez ona kitu
Mana na wao wakiona umekula umin ndo anazd kukuunyanyua mguu et anasugua kisigno lol
 
kusugua miguu,kukatwa kuchwa au kupakwa rangi saloon au na mr.kucha not bad at ol jmn..
Bt wadada tujstiri unakuta mr.kucha yupo mbl yk anakupaka rang alf ww umepga umini wa nguvu na kubana miguu hujui bas ni tabuu kwa mr.kucha mana atapaka rang mpk ngozi kwa kushangaa katkat ya mapaja
Vaa jeans yk akaaa ata mguu ainueje mr kucha ht aweke began hawez ona kitu
Mana na wao wakiona umekula umin ndo anazd kukuunyanyua mguu et anasugua kisigno lol
Om is om ulipiga umini yakakukuta nini?maana umeelezea kwa ustadi mkubwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Mkeo ulimkuta bikra? Kama jibu sio bac jua jamaa wameisha yaminya sana hadi umekuwa nae. Na hujaoa bado nakushauri tafuta mgomba tu.
 
Huu ni ujinga ambao wanawake huwa wanafanya kwa kisingizio cha urembo..USHENZI MTUPU!! afu kuna na mafundi cherehani wanawashika viuno wake za watu, mapaja,matiti kwa kisingizio cha kuchukua vipimo kwa muda mrefu.
 
Sipendi hiyo business..sioni tofauti na kufanya mapenzi...
 
Back
Top Bottom