Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,497
Habari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu, Katika story za hapa na pale na wanawake wenzangu weekend tukiwa tumejitoa kidogo kufurahia maisha.
Mmoja wa wenzetu akasema akiwa ofisini mwenzao aliwaambia kuwa usione wanawake wengi wanapenda kupaka rangi kwa wapaka kucha kuna utamu.
Anasema akauliza utamu gani huo. Yani anadai wakati wa kupaka rangi kwanza kuna kusuguliwa miguu. Baada ya hapo unaoshwa na kupaka mafuta kwa kupapaswa papaswa taratibu. Akaendelea mbali zaidi kuwa wapaka rangi hao wanaitumia mikono yao kuwapaka mafuta wanapaka mpaka kwenye mapaja.
Akasema hapo kwenye mafuta ndio utamu unapoanzia unawafanya kujisikia raha. Anadai wanawake wengine huishia kutoka na hao wapaka rangi kwakuwa wanakuwa wamewaamsha hisia zao.
Mi nikaishia kucheka. Nikasema sasa wengine si wake za watu. Basi chakula kikaja pale tukaendelea kula.
Nimalize tu... Kuna siri nzito kwa wapaka rangi kucha.
Picha: Kutoka makataba
Husika na kichwa hapo juu, Katika story za hapa na pale na wanawake wenzangu weekend tukiwa tumejitoa kidogo kufurahia maisha.
Mmoja wa wenzetu akasema akiwa ofisini mwenzao aliwaambia kuwa usione wanawake wengi wanapenda kupaka rangi kwa wapaka kucha kuna utamu.
Anasema akauliza utamu gani huo. Yani anadai wakati wa kupaka rangi kwanza kuna kusuguliwa miguu. Baada ya hapo unaoshwa na kupaka mafuta kwa kupapaswa papaswa taratibu. Akaendelea mbali zaidi kuwa wapaka rangi hao wanaitumia mikono yao kuwapaka mafuta wanapaka mpaka kwenye mapaja.
Akasema hapo kwenye mafuta ndio utamu unapoanzia unawafanya kujisikia raha. Anadai wanawake wengine huishia kutoka na hao wapaka rangi kwakuwa wanakuwa wamewaamsha hisia zao.
Mi nikaishia kucheka. Nikasema sasa wengine si wake za watu. Basi chakula kikaja pale tukaendelea kula.
Nimalize tu... Kuna siri nzito kwa wapaka rangi kucha.
Picha: Kutoka makataba