Ndio nini kuminya minya mapaja wake za watu?

Ndio nini kuminya minya mapaja wake za watu?

Naomba kujua, lini mara yako ya mwisho kumsugua mkeo miguu, na kumpaka rangi miguuni?

Hilo ni jukumu langu na huwa nalitekeleza kwa ustadi mkubwa,kila akiitaji huwa nafanya hivyo au mawifi zake.
 
Naomba kujua, lini mara yako ya mwisho kumsugua mkeo miguu,

BACK IN 1978 DURING KAGERA WAR
10540853_665729870170400_5788108419108851536_n.jpg
 
TO EVERY ACTION THERE IS EQUAL AND OPPOSITE REACTION...........
IMG-20120423-00034.jpg

CC:Kibo10
 
Nipo hapa muda huu sioni hata paja moja lililo nje achilia kuguswa. Wanawakata kucha na mmoja ndoo anasuguliwa mguu chini ya goti. Bahati mbaya siwezi kupiga picha. Hakuna cha ajabu mtoa Uzi umeingiza hisia zaidi. Hii in fani ya watu
 
hao jamaa wanawatafuna sana wake za watu nashangaa lawama tunazielekeza kwa madaktari wakati hapo wanawatia genye kisha wanawachapa nao
 
Nipo hapa muda huu sioni hata paja moja lililo nje achilia kuguswa. Wanawakata kucha na mmoja ndoo anasuguliwa mguu chini ya goti. Bahati mbaya siwezi kupiga picha. Hakuna cha ajabu mtoa Uzi umeingiza hisia zaidi. Hii in fani ya watu

ONDOA SHAKA...HAJUI KUWA ''PROFESHNO'' SI LAZIMA KUSOMEA...
SALUNIII.jpg
 
Nipo hapa muda huu sioni hata paja moja lililo nje achilia kuguswa. Wanawakata kucha na mmoja ndoo anasuguliwa mguu chini ya goti. Bahati mbaya siwezi kupiga picha. Hakuna cha ajabu mtoa Uzi umeingiza hisia zaidi. Hii in fani ya watu

Mbona sikuoni, umevaaje kwani mi nipo nasugua hapa
 
nawe mminye minye wako ..ka unakanda unga WA CHAPATI
 
basi now day wameimprove basi ngoja niende leo jioni nikaoshwe kucha nishikwe na upaja....... lazima kupita hata kama ni wapi
 
basi now day wameimprove basi ngoja niende leo jioni nikaoshwe kucha nishikwe na upaja....... lazima kupita hata kama ni wapi

Aisee jihadhari tu mme/mchumba wako asikukute unafanyiwa hiyo massage!!"hatari"
 
Sasa kwan wanashka mapaja? ? Bas kama n hvo wanaimprove their standard. ..He he he he sjapata kuona aisee
 
mapaja?

kutoka kucha, miguu wamesogea mpaka mapajani?

sasa mwakani wataminya nini kama mwaka huu wako mapajani?

Huu uongozi wa CCM unatupeleka wapi?
 
Back
Top Bottom