Ndio nini kuminya minya mapaja wake za watu?

Ndio nini kuminya minya mapaja wake za watu?

Aaggrrhh...inaudhi sana wakuu nimepita hapa maeneo ya mwenge kuna vitu nimeona ikabidi nianze kujihoji maswali mwenyewe bila kupata majibu ila nikaona sio mbaya majibu ya vitu hivi tuyatafute sote.

Yani kuna mtaa hapa wanawake ni mapaja wameanika nje halafu kuna jamaa wanawasugua na wanawake wenyewe nilivyowaona wapo kwenye hisia za hali ya juu kuna mwingine kavaa pete ya ndoa kabisa na kachanua mapaja yanaminywa minywa tena kafunga mpaka macho kwa hisia"paja ni kiungo cha siri" (sehemu sensitive haswaa)

Akiya mungu mke wangu simruhusu huu ujinga acha nitamsugua mwenyewe mbona mama zetu hawakufanya huu upuuzi?namkumbuka mama yangu alivyokuwa akikata kucha zake kwa wembe tena wakati mwingine mzee alikuwa akimkata lazima niwaige wazee wa zamani kwa niliyoyashuhudia hapa mwenge.

Hali ile ni ya hatari pale kwa haraka haraka vile vijamaa vitakuwa vinakanyaga wake/mademu wa watu kwa kuwatia genye kijinga jinga tu"ndio maana waarabu hawataki huu uhayawani"

Nashauri tusikubali huu ujinga kama hawa wanawake wanataka kwenda kusuguliwa miguu yao na kukatwa kucha ni vema wasuguane kwenye saluni ambazo wanawake wanafanya kazi hiyo wenyewe zaidi ya hapo ni wizi mtupu.
Swali kwa wanaume: Unamruhusu mkeo/ mpenzi wako kwenda kupata huduma hii? Swali kwa wanawake: Kuna kitu gani special kwenda kusafishwa miguu badala ya kujisafisha mwenyewe nyumbani?

Natarajia paniki kwa wanawake wanaoendekeza huu ujinga wa kuzalilisha miili yao tena adharani na kuona ni sehemu ya uadilifu, ila ukweli siku zote najuwa unauma.
Hahahaaa..umeona hiyo umeshangaa?kuna full body massage..hiyo dem anachuliwa na men...ndio alie piga nondo kifua kikagawanyika vyema kabisa...ili avutie..kina baba wanachuliwa na kina dada..warembo mithili ya jokate...utandawizi!
 
Hahahaaa..umeona hiyo umeshangaa?kuna full body massage..hiyo dem anachuliwa na men...ndio alie piga nondo kifua kikagawanyika vyema kabisa...ili avutie..kina baba wanachuliwa na kina dada..warembo mithili ya jokate...utandawizi!

Ndugu yangu unaponiambia mambo ya full body massage ninayajuwa vema ile ni tiba
Na kwa taarifa tu zipo nchi duniani ni maarufu kwa hiyo tiba kama thailand n.k.
Unapoingia kwenye clinic za massage uwe ke au me kuna sheria zake za kulinda hiyo taaluma sio kama huu uchafu wanaofanyiwa wake/mademu wa watu bongo ni uzalilishaji tu hamna cha zaidi.
 
Sasa ndevu na upaja vinahisia sawa?

hawafiki mapajani jameni,huwa wanaishia magotini,nyie mkishanyolewa mkianza kuoshwa vichwa si mnaingizwa hadi vidole masikioni kutolewa nywele vilizoingia huko,mnasuguliwa hadi shingo
 
Naunga mkono hoja!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
hawafiki mapajani jameni,huwa wanaishia magotini,nyie mkishanyolewa mkianza kuoshwa vichwa si mnaingizwa hadi vidole masikioni kutolewa nywele vilizoingia huko,mnasuguliwa hadi shingo
lin niyeona ni mimi hakuishia magotini alizidi akaenda kwenye mapaja kabisa na ndio kitu kimenustua mimi!!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu unaponiambia mambo ya full body massage ninayajuwa vema ile ni tiba
Na kwa taarifa tu zipo nchi duniani ni maarufu kwa hiyo tiba kama thailand n.k.
Unapoingia kwenye clinic za massage uwe ke au me kuna sheria zake za kulinda hiyo taaluma sio kama huu uchafu wanaofanyiwa wake/mademu wa watu bongo ni uzalilishaji tu hamna cha zaidi.
Mimi ntendelea kusema ngozi nyeusi ina matatizo yake ambayo ukiya discuss hapa utawehuka..kweli massage ni tiba ya stress na misuli kwa ujumla...sasa wao wanafanya yao!
 
Mimi ntendelea kusema ngozi nyeusi ina matatizo yake ambayo ukiya discuss hapa utawehuka..kweli massage ni tiba ya stress na misuli kwa ujumla...sasa wao wanafanya yao!

Hizo sehemu wanazitumia kukutana na vichepuko vyao tu!!
 
Dunia ya leo tunaishi tu, ukisema umbane mkeo hapa anaachia kule
 
Umetumia nguvu nyingi kuelezea ulichoona!!!
Wanayataka wanaume wenyewe hayo,wao ndio wanaamini huwa wanachoka na wanastahili massage.Akiomba afanyiwe mke foleni ya excuses na hata akikufanyia atataka akukarahishe pia usiifurahie!
Msaidiwe tu!!!!
 
Umetumia nguvu nyingi kuelezea ulichoona!!!
Wanayataka wanaume wenyewe hayo,wao ndio wanaamini huwa wanachoka na wanastahili massage.Akiomba afanyiwe mke foleni ya excuses na hata akikufanyia atataka akukarahishe pia usiifurahie!
Msaidiwe tu!!!!

Una uwakika na unalosema?mbona kama massage mnafanyiwa sana?sema mna katabia kakutoridhika sasa endeleeni kuifanya hiyo miili yenu ni ya mazoezi kila mtu apapase papase tu!!
 
Una uwakika na unalosema?mbona kama massage mnafanyiwa sana?sema mna katabia kakutoridhika sasa endeleeni kuifanya hiyo miili yenu ni ya mazoezi kila mtu apapase papase tu!!

Ume panic bro!!
 
Mbona sikuoni, umevaaje kwani mi nipo nasugua hapa

Haupo serious, wewe hujaona kaka mmoja anasura ya kiJFJF ametokea Tamal hotel kaja kapita kwa kupiga jicho la kuibia upande huo kaenda mpaka mbele kidogo then kageuza baada ya dakika 50. Amevaa shati jeupe na tai nyekundu. Amenyoa kijanuary Makamba
 
Wanawake wengi wanahis kule ndio kujipenda au kwenda na wakat na hapa ukiwaponda hasa Mimi mwanamke nitaonekana mshamba lakini kiukweli sijaona sababu ya kwenda kufanyiwa udhalilishaji huu na hii si kwa wanawake tu had wanaume siku hiz wanaenda saloon kufanyiwa massage .hiv ukinunua vitu ukaweka ndan na ukatumia weak end na mkeo au mumei kufanyiana massage kuoshana kucha nk huon raha iliyoje
 
wewe unasema hayo mkuu mimi ni miongoni mwa wakatakucha hapa jijini mwanza alooo! wasukuma watamu aisee nimeisha kanyaga wanake kupitia kaziyetu hiii ya kukata kucha
 
Back
Top Bottom