excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
Sasa kwan wanashka mapaja? ? Bas kama n hvo wanaimprove their standard. ..He he he he sjapata kuona aisee
Njoo nikuminye minye basi na wewe!
ntatumia mafuta ya nywele you know!
Sasa kwan wanashka mapaja? ? Bas kama n hvo wanaimprove their standard. ..He he he he sjapata kuona aisee
basi now day wameimprove basi ngoja niende leo jioni nikaoshwe kucha nishikwe na upaja....... lazima kupita hata kama ni wapi
Mke wangu , sasa ivi ana kipara, namnyoa mwenyewe home, nina home cut, kucha kama primary school, nazikata mpaka nakaribia nyama! Nikiwa home mapema tunaoga wote, bafu la master-bed room, nasugulia miguu huko huko! Huo upuuzi wa mwenge, siju kinondoni, cjui salun ya nani..hajawahi kutamka.... Sabuni anaogea kipande cha JAMAA, mafuta Asherz yale ya kunukia.... she is real, na mimi ndie nimemtengeza hivyo, mpaka ndugu zake na wangu wanamsifia kuwa natural toka aolewe..... Changes is in you!
Aisee jihadhari tu mme/mchumba wako asikukute unafanyiwa hiyo massage!!"hatari"
Aaggrrhh...inaudhi sana wakuu nimepita hapa maeneo ya mwenge kuna vitu nimeona ikabidi nianze kujihoji maswali mwenyewe bila kupata majibu ila nikaona sio mbaya majibu ya vitu hivi tuyatafute sote.
Yani kuna mtaa hapa wanawake ni mapaja wameanika nje halafu kuna jamaa wanawasugua na wanawake wenyewe nilivyowaona wapo kwenye hisia za hali ya juu kuna mwingine kavaa pete ya ndoa kabisa na kachanua mapaja yanaminywa minywa tena kafunga mpaka macho kwa hisia"paja ni kiungo cha siri" (sehemu sensitive haswaa)
Akiya mungu mke wangu simruhusu huu ujinga acha nitamsugua mwenyewe mbona mama zetu hawakufanya huu upuuzi?namkumbuka mama yangu alivyokuwa akikata kucha zake kwa wembe tena wakati mwingine mzee alikuwa akimkata lazima niwaige wazee wa zamani kwa niliyoyashuhudia hapa mwenge.
Hali ile ni ya hatari pale kwa haraka haraka vile vijamaa vitakuwa vinakanyaga wake/mademu wa watu kwa kuwatia genye kijinga jinga tu"ndio maana waarabu hawataki huu uhayawani"
Nashauri tusikubali huu ujinga kama hawa wanawake wanataka kwenda kusuguliwa miguu yao na kukatwa kucha ni vema wasuguane kwenye saluni ambazo wanawake wanafanya kazi hiyo wenyewe zaidi ya hapo ni wizi mtupu.
Swali kwa wanaume: Unamruhusu mkeo/ mpenzi wako kwenda kupata huduma hii? Swali kwa wanawake: Kuna kitu gani special kwenda kusafishwa miguu badala ya kujisafisha mwenyewe nyumbani?
Natarajia paniki kwa wanawake wanaoendekeza huu ujinga wa kuzalilisha miili yao tena adharani na kuona ni sehemu ya uadilifu, ila ukweli siku zote najuwa unauma.
Kilicho nichosha zaidi ni pale nipoona anapete ya ndoa kwenye kidole nilijawa na maswali mengi mno!!na sio huyu tu wapo wengi sana hii ni kitu ya kupiga vita kabisa.
Hamna haja ya huo upuuzi achana nao kabisa.
Huo ni ubahili sasa wa kumpa tu mkeo akapendeze ni shidaah kah ndo umemunyoa usingizie u natural na mwendo wa vipara ningekuwa mimi thubutu