miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Mie sijaelewa yani huyo mtengeneza kucha anamshika huyo bidada mapajani ama?maana sijaona connection ya kucha na mapaja
Eti hiyo ni style mpya
Mie sijaelewa yani huyo mtengeneza kucha anamshika huyo bidada mapajani ama?maana sijaona connection ya kucha na mapaja
Yani ni kama alikuwa anamfanyia massage maeneo hayo tena na mikono telezi ni shidaa..
Eti hiyo ni style mpya
Mmmhhh natamani nikazione....ntapita jion hapo
Aiseeee hiyo kweli kiboko.Hao watakuwa hawajiheshimu tu lakini sidhani mtu na heshima zake anaweza kuruhusu ujinga huo
Usiishie kupita tu, nawe ukipata muda nenda na rasta zako hapo ukakae kitako Wamaasai wakurembe kichwa...
Kwa kufanya hivyo utakuwa umeklia kila aina ya dauti....
Itakuwa style ya kujidhalilisha
Wamevaa sketi fupi kajamaa kanaanzia kwenye unyayo kanapandisha mkuno mpaka katikati ya paja tena kwa povu la sabuni na demu ana pete ya ndoa dah aisee nimeona ni kujizalilisha tu!!
uzuri ni kwamba madaktari huwa hawana kumbukumbu ya haya mambo la sivyo....
Eee wewe mwanamke mapamboo, mwanamke kupendezaa, mwanamke kivutio saasaa kama ntabakia rafurafu mikucha kama sokwe,nywele kaa zimwii,magaga sh 100 inazama nini maana yake? wewe mwenyewe ungenikuta kiporipori usingevutiwa lzm nipendezee ukiniona ufurahi. wee rafiki zako wanakuja ndoo kwanzaa niko na kaniki iliyopaukaa kiunoni,mikucha ya kuchana shuka,minywele nimesuka vitunguu mwezi wa pili sasa nabandika kitambaa kuficha aibu ya nini yotee hayoo!yaan wanawake mnatetea ujinga tu hebu jiulize wanatetea nini , mi binafsi nikishakuoa uzuri wako wote uufanye kwa ajili yangu nisipopenda unataka kumuonyesha nani kuwa unamiguu mizuri?
Naomba kujua, lini mara yako ya mwisho kumsugua mkeo miguu, na kumpaka rangi miguuni?Kilicho nichosha zaidi ni pale nipoona anapete ya ndoa kwenye kidole nilijawa na maswali mengi mno!!na sio huyu tu wapo wengi sana hii ni kitu ya kupiga vita kabisa.
Mke wangu , sasa ivi ana kipara, namnyoa mwenyewe home, nina home cut, kucha kama primary school, nazikata mpaka nakaribia nyama! Nikiwa home mapema tunaoga wote, bafu la master-bed room, nasugulia miguu huko huko! Huo upuuzi wa mwenge, siju kinondoni, cjui salun ya nani..hajawahi kutamka.... Sabuni anaogea kipande cha JAMAA, mafuta Asherz yale ya kunukia.... she is real, na mimi ndie nimemtengeza hivyo, mpaka ndugu zake na wangu wanamsifia kuwa natural toka aolewe..... Changes is in you!