Ndio muone wazungu walivyo wabaguzi.....

Ndio muone wazungu walivyo wabaguzi.....

Kuna siri kubwa sana sababu ya Muumba kuweka rangi tofauti tofauti, lakini MUNGU anasema palipo na UPENDO pana MUNGU.
 
Lakini mkuu hapa tunaongelea ubaguzi wa rangi, wewe unasema Afrika tunaogoza kwa ubaguzi. Unamaanisha m-Kenya na m-Tanzania wanabaguana? Kisa rangi zao?
Au Mchaga na Msukuma?

Balotelli alirushiwa ndizi akiwa uwanjani Italia, Etoo alioneshwa ishara ya nyani akiwa Uingereza.
India kuna binti wa Kitanzania alivuliwa nguo na wahindi hadharani shambulio ambalo limetokana na ubaguzi wa rangi. Watanzania wanaoishi au kufanya kazi kwa wahindi watakua washasikia neno "Goro" ambalo hutumika kumuita Mtanzania, unajua maana yake?

Kuna mwafrika/ mtu yeyote aliyewahi kumrushia kitu mchezaji asiye na asili ya Afrika akiwa analenga ubaguzi wa rangi?

Mkuu nahisi haupo informed ipasavyo.
Nasisitiza kwa mkazo zaidi sisi miafrica ndio tunaongoza kwa ubaguzi na roho za kutu
 
Ubaguzi upo wa aina nyingi na sie wenyewe tunafanya ubaguzi wa aina mbalimbali ila ikitokea tumebaguliwa watu weusi tunaona kama tumefanyiwa jambo baya lisilo na mfano vile.
Sisi ni wabaguzi wa kila kitu na roho za kutu
 
sio ubaguzi kiukweli sisi waafrika tumelaaniwa tu
hilo liko wazi kabisa!sisi hatuwezi kustaarabika kabisa!black hata azaliwe ulaya haachi asili yake
Mimi ni muafrica,black,ila sijalaaniwa,nimebarikiwa sana.....!!kama wewe umelaaniwa ni wazi unahitaji tukuombee.....
 
Wazo langu mimi naona Ubaguzi kwa ngozi nyeusi au Waafrika ni Ngono tuu hili tendon jamani kwa kweli ni tendo hatari sana Ngono jamani ngono aaahaa kiboko,Maana ukiangalia sababu kubwa za Mtu mweupe kumchukia mtu mweusi sana sana zinasababishwa na Wanaume na kwa 100% ambao wameshafikia umri wa balehe yaaani wapo tayari kujua utamu wa mapenzi,wewe kwanza tujiulize Kwanini Hakuna Watoto kuanzia miaka 2 mpaka 14 wabaguzi wa rangi au jinsia????maana utakuta watoto wa kizungu wakiona watoto weusi basi watacheza pamoja watakuwa marafiki lakini wakikuwa tuu wakubwa umri wa kujua mapenzi mara ni % chache sana wakabakia na urafiki au ukaribu waliokuwa nao utotoni,pili Wanawake wao kwao hilo swali sijui yule mweusi sijui yule Nyani kwao hakuna ni asilimia chache sana kuona Duniani kuna Wanawake wabaguzi wa Rangi ,hila Wanaume wa Kizungu naona ndio waanzilishi wa hili Janga la ulimwengu ,nahisi kuna udhaifu fulani waligundua wapo nao babu zao, wakaeneza hiyo sumu ambayo kila familia inabidi irithi hizo tabia za kuficha huo udhaifu .wazo langu tuu
 
Vitendo wanavyofanyiwa waafrika nje, sisi hatuwafanyii wanaotoka mabara mengine wakiwa humu au hata tukiwa kwao.
Ohoo sasa nimekupata kawaida ya ngozi nyeusi ni kumsujudu mzungu na kumbagua na kumtesa mweusi
 
Ohoo sasa nimekupata kawaida ya ngozi nyeusi ni kumsujudu mzungu na kumbagua na kumtesa mweusi
Historia ya kwamba ngozi nyeupe waliwahi kuwa mabwana na ngozi nyeusi watwana ndiyo imeleta kusujudia.

Ila ngozi nyeusi kuibagua ngozi nyeusi tunaweza sema huo ni ubaguzi wa rangi?
 
Makaburu ni wabaguzi halafu hawana soni. Angalia huyu mwanamke got mad that too many Africans flocking in Africa. Badala ya kunitia hasira imenibidi nicheke tu, yaani ni sawa na mimi niende Berlin nianze kulalamika there are too many europeans in Berlin.

15621814_1134911149959462_2841609799205285542_n.png
 
Gura wapo kazini washezi sana wazungu wa south africa.
 
sio ubaguzi kiukweli sisi waafrika tumelaaniwa tu
hilo liko wazi kabisa!sisi hatuwezi kustaarabika kabisa!black hata azaliwe ulaya haachi asili yake
Kustaarabika kivipi mkuu.
 
Mi huwa nawachekaga tu watu kama hawa.

Hao makaburu wa South Africa bado hawajaacha ubaguzi wao . Hii dunia nyingine hii sio miaka 100 iliyopita. Yaani unaoa unaemtaka. Ni kumpata tu kwanza. -🙂
Kwanza mizungu yenyewe ya south Africa mibayaa...
 
Wadhungu wao wamekanyaga sana shangazi zetu wakati wa utumwa. Kwa nini leo sisi tuwaache? Yaani Unyamwezini natoa ng'ombe kibao kupata ngozi nyeupe na Mzungu hata senti tano silipi na ngozi nyeupe haswaaa.

Ukitaka kula Nguruwe.... Wanyamwezi changamkieni Vingozi vyeupe na sisi tuwe na akina Obama wetu.

Kwani Prof. Sarungi Mke wake kashamzika? Au yule M-Magyar ni Single mother? Hao Looser wanaogopa dada zao watapata Mipingo ya nguvu na wawakatae wao na vibamia vyao.

Remy Ongala kazikwa na mkewe.

They Love Black coffee Baby. No sugar no cream.


Huyu jamaa anagombana na mkwewe
 
sio ubaguzi kiukweli sisi waafrika tumelaaniwa tu
hilo liko wazi kabisa!sisi hatuwezi kustaarabika kabisa!black hata azaliwe ulaya haachi asili yake
Haya tuelimishe wewe umelaaniwa nini na kwa kosa gani ulilofanya? Mimi binafsi na uzao wangu sijalaaniwa.
 
Mi thijaelewa hata moja ila naona mapichapicha tu.[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Bora hata wangeandika kimatumbi.[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]


Ukiona hujaelewa ujue haikuhusu.
 
Mi thijaelewa hata moja ila naona mapichapicha tu.[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Bora hata wangeandika kimatumbi.[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Ukiona hivyo ujue lugha ina ubaguzi,hivyo imekubagua ndiyo maana hujaelewa.
 
Back
Top Bottom