Ndio muone wazungu walivyo wabaguzi.....

Ndio muone wazungu walivyo wabaguzi.....

Mnaweza mkanijibu kwanini sie weusi hatuwabagui weupe.

Je,ni kwa sababu watu weusi huwa hatuna ubaguzi au hatuna cha kuwabagua watu weupe?
 
Uyo Hannes sjui kinye**si Mungu anamuona mfyuu zake na midevu ile mbaya hata uko kk angu black ni HB
 
Sio mbaya kitu ambacho najua ni kuwa Racism will never end
 
15400457_1132513730199204_8561043262979859753_n.jpg

15380856_1132513773532533_4525198476698567827_n.jpg
15439728_1132513853532525_1013897768905625023_n.jpg
15492237_1132513886865855_4696134215520637669_n.jpg
15380280_1132513973532513_5180938745417114200_n.jpg
15390670_1132514056865838_8982917709264799026_n.jpg
15420763_1132514130199164_6204411158225892055_n.jpg
15401170_1132514166865827_2068110713715241313_n.jpg
15380410_1132514206865823_3985304114971083962_n.jpg
15442199_1132514266865817_3301380800470577308_n.jpg
15390644_1132514326865811_8411103434974788668_n.jpg
15439841_1132514380199139_6197349420133622514_n.jpg
15542094_1132514443532466_868301016559164880_n.jpg
15492293_1132514493532461_7817076796544685812_n.jpg
15542402_1132514553532455_3407873844185962188_n.jpg
Makaburu sio wazungu hao ni makapikapi/takataka
 
huwa sioni uzuri wowote wa kimaumbile wa wazungu.

watatuzidi vyote lakini sio uzuri.

black is sexy.
 
Uyo Hannes sjui kinye**si Mungu anamuona mfyuu zake na midevu ile mbaya hata uko kk angu black ni HB
si ndo hapo bhana.

sasa hilo kapi la kikaburu na mijidevu yake ana madhara gani.

mbona ubaguzi wake hata haunibabaishi asee...
 
Ndio mkome mbona dada zetu weusi wazuri tuu, hivi hao wazungu wana uzuri gani!!
Sina mpango wa kuoa mzungu (of coz nnako ishi hakuna wazungu pia)
umefanana na hao makaburu!
wewe umesahau kuwa ktk kupenda hakuna cha kuchagua race, dini au chochote!
you fall in love with yeyote, issue sio to compare uzuri, watu hupenda wenza wanao wavutia na sio warembo au watu wazuri! ndio maana mtu huchagua kuwa na mwenza hata kama dunia nzima itasema ana kasoro A,B na C mwenyewe humng'ang'ania tu, kutokana na hivyo vinavyomvutia, sasa hapa iwe urembo, iwe tendo la ndoa, ziwe mali etc!
so usiwe kama hao makaburu wenye kuonesha ubaguzi simply kwa kufikiria wao ni superior race!
 
Nimeshafanya nayo uchafu wa kila aina haya mazungu yenu (sijivuni na nilishatubu na kusamehewa) na hayana lolote la kumzidi binti wa Kibantu. There is no comparison sema tu menyewe likikupenda basi limekupenda na utalifanya cho chote unachotaka halafu yanatoa siri zote bila nyodo, majungu wala umbea. Na usipokaa sawa litakulazimisha ulioe kwa kukupa mizawadi mikubwa mikubwa hasa kama ni litoto la tajiri. Lakini ni lazima utambue kuwa wewe mweusi utabakia kuwa mweusi tu hata kama ungekuwa tajiri au msomi wa aina gani. Natalia wa Maine aliweka mitego ya kila aina eti nimwoe aaaargh wapi nikachomoa. Mnyantuzu kabisa orijino jamani eti nikaoe lizungu? Biya nagalema gete!
Mkuu ebu tuwekee picha ya Natalia
 
Ndio maana mimi siwanyenyekei hawa jamaa kabisa ,
 
Back
Top Bottom