Ndio maana nikiona Familia zinaendeshwa bila Baba hua naumia sana

Ndio maana nikiona Familia zinaendeshwa bila Baba hua naumia sana

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
34,610
Reaction score
59,577
Wakuu, leo ngoja nitembee kivingine leo mimi nitaongelea kidogo japo kwa uchache kuhusu Baba km nguzo imara na msingi wa Familia Imara.

Ni kwamba Familia yoyote chunguza km unaweza kuchunguza Familia inayoongozwa na Baba inakua haiteteleki wala kupata misukosuko maana Baba likitokea lolote la kutokea anajua jinsi gani ya kufanya kuzima kila jambo liwe jema au liwe baya.

Tutoke huko, mfano mdogo mimi kuna sehemu X nilikua naishi miaka ya nyuma na watu fulani km ndugu na jamaa. Pale mimi nilikua na-play as a father as a uncle and some sort like that you see, sababu nilikua naishi na watoto pia, sasa kuna mtu niliekua naishi nae pale ni madam yeye hakua anataka mimi niishi pale kwa sababu zake binafsi. Kwanini? Kwa sababu Mimi linapokuja suala la malezi ya watoto nina copy ya malezi ya zamani yale malezi ya wazazi wangu enzi ya ukoloni kiboko na fimbo adhabu za hapa na pale ukifanya ujinga nakuadhibu sipendi upuuzi na walikua wananyooka mpaka sometimes watoto wanasema uncle mkoloni Baba mkoloni sana, you see?

Sasa madam akakasirika mimi kua na tabia za hivyo yaan ukoloni mwingi in fact unajua ndani ya nyumba yeye hataki anapenda kuwadekeza watoto na sio kuwaadhibu wanapokosea, ikabidi nifanyiwe deportation ili nimwache na mji peke yake. Mimi nika-move on to another City for awhile in only one year, baada ya mwaka kupita huku nyuma kila kitu kimeparaganyika kumevurugika madam kaikimbia mpaka nyumba sasa hivi anaishi km panyabuku leo shimo hili kesho shimo lile.

Ndio nikaja kugundua kwamba nyumba yoyote kusipokua na Baba Imara anaeweza kuisimamia Familia yake kunakua hakuna nyumba lazima ianguke tu. Ndio maana nikiona Familia zinaendeshwa bila Baba hua naumia sana.

Yangu ni hayo tu.
 
Father role ebwanaee na kuna watu wakaanza kununua na viwanja kabisa .


Kabla hawajanusa mafanikio Hundred percent wakaanza kuleta nyodo nikaawambia poa fanyeni nyie tuone yaani hili ya maji walipe Wao,umeme, chakula na kadhalika .mahitaji ya nyumba vyombo ya latest alafu Mimi Natulia Tu .


Aisee kwani ilichukua muda miez minne mbele kila mtu kachoka.


Funzo .Uongozi NI kipawa na si sifa kwamba wew NI first born Basi Baba akifa wewe ndo unaongoza hapana hata last born anaweza kuongoza .
 
Ukweli ndio huo mkuu, ukichunguza mashoga wengi utakuta hawakuwa na father figure, kina gigy money type wote ni watu ambao hawakulelewa na mababa. Baba ni wa muhimu. Akitokea ametangulia mapema basi kuwe na mwanaume ambaye ni father figure 🙏
 
Back
Top Bottom