Ukwelimtupu00
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,043
- 1,635
Kwanza hizo pesa za kuchangia kwenye kufanya Tanga iwe energy hub wanazo!🙄
Sahihi sahihi nakumbuka awamu ya nne mwisho mwisho kuna mikataba ilipitishwa kwa hati ya dharura mwishoni bungeni kama 19 lakini ndio kipindi kiwanda kinaanza lakini kama ujuavyo wizi mwingi 10% baada tu ya kubadilika utawala timbwili likaanza mara Dang'ote abadilishe awe anatumia gesi kumbe kuna wajanja tayari wanamiliki hilo bomba tayari. Kwahiyo kugoma kuwekeza tena Tanga ashafanya risk analysis hasa kwa siasa zetu zisizotabilika kwenye masuala ya biashara ashaona hatuna viongozi wako makini kwenye hilo hivyo kina Kitila kwenda kupeleka kinyago haikusaidia maana ashatendwa hapo nyumaDangote hajawa tajiri kwa kuendekeza ujinga. Kenya wanatarajia kuanza kuvuna mafuta yao mwishoni mwa mwaka huu kutoka South Lokichar Basin, Turkana. Aidha, South Sudan ni mzalishaji mkubwa wa mafuta. Sasa hivi wanasafirisha mafuta hayo kupitia Sudan ambayo imegubikwa na vita. Alternative ya kuaminika kwao ni kuyasafirisha kupitia Kenya. Kwa hiyo refinery hiyo italishwa na mafuta yao wenyewe na ya kutoka South Sudan. Aidha, mazao yake yatapata soko sio Kenya tu bali mpaka Ethiopia, nchi ambayo uchumi wake unakua kwa kasi sana. Na muhimu kuliko yote ni kuwa amewekeza tayari Tanzania na anajua changamoto zetu kwenye biashara. Changamoto kama wana siasa kuingilia utendaji, sheria zisizo eleweka, wizi uliokithiri n.k.). Kwa hali hiyo hauwezi kumlaumu kwa kuona kuwa atafaidika zaidi akiwekeza Kenya kuliko Tanzania.
Badala ya kujaribu kumshawishi tuboreshe mazingira ya kufanya biashara na tuwafunge gavana za spidi wana siasa wetu.
Amandla...
Dangote hajawa tajiri kwa kuendekeza ujinga. Kenya wanatarajia kuanza kuvuna mafuta yao mwishoni mwa mwaka huu kutoka South Lokichar Basin, Turkana. Aidha, South Sudan ni mzalishaji mkubwa wa mafuta. Sasa hivi wanasafirisha mafuta hayo kupitia Sudan ambayo imegubikwa na vita. Alternative ya kuaminika kwao ni kuyasafirisha kupitia Kenya. Kwa hiyo refinery hiyo italishwa na mafuta yao wenyewe na ya kutoka South Sudan. Aidha, mazao yake yatapata soko sio Kenya tu bali mpaka Ethiopia, nchi ambayo uchumi wake unakua kwa kasi sana. Na muhimu kuliko yote ni kuwa amewekeza tayari Tanzania na anajua changamoto zetu kwenye biashara. Changamoto kama wana siasa kuingilia utendaji, sheria zisizo eleweka, wizi uliokithiri n.k.). Kwa hali hiyo hauwezi kumlaumu kwa kuona kuwa atafaidika zaidi akiwekeza Kenya kuliko Tanzania.
Badala ya kujaribu kumshawishi tuboreshe mazingira ya kufanya biashara na tuwafunge gavana za spidi wana siasa wetu.
Amandla...
Kuna mpango tayari wa kujenga bomba kati ya South Sudan na Lamu ( LAPPSET project). By the time refinery inakamilika, pipeline nayo itakuwa tayari. Wakati huo huo itaweza kusafisha mafuta yanayoletwa kwa meli...hazina ya mafuta ya Kenya ni ndogo sana ukilinganisha na Uganda.
..mafuta ya South Sudan sikuyafikiria kama chanzo cha refinery ya Lamu.
..Nakushukuru kwa kuiweka mezani hoja ya mafuta ya South Sudan.
..kwa upande mwingine, Lamu haijafikiwa na bomba la mafuta ghafi. Tanga inatarajia kufikiwa na bomba la mafuta ghafi hivi karibuni.
..Nilitarajia uwepo wa bomba la mafuta kitakuwa kigezo muhimu ktk maamuzi ya Aliko Dangote.
Sio rahisi. Lamu ni karibu zaidi na linapita nchi moja tu sio mbili. Na hali ya usalama kaskazini mwa Uganda haiaminiki sana. Aidha, ukiangalia mazingira ya kisiasa katika nchi hizi tatu Kenya wako stable zaidi. Na mfumo wa sheria wa Kenya unaaminika zaidi kwenye kulinda haki za investor kuliko ya Tanzania na Uganda...hivi hakuna uwezekano wa kujenga bomba toka South Sudan mpaka Hoima-Uganda?
..kwa hiyo bomba jipya likawa South Sudan -- Uganda -- Tanzania.
..wakifanikisha hilo Dangote itabidi akae.
Cc Fundi Mchundo
Sababu nyingine ni mafuta mengi offshore Somalia washaanza kuchimba kupitia waturuki. Na Lamu siyo mbali..hazina ya mafuta ya Kenya ni ndogo sana ukilinganisha na Uganda.
..mafuta ya South Sudan sikuyafikiria kama chanzo cha refinery ya Lamu.
..Nakushukuru kwa kuiweka mezani hoja ya mafuta ya South Sudan.
..kwa upande mwingine, Lamu haijafikiwa na bomba la mafuta ghafi. Tanga inatarajia kufikiwa na bomba la mafuta ghafi hivi karibuni.
..Nilitarajia uwepo wa bomba la mafuta kitakuwa kigezo muhimu ktk maamuzi ya Aliko Dangote.
Mwache Dangote ajenge refinery yake Lamu, na sisi na Uganda tuendelee na mpango wetu tujenge refinery yetu Tanga, unless kama crude oil ya Uganda, itatosha ku feed refineries zote mbili to the full capacity na ziada yauzwe nje, ni refinery yetu ndio ita make profits, kwasababu hiyo ya Dango te itamlazimu ku import crude ndipo asafishe wakati yetu ni tunakinga tuu kutoka bombani!.Ndio hivyo tena, tumeikosa.
Dangote ameiambia BBC, ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta katika mji wa Lamu nchini Kenya utaanza Oktoba 2026. Ujenzi utagharimu Dola za Kimarekani bilioni 15.5 badala ya bilioni 20 zilizotajwa awali. Upungufu wa gharama umetokana na uzoefu wa kujenga kiwanda kama hicho kule nchini Nigeria.
Nawasilisha!
Dr. Chris Cyrilo.
Sababu nyingine ni mafuta mengi offshore Somalia washaanza kuchimba kupitia waturuki. Na Lamu siyo mbali
Nadhani suala hili limemtibua Museveni kuliko Samia kwasababu mafuta siyo ya Tanzania, mafuta ni ya Uganda...Somalia na Uturuki bado wako katika hatua ya utafutaji, hawajaanza kuchimba.
..Pia Kenya hawajaanza kujenga bomba la kutoa mafuta Turkana kupeleka Lamu.
..South Sudan akijenga bomba mpaka Hoima Uganda, ili kuunganisha kuja Tanga, mradi wa refinery Lamu utakuwa na wakati mgumu sana.
..Nadhani suala hili limemtibua Museveni kuliko Samia kwasababu mafuta siyo ya Tanzania, mafuta ni ya Uganda.
Refinery ilikuwa lazima ijengwe Tanga, watanzania tukiwa na sifa ya kupinga kinachofanywa na serikali yetu haraka sana tukaanza kumpigia promotion Dangote bila ya kujua nini haswa ambacho serikali inaweza kukifanya chenye faida kwa miaka mingi ijayo.Halafu cha kuchekesha, ukiangalia bajeti yetu ya nishati, hakuna hata dalili ya hiyo Tanga Energy Hub hadi walipochelewa kushtuka. Ni too little, too late. Unasubiri Dangote atangaze Lamu ndio unakimbilia kusaini MoU na Uganda kama unafanya dharura ya msiba.
Mama alizingua kwa kauli yake hata mimi ningekuwa Ruto ninge mind.Nauliza tu Dangote alikataa ile 10% ya uchochoroni nini ?
..hazina ya mafuta ya Kenya ni ndogo sana ukilinganisha na Uganda.
..mafuta ya South Sudan sikuyafikiria kama chanzo cha refinery ya Lamu.
..Nakushukuru kwa kuiweka mezani hoja ya mafuta ya South Sudan.
..kwa upande mwingine, Lamu haijafikiwa na bomba la mafuta ghafi. Tanga inatarajia kufikiwa na bomba la mafuta ghafi hivi karibuni.
..Nilitarajia uwepo wa bomba la mafuta kitakuwa kigezo muhimu ktk maamuzi ya Aliko Dangote.