King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,678
- 68,662
Mwanzo wa ujana huwa unasumbua sana. subiri baada ya miaka michache utaona umuhimu wa ndevu!
Hasa kama hauna hela ndio ndevu zinaboa sana!!
Mwanzo wa ujana huwa unasumbua sana. subiri baada ya miaka michache utaona umuhimu wa ndevu!
safari ya ushoga huanza taratiiiibu!!![/QUOT]
inaonekana safari hiyo imeanza zamani, sasa imemnogea ataka kuberesha
Be great full for that...kwa maana ungekua nazo ,all that cute face of yours,could be developing some pimples .,so keep calm kijana,huitaji ndevu.
haaaaaaah wengine hatuzipend wengne wanatafuta
Wakuu kiukwel cjui, nina miaka 26 lkn cion dalili ya kuota ndevu, Je, kuna namna ya kufanya walau zitoke kidogo maana watu husema mwanaume ndevu cjui ni kwl. msaada kwa hili.
Lakini wanasema ndevu zina heshima yake bro nakuwa kama mtoto na zaid mungu kanpa umbo c nyama uzembe ktk miak hiyo ukinichek ht unipelek form one nakubalika bila swal
Dogo angalia huyo bebee anataka kukubashia.Pole dogo kwa kukosa ndevu,chukua wembe kila siku uwe unanyoa hivyo vinywele vyekundu kwenye ndevu fanya hivyo kila baada ya siku 2 baada ya miezi 3 ndevu zitakuja.
Genes/viasili ndio huamua uwe na ndevu, pubic hair na hata vinyweleo kiasi gani. Kuna watu hawana pubic hair kabisa, kuna wanaohitaji kushave kila siku na kuna wanaohitaji kushave mara moja kwa mwezi. Kuna mwenye vinyweleo kama simba dume na kuna asiekuwa navyo kwa wingi.
kama naniliu inafanya kazi vizuri, achana na ndevu. Sio kila mwanamke anavutiwa na midevu kama pori la mchicha.
"Baby face" inakuboa? Pole sana. Sijawahi kusikia dawa yake hasa. Mie nina mandevu mpaka naona kero, kuna nyakati natamani kutokuwa nazo!Wakuu kiukwel sijui, nina miaka 26 lakini sioni dalili ya kuota ndevu, Je, kuna namna ya kufanya walau zitoke kidogo maana watu husema mwanaume ndevu sijui ni kweli. Msaada kwa hili.
Lakini wanasema ndevu zina heshima yake bro nakuwa kama mtoto na zaid mungu kanpa umbo c nyama uzembe ktk miak hiyo ukinichek ht unipelek form one nakubalika bila swal