Mtandaoni
Senior Member
- Jul 22, 2013
- 111
- 31
Inaonyesha huku pitia ule mchezo wa kuitwa baba alafu wanakushika kidevu....
Fanya hivi.
Uwe unakishika kidevu mwenyewe huku unavuta ....hadi zitoke.
Hii cidhani.
Inaonyesha huku pitia ule mchezo wa kuitwa baba alafu wanakushika kidevu....
Fanya hivi.
Uwe unakishika kidevu mwenyewe huku unavuta ....hadi zitoke.
Unakubalika bila swali kwasababu huna ndevu. Ukizipata huwezi kukubalika
C wataxema nimezeeka.
ni ndevu tu?au mpaka sehemu za ''wazi'' hakuna nywele
mwanamme ndevu bwana!wakati wa kutafakali unakuwa unazikunakuna kuvuta kumbukumbu!sasa usipokuwa nazo wakati wa kutafakari utajikuta unaingiza mkono kwenye chup.i ili ushikeshike huko!au labda ushikweshike kichwani!
Sasa ndevu za nini unataka tena. Mbona hueleweki. Unazitaka wakati mwingine unafurahia hiyo hali.
Jaman kwa mwenye ufahamu anisaidie kunijibu.Hivi kuna dawa ya kupaka kidevun na kuondoa ndevu zisiote tena forever??
Kwanini hauzitaki au unataka ubadili jinsia?
Zipo pesa yako tu. Nenda ulaya wana mionzi inaua yoote kabisa
Dah wewe huzitaki
wakati sisi tunazitaka...... Hebu na mimi mnisaidie dawa ya kuotesha
ndevu
Jaman kwa mwenye ufahamu anisaidie kunijibu.Hivi kuna dawa ya kupaka kidevun na kuondoa ndevu zisiote tena forever??
nunua magic, paka kila wiki
hahahahaha