Ndesamburo anunua helkopta za kampeni Chadema

Hapa tunamzungumzia Ndesamburo kanunua helkopta kwa ajili ya CHADEMA soma hiyo headline vizuri ili uache kujibu PUMBA.

Na suala la Helikopta kuwa mali yake asingeuambia umma kuwa amewanunulia CHADEMA....tena zitaanza kutumika uchagani. Huoni kama ni coincidence....hiki cha kilichokuwa kikijulikana kama "Chaga Development Man" au hukumbi ile kashfa ya ukabila kujaa kwenye hiki chama.

Hivi mimi na wewe anayeongea PUMBA ni nani, Una pointi Nzuri sana Kichwani mwako lakini Badala ya Kuongozwa na Dhamira safi kuzitoa Unaongozwa na Hisia Zako tena Hisia za Chuki dhidi ya Wachaga, Mkuu Nunua zako basi upeleke kusini.

Ni wapi Pameandikwa kwamba ni Mali ya CHADEMA?
 
Hivi mimi na wewe anayeongea PUMBA ni nani, Una pointi Nzuri sana Kichwani mwako lakini Badala ya Kuongozwa na Dhamira safi kuzitoa Unaongozwa na Hisia Zako tena Hisia za Chuki dhidi ya Wachaga, Mkuu Nunua zako basi upeleke kusini.

Ni wapi Pameandikwa kwamba ni Mali ya CHADEMA?

Nahisi hujanielewa na unahitaji kusaidiwa....hoja uliyoitoa hapa ni kuwa Helkopta ni mali yake na ofcoz kama hivyo ndivyo basi aendelee na anachotaka kufanya....lakini kama amenunua huduma hiyo kukisaidia chama chake ambacho kwa mujibu wa sheria za usajili wa vyama vya siasa kinapaswa kiwe na uwakilishi wa mikoa yote ya Tanzania ikiwemo visiwani...Basi si sahihi kwa yeye kukisaidia chama huku akiweka masharti namna MSAADA HUYO utakavyotumika na suala la wapi chomo hicho kitafanya kazi kinamaana kubwa sana katika DURU za kisiasa.

Mkuu usitake nihoji uwezo wako wa kuchambua mambo, au umesahau tupo kwenye jukwaa la siasa na si kwenye MIPASHO? Mi sina chuki na wachaga kwanza ni shemeji zangu, ila najaribu kutoa mawazo yangu hasa kwa faida ya wanachadema maana huwezi kujua kinaweza kuwa chama dola na kushika mustakabali wa maisha yetu....unalooooo weweeee?
 
Nahisi hujanielewa na unahitaji kusaidiwa....hoja uliyoitoa hapa ni kuwa Helkopta ni mali yake na ofcoz kama hivyo ndivyo basi aendelee na anachotaka kufanya....lakini kama amenunua huduma hiyo kukisaidia chama chake ambacho kwa mujibu wa sheria za usajili wa vyama vya siasa kinapaswa kiwe na uwakilishi wa mikoa yote ya Tanzania ikiwemo visiwani...Basi si sahihi kwa yeye kukisaidia chama huku akiweka masharti namna MSAADA HUYO utakavyotumika na suala la wapi chomo hicho kitafanya kazi kinamaana kubwa sana katika DURU za kisiasa.

Mkuu usitake nihoji uwezo wako wa kuchambua mambo, au umesahau tupo kwenye jukwaa la siasa na si kwenye MIPASHO? Mi sina chuki na wachaga kwanza ni shemeji zangu, ila najaribu kutoa mawazo yangu hasa kwa faida ya wanachadema maana huwezi kujua kinaweza kuwa chama dola na kushika mustakabali wa maisha yetu....unalooooo weweeee?

Unajua Mkuu MIPASHO ni Pamoja na Umbeya au UONGO ni Masharti gani hayo mkuu.

Straight to the Point Mkuu haina haja ya kuandika mistari zaidi ya Mitatu
 
*Zitaanza uchaguzi wa serikali za mitaa

Boniface Meena, Moshi

MBUNGE wa Moshi Mjini,Philemon Ndesamburo(Chadema), amenunua helkopta mbili kwa ajili ya kukisaidia chama hicho katika kampeni za chaguzi mbalimbali hapa nchini.

Akizungumza na Mwananchi Jumapili jana, Ndesamburo alikiri kuwa amenunua helkopta hizo, ili kukipunguzia chama chao gharama kubwa za kukodi wakati wa kampeni.


Lakini safari hii, chama hicho kimeamua kumiliki helkopta yake huku Ndesamburo akisisitiza: "Vibali vyote nimeshapata kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga na vile vile vya kuitoa hiyo moja Nairobi na kuifikisha hapa Jumatatu".

Alisema kuwa helkopta hizo zitaanza kufanya kazi katika kampeni za serikali za mitaa katika majimbo yote ya Mkoa wa Kilimanjaro na baadaye katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. [/COLOR


As you requested...anything else?
 
Hapa tunamzungumzia Ndesamburo kanunua helkopta kwa ajili ya CHADEMA soma hiyo headline vizuri ili uache kujibu PUMBA.

Na suala la Helikopta kuwa mali yake asingeuambia umma kuwa amewanunulia CHADEMA....tena zitaanza kutumika uchagani. Huoni kama ni coincidence....hiki cha kilichokuwa kikijulikana kama "Chaga Development Man" au hukumbi ile kashfa ya ukabila kujaa kwenye hiki chama.

Uchagani inawezekana unakusikia tu,kisiasa wengi wa wananchi wa kule ni waelewa,miundo mbinu pia si mbaya sana na hivyo kuwafikia wananchi si tatizo kubwa,na pia asilimia kubwa ya wananchi wa huko ni well informed kwa taarifa yako.
Nashangazwa unapozungumza kama mtoto mdogo et zitaanza kutumika uchagani,kana kwamba zimenunuliwa kwa ajili ya kuwafurahisha wachagga,kuwabeba kwenye helicopta ama kuwaonyesha helicopta,ndivyo unavyo imply,jambo ambalo sidhani kama ni malengo yao....Na kamwe hayawezi kuwa malengo ya mtu mwenye akili timamu.
Nadhani hizo ni asset zitakazosaidia shughuli zao za kichama na kama ni kuwafikia wananchi kwa Helicopta sidhani kama Kilimanjaro kuna tatizo la kuwafikia wananchi kwa urahisi kwani miundo mbinu ni mizuri....Na kwahivyo basi maoni yako ndio yamejaa ukabila wa kufikirika. Unalazimishia ukabila ambao haupo.
 
As you requested...anything else?

Mkuu kwa hiyo Tatizo lako ni Helicopter za Ndesamburo Zitaanzia Wapi, Kwa Hiyo kwa Sababu zinaanzia Mkoa wa Kilimanjaro ( Ambao una Kabila Zaidi ya Wachaga) Basi kuna Ka element ka Uchaga

Nijibu Swali Hili Mkuu

Uchaguzi wa 2005 Chopper ya CHADEMA ilianzia wapi vile?

Asante
 
*Zitaanza uchaguzi wa serikali za mitaa

Boniface Meena, Moshi

MBUNGE wa Moshi Mjini,Philemon Ndesamburo(Chadema), amenunua helkopta mbili kwa ajili ya kukisaidia chama hicho katika kampeni za chaguzi mbalimbali hapa nchini.

Moja ya helkopta hizo tayari iko hapa nchini na nyingine itawasili Jumatatu (kesho) na tayari mbunge huyo ameshapata vibali vya kuziruhusu helkopta hizo kutumika hapa nchini.

Akizungumza na Mwananchi Jumapili jana, Ndesamburo alikiri kuwa amenunua helkopta hizo, ili kukipunguzia chama chao gharama kubwa za kukodi wakati wa kampeni.

Hatua hiyo ni kubwa zaidi kwa Chadema, chama ambacho kimekuwa kikijitahidi kujiimarisha na kuongeza nguvu hasa wakati wa uchaguzi.

Tangu mwaka 2005 wakati wa Uchaguzi Mkuu, Freeman Mbowe alipogombea urais kwa mara ya kwanza, chama hicho kilitumia helkopta ya kukodi.

Hata katika baadhi ya chaguzi ndogo za ubunge zikiwemo za jimbo la Busanda na Tarime, chama hicho kilitumia helkopta za kukodi kwa ajili ya kufanyia kampeni.

Lakini safari hii, chama hicho kimeamua kumiliki helkopta yake huku Ndesamburo akisisitiza: "Vibali vyote nimeshapata kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga na vile vile vya kuitoa hiyo moja Nairobi na kuifikisha hapa Jumatatu".

Alisema kuwa helkopta hizo zitaanza kufanya kazi katika kampeni za serikali za mitaa katika majimbo yote ya Mkoa wa Kilimanjaro na baadaye katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana ni kuwa Chadema imesimamisha wagombea zaidi ya robo tatu katika kila jimbo mkoani Kilimanjaro.

Katika Jimbo la Moshi Mjini, chama hicho kimesimamisha wagombea 60Â na Jimbo la Rombo kimesimamisha wagombea 52.

Uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajiwa kufanyika Jumapili ijayo huku idadi ya wapigakura ikiwa ndogo kinyume na matarajio.

Hali hiyo imesababisha baadhi ya vyama kujipanga kikamilifu ili kuhakikisha wanakwepa kile wanachoita hujuma dhidi ya CCM.

Uchaguzi huo ni muhimu kwa vyama vya siasa kujipatia mtaji na kujiimarisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, ambao unatarajiwa kuwa na mchuano mkali.

Viongozi wa serikali za mitaa wana nguvu na ushawishi mkubwa wa kimaamuzi katika uchaguzi mkuu wa wabunge na Rais, kwani wapigakura wengi wako kwenye maeneo yao. Pia ngazi ya uchaguzi wa serikali za mitaa ni muhimu katika maamuzi ya maendeleo ya nchi kutokana na watu wengi kuishi vijijini ambako pamoja na mambo mengine kuna shughuli nyingi muhimu za uchumi hasa kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa taifa.


Wamechoka kukodisha?

Mkuu kwa hiyo Tatizo lako ni Helicopter za Ndesamburo Zitaanzia Wapi, Kwa Hiyo kwa Sababu zinaanzia Mkoa wa Kilimanjaro ( Ambao una Kabila Zaidi ya Wachaga) Basi kuna Ka element ka Uchaga

Nijibu Swali Hili Mkuu

Uchaguzi wa 2005 Chopper ya CHADEMA ilianzia wapi vile?

Asante

Wewe bila shaka unahitaji msaada wa kitaalam zaidi.....Hoja yangu iko hivi, hakuna asiyejua kuwa CHADEMA imejijenga sana huko juu, ingekuwa busara kama wangetumia rasilimali hiyo kujenga ngome nyingine ya kushambulia mwaka 2010. Ni sawa na Tajiri anaeamua kumsaidia tajiri mwenzie labda anajua atafaidika pia.

So if you want to continue with your silly debate be my guest. My point is not chaga people rather sharing of part cake equally kama ilivyotakiwa gawiwo la ruzuku ya chama hicho ambacho robo tatu ya wabunge wanatoka huko na kalibia wabunge wote wa viti maalum nao wa huko huko ukimtoa Mhe. Mhonga.

Zaidi ya hapo, nitakuona ni MGOGORO tu.
 
Uchagani inawezekana unakusikia tu,kisiasa wengi wa wananchi wa kule ni waelewa,miundo mbinu pia si mbaya sana na hivyo kuwafikia wananchi si tatizo kubwa,na pia asilimia kubwa ya wananchi wa huko ni well informed kwa taarifa yako.
Nashangazwa unapozungumza kama mtoto mdogo et zitaanza kutumika uchagani,kana kwamba zimenunuliwa kwa ajili ya kuwafurahisha wachagga,kuwabeba kwenye helicopta ama kuwaonyesha helicopta,ndivyo unavyo imply,jambo ambalo sidhani kama ni malengo yao....Na kamwe hayawezi kuwa malengo ya mtu mwenye akili timamu.
Nadhani hizo ni asset zitakazosaidia shughuli zao za kichama na kama ni kuwafikia wananchi kwa Helicopta sidhani kama Kilimanjaro kuna tatizo la kuwafikia wananchi kwa urahisi kwani miundo mbinu ni mizuri....Na kwahivyo basi maoni yako ndio yamejaa ukabila wa kufikirika. Unalazimishia ukabila ambao haupo.


Pamoja na ukweli kuwa umevamia mjadala kwa ushabiki...nakushukuru kwa kunisaidia kuwasilisha hoja yangu kwa urahisi zaidi....kama nilivyohighlight sentensi zako....kwanini aamue kutumia helkopta huko wakati inaeleweka supposely wachaga ni waelewa na wasomi...one more thing miundo mbinu iko tambarare?

Usiingilie mambo kwa jazba fanya tathmini kabla ya kuja kuonekana mwingi wa ukabila na kwa jinsi ulivyotetea...sichelei kusema wewe mwenyewe ni MCHAGA hivyo si JAJI sahihi wa mada hii.
 
Pamoja na ukweli kuwa umevamia mjadala kwa ushabiki...nakushukuru kwa kunisaidia kuwasilisha hoja yangu kwa urahisi zaidi....kama nilivyohighlight sentensi zako....kwanini aamue kutumia helkopta huko wakati inaeleweka supposely wachaga ni waelewa na wasomi...one more thing miundo mbinu iko tambarare?

Usiingilie mambo kwa jazba fanya tathmini kabla ya kuja kuonekana mwingi wa ukabila na kwa jinsi ulivyotetea...sichelei kusema wewe mwenyewe ni MCHAGA hivyo si JAJI sahihi wa mada hii.

Siko hapa kujudge ila kuchangia,na hakuna nilipoingilia anything kwa any jazba "Wingi wa ukabila" Unaozungumzia wewe mbinu yako kwenye mjadala huu,kwa kuni identify kutokana na jina langu,je na mimi nikiku disqualify kwa kujiita "FiksiMan" Utajibu nini? Wewe ni FIKSIMAN hivyo si JAJI sahihi wa mada hii...
 
Yawezekana inahitajika kwani uchaguzi si una gharama..? ulitaka waendelee kutumia baskeli na kutembea tu kwa miguu. Akili ni pamoja na uwezo wa kuitumia.




Fedha zilizoenda Meremeta, Mwananchi Gold, Deep Green, IPTL, Dowans, Richmond, ATCL, n.k zingetumika kuinua maisha ya watu wetu unafikiri tungekuwa na mauaji ya maalbino namna hii. Badala ya kuibana Chadema ibane CCM ambayo inauza utajiri wa nchi yetu kwa wageni kama njugu, huku Watanzania wakiendelea kutumikishwa katika uombaomba wa milele!



Inategemea unaangalia nini; kama helikopta zitasaidia kupata wawakilishi wengi mitaani ambao wataweza kutekeleza agenda za Chadema.. basi kuwekeza huko kunalipa. Siasa ni pamoja na kuwekeza katika kugharimia nafasi za kisiasa na hakuna nafasi za kisiasa ambazo ni bei chee.

la maana ni kuona jinsi gani uwekezaji huu utalipa. Hili litaoonekana baada ya matokeo ya uchaguzi. Na hapo ndipo tunaweza kwa haki kuhukumu kama ulikuwa ni uwekezaji makini. Lakini vile vile.. kwenye maeneo mengine yawezekana hizo Helikopta zikatumika katika mambo mengine zaidi ya kampeni za kisiasa. Fikiria.



Na njia mojawapo ni kupata wawakilishi au viongozi kwenye mitaa wanayoishi walemavu hao.. think about it!

asante kiongozi kwa majibu yako mwanana...kweli kuwa na akili ni pamoja na kujua kuzitumia
 
Hence, the issue is not which party is the ruling part (it may be CCM, CHADEMA, CUF, u name it...) but rather the issue is what is the composition of national assemply?

As I said several times, I love ruling party to have 60% to 70% maximum and opposition 40% to 30% minimum.

"CHADEMA when become the ruling part will behave like CCM at least by 75%"

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kama ule mkakati wa RAIS WA KABILA YETU wa mwaka 1995 wameuacha, tutawaunga mkono. Vinginevyo acha wanunue vitendea kazi na hasa baada ya jaribio la Zitto kuwa limezimwa kiaina.
 
Pamoja na ukweli kuwa umevamia mjadala kwa ushabiki...nakushukuru kwa kunisaidia kuwasilisha hoja yangu kwa urahisi zaidi....kama nilivyohighlight sentensi zako....kwanini aamue kutumia helkopta huko wakati inaeleweka supposely wachaga ni waelewa na wasomi...one more thing miundo mbinu iko tambarare?

Usiingilie mambo kwa jazba fanya tathmini kabla ya kuja kuonekana mwingi wa ukabila na kwa jinsi ulivyotetea...sichelei kusema wewe mwenyewe ni MCHAGA hivyo si JAJI sahihi wa mada hii.

Napenda watu wanaokwenda Straigth to the POINTI ndiyo maana nawapenda Wahandisi na Sayantisti

2005 CHOPPER ILIANZIA WAPI?
 
Nafikiri huyo mzee kama kweli anataka kuki imarisha chake ni vizuri akaanza kukifadhili chama chake kuanzia ngazi za nchini!sina uhakika sana ni mikoa mingapi chadema wana usafiri wa gari,lakini kwa uelewa wangu wa baadhi ya mikoa chadema haina hata ofisi achilia mbali usafiri wa watendaji wake!ni vizuri hizo pesa za helkopta angewanunulia watendaji wa mikoa magari au hata piki piki waweze kufanya kazi zao kiufanisi zaidi!

Uendeshaji wa hizo helkopta zina gharama sana pia zitatumiwa kwenye kampeni baada ya hapo zitasimama tu!Kuna mtendaji mkuu mmoja wa Chadema alifanya ziara mkoa mmoja alipelekewa kusaini kitabu cha wageni hotelini kwa kuwa mkoa huo hauna ofisi!!!

Chadema ikiwa wanataka kukiimarisha chama chao ni bora wawe na vitendea kazi kuanzia wilaya mpaka mikoa!Viongozi wakuu wanatumia usafiri wa Helkopta huku katibu wa wilaya au mkoa hana hata baiskeli kuwafikia wanachama wake au hata wapiga kura!!!Watendaji hawana hata chumba cha ofisi kufanyia kazi za chama sijui huwa wanawasiliana vipi na makao makuu ya chama chao!au wanatumia Simu za Mikononi na sms!!!
 
Wakuu ile programme ya online registration and support iko wapi? Chadema tupeni upadates please. Tuna hamu nayo
 
hili litakuwa ni jibu la wiki! kwani kina Somaia si wameigawia CCM na serikali yake misaada kibao? na kina Rostam na Lowassa je? sasa tunashangaa kwanini kina JK wanashindwa kung'ata? mtu atang'ata mvipi mkono unaomlisha?

Chadema labda wanafuata nyayo tu za CCM...
ufadhilii wa aina yeyote huwa na fadhila zake toka enzi na enzi..

cha muhimu fadhila hizoo ziwe za kujenga na sio kubomoa..

John Rupia msaada wake kwa nyerere sina uhakika ulisaidia kumfikisha Paul Rupia kuwa Katibu wa Ikulu!!!!!

Famila za akina sykes, tambaza,mtevu, na wenzaoo katika mapambano ya uhuru zilifaidikajee??

Juhudi za Ndesa na maendeleo ya Chadema hazina kipimooo...anafaidikajee???
 
NDIYO, NIKIPATA NAFASI NYINGI NITAKUWA NA USEMI NA HIVYO IWE RAHISI KURUDISHA GHARAMA NA KULIPA MADENI NILIYOSHIRIKIANA NA WANZANGU KUKOPA TANGU 2000! Hili linaweza kuwa jibu rahisi na linaloeleka zaidi, kinyume ya hilo tanadanganyana. Baada ya chaguzi itafuata falsafa ya "IT'S OUR TIME TO EAT" Huu siyo ukombozi ni upotevu wa raslimali usio na tija kwa jamii hii maskini. Uendeshaji wa siku moja tu wa helkopita moja utaufanya ukoo wako ukuthamini kwa msaada wa maana sana kuuendeleza, fikiria tena!!!
 
Back
Top Bottom