Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Hapa tunamzungumzia Ndesamburo kanunua helkopta kwa ajili ya CHADEMA soma hiyo headline vizuri ili uache kujibu PUMBA.
Na suala la Helikopta kuwa mali yake asingeuambia umma kuwa amewanunulia CHADEMA....tena zitaanza kutumika uchagani. Huoni kama ni coincidence....hiki cha kilichokuwa kikijulikana kama "Chaga Development Man" au hukumbi ile kashfa ya ukabila kujaa kwenye hiki chama.
Hivi mimi na wewe anayeongea PUMBA ni nani, Una pointi Nzuri sana Kichwani mwako lakini Badala ya Kuongozwa na Dhamira safi kuzitoa Unaongozwa na Hisia Zako tena Hisia za Chuki dhidi ya Wachaga, Mkuu Nunua zako basi upeleke kusini.
Ni wapi Pameandikwa kwamba ni Mali ya CHADEMA?