carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
huu nao ukweli eti. think people, think.halafu watoto wake, wakweze wakipewa viti maalum mtalalamika?
huu nao ukweli eti. think people, think.halafu watoto wake, wakweze wakipewa viti maalum mtalalamika?
vyama vyote vya siasa duniani vina wafadhili wake, na ndio wafadhali wakubwa wana sauti zaidi kwenye vyama hivyo na huzawadiwa nafasi mbalimbali tena kwa uwazi. Lakini kwenye nchi za kidemokrasia mfadhili ni lazima awe yule ambaye hana tuhuma za ufisadi au uvunjaji wa sheria au kuhusishwa na mambo yaliyo kinyume. Ndio maana kwenye nchi kama Marekani mfadhili akigundulika kuwa si "msafi" mgombea au kiongozi hulazimika kurudisha ufadhili wake!
elewa kwanza ndo ukoment mkuu
nimetumia kigezo hicho cha albino kuwa ndo current problem ya TZ kuliko helkopta
kila chama cha upinzani kina sera nzauri tatizo kuzitekeleza
Mbona chadema ni chama cha demokrasia lakini ndani hamna demokrasia?
huu nao ukweli eti. think people, think.
Nafikiri huyo mzee kama kweli anataka kuki imarisha chake ni vizuri akaanza kukifadhili chama chake kuanzia ngazi za nchini!sina uhakika sana ni mikoa mingapi chadema wana usafiri wa gari,lakini kwa uelewa wangu wa baadhi ya mikoa chadema haina hata ofisi achilia mbali usafiri wa watendaji wake!ni vizuri hizo pesa za helkopta angewanunulia watendaji wa mikoa magari au hata piki piki waweze kufanya kazi zao kiufanisi zaidi!
Uendeshaji wa hizo helkopta zina gharama sana pia zitatumiwa kwenye kampeni baada ya hapo zitasimama tu!Kuna mtendaji mkuu mmoja wa Chadema alifanya ziara mkoa mmoja alipelekewa kusaini kitabu cha wageni hotelini kwa kuwa mkoa huo hauna ofisi!!!
Chadema ikiwa wanataka kukiimarisha chama chao ni bora wawe na vitendea kazi kuanzia wilaya mpaka mikoa!Viongozi wakuu wanatumia usafiri wa Helkopta huku katibu wa wilaya au mkoa hana hata baiskeli kuwafikia wanachama wake au hata wapiga kura!!!Watendaji hawana hata chumba cha ofisi kufanyia kazi za chama sijui huwa wanawasiliana vipi na makao makuu ya chama chao!au wanatumia Simu za Mikononi na sms!!!
Hapa tunamzungumzia Ndesamburo kanunua helkopta kwa ajili ya CHADEMA soma hiyo headline vizuri ili uache kujibu PUMBA.
Na suala la Helikopta kuwa mali yake asingeuambia umma kuwa amewanunulia CHADEMA....tena zitaanza kutumika uchagani. Huoni kama ni coincidence....hiki cha kilichokuwa kikijulikana kama "Chaga Development Man" au hukumbi ile kashfa ya ukabila kujaa kwenye hiki chama.
Wewe bila shaka unahitaji msaada wa kitaalam zaidi.....Hoja yangu iko hivi, hakuna asiyejua kuwa CHADEMA imejijenga sana huko juu, ingekuwa busara kama wangetumia rasilimali hiyo kujenga ngome nyingine ya kushambulia mwaka 2010. Ni sawa na Tajiri anaeamua kumsaidia tajiri mwenzie labda anajua atafaidika pia.
So if you want to continue with your silly debate be my guest. My point is not chaga people rather sharing of part cake equally kama ilivyotakiwa gawiwo la ruzuku ya chama hicho ambacho robo tatu ya wabunge wanatoka huko na kalibia wabunge wote wa viti maalum nao wa huko huko ukimtoa Mhe. Mhonga.
Zaidi ya hapo, nitakuona ni MGOGORO tu.
Wakuu ile programme ya online registration and support iko wapi? Chadema tupeni upadates please. Tuna hamu nayo
Namba ni 15710. Sasa hivi inafanya kazi kwa mitandao ya Zain na Vodacom. Tigo na Zantel wataunganishwa baada ya muda sio mrefu.
.
UNAVYOMTETEA HUYO NDESAMBURO SIYO FISADI, JE SIKU MAFILE YAKE YATAKAPOTOKA NA KUJULIKANA YEYE NI FISADI UTASEMAJE?Nafikiri una-matatizo kidogo kwenye kuprocess taarifa....yani huelewi kabisaaaaaa! Naona error code tu kwenye posts zako, hamna kitu.
Fisadi ni nani? Ndesa yupo kwenye list yako a mafisadi??---- mfanyabiashara ambaye hana record chafu
CCM ilinunua magari (walifadhiliwa na mafisadi)- Mahandra kutoka India kwenye kampeni za 2005, magari kibao tu, kila wilaya nafikiri ilipata gari mbili. Kwa nn wasingejenga health centres au hata dispensaries vijijini? haikuwa kazi yao, hiyo ni kazi ya serikali......kama chama, wanahitaji kujiimarisha.
kama hujaelewa mpaka hapo sijui tukusaidiaje!
UNAVYOMTETEA HUYO NDESAMBURO SIYO FISADI, JE SIKU MAFILE YAKE YATAKAPOTOKA NA KUJULIKANA YEYE NI FISADI UTASEMAJE?
ACHA USHABIKI KIJANA
NANI ALIJUA KUWA MENGI KAKOPA MIAKA HIYO HELA ZA WANANCHI MPAKA LEO AJARUDISHA?
ME KWA NDESA KUWA NI FISADI AU SI FISADI SIWEZI SEMA LOLOTE KWANI WATU TULIOWAFIKIRIA KUMBE SIO NA TUSIOWAFIKIRIA KUMBE NDIO WENYEWE
KUHUSU TYPING ERROR computer yangu imeingia kirusi
teh teh thh thh teh
je helkopta ni muhim sana, na inahitajika kwa kampeni za serikali za mitaa? fedha izo zingesaidia albino wangapi waliokatwa mkono? yatiima wangapi? au hata shule ya kuwahifadhi albino wasome kwa amani?
sio eti kwaajili CCM inawafadhili mafisadi wanapotumia pesa vibaya basi napo Wafadhili wa CHADEMA nao watumie pesa vibaya....to me kama anauchungu wa taifa lake ondoa hizo hospitali nk, kuna mambo mengi kwa sasa angechangia ningefrahi zaidi ya hizo helkopta hususan asaidie walemavu wanaoishi kwenye mazingira ya shida sana
mengi sio kama kakopa kachelewa, ni HAJARUDISHA MKOPO MPAKA SASAJF imejaa viroja kweli.
Kukopa pesa ni ufisadi? Yaani so far hiki ndicho ccm mnaweza kuja nacho?
Kwamba ccm inaiba pesa za wananchi --- mzee chenge ni kiongozi wa juu kabisa wa ccm --- inalinganishwa na mwanaccm mwingine (mengi) aliyekopa na akachelewa kurudisha?!
Mzee Ndesa si fisadi.mengi sio kama kakopa kachelewa, ni HAJARUDISHA MKOPO MPAKA SASA
mimi siisemei CCM wao wamesha chemsha kwenye hilo swala la ufisadi
kuhusu ndesa vyanzo vyake vya mapato hatuvijui so tukae kimya kuliko kumdeclare sio fisadi..
mengi sio kama kakopa kachelewa, ni HAJARUDISHA MKOPO MPAKA SASA
mimi siisemei CCM wao wamesha chemsha kwenye hilo swala la ufisadi
kuhusu ndesa vyanzo vyake vya mapato hatuvijui so tukae kimya kuliko kumdeclare sio fisadi..
Ndio maana nimemkaribisha upya JF. Huenda alipoingia hakukaribishwa kwa hiyo anamalizia hasira za kutokaribishwa kwenye kiibodi.Mkuu Semenya vipi tena?
Mbona unaamuru watu hapa cha kusema na/au cha kutosema? Kwa nini unataka maoni yako ndiyo yawe ya jumuia au jamii nzima?
Punguza jaziba na mapovu mkuu na maisha yatakuwa rahisi tu. Kumbuka kuwa Ndesamburo hana hatia (sio fisadi) mpaka ithibitishwe vingenevyo - au wewe unasemaje?
Ndio maana nimemkaribisha upya JF. Huenda alipoingia hakukaribishwa kwa hiyo anamalizia hasira za kutokaribishwa kwenye kiibodi.
nani anathibitisha kuwa mtu ni fisadi me najua ni Court of law kama hivyo basi hata akina Lowasa et all tuwachukulie hivyo hivyo innocent till proved guiltyMkuu Semenya vipi tena?
Mbona unaamuru watu hapa cha kusema na/au cha kutosema? Kwa nini unataka maoni yako ndiyo yawe ya jumuia au jamii nzima?
Punguza jaziba na mapovu mkuu na maisha yatakuwa rahisi tu. Kumbuka kuwa Ndesamburo hana hatia (sio fisadi) mpaka ithibitishwe vingenevyo - au wewe unasemaje?
nani anathibitisha kuwa mtu ni fisadi me najua ni Court of law kama hivyo basi hata akina Lowasa et all tuwachukulie hivyo hivyo innocent till proved guilty
lakini ujumbe si niliufikisha mkuuAsante sana Jasusi,
Huyu Semenya amekuwa na hasira sana hapa jamvini for a while now. Juzi alimwaga madai chungu nzima hapa kuwa vyama vya upinzani havikosolewi hapa jamvini. Ilibidi SteveD atoe shule kwa kipindi kizima (bila maswali wala pop quiz).
Labda kwa kuwa umemkaribisha sasa atatulia na kufuatilia mijadala yote ya JF kwa umakini zaidi).