Ndege zinamsaidia nini bibi yangu kule kijijini?

Ndege zinamsaidia nini bibi yangu kule kijijini?

Hakuna lami,.na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.wataalamu msaada wenu
Huwezi kufanya kila kitu kikamsaidia kila mtu kati ya watu zaidi ya miloni hamsini.
 
Hakuna lami,.na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.wataalamu msaada wenu
Mwananchi wa mlo mmoja kwa siku ataipanda lini?
 
mleta post inabidi aelimishwe asitupiwe mawe maana ni haelewi kabisa yupo gizani sana...
 
Hakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,

Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.

Wataalamu msaada wenu.
Tumia bongo yako sawasawa kufikiri.
 
Siamini kama huo ndio mwisho wako wa kufikiri
 
Hakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,

Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.

Wataalamu msaada wenu.
Na wewe si ungebaki huko kijijini, umekuja huku mjini kufanya nini?
 
Hakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,

Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.

Wataalamu msaada wenu.
Ndege zitasaidia kukuza uchumi wa nchi ambao ukiongezeka ndio utamsaidia bibi yako kupata dawa kwenye zahanati yake ya kijiji na Huduma zingine za jamii.

JPM songa mbele usiogope,

Ingawa yapo mapungufu kidogo ya kurekebisha kwenye serikali yako naamini yatarekebishwa tu huko mbeleni,
kwani hakuna awezaye kukamilika kwa 100%.

Watanzania hatutajuta kukuchagua.
 
Hakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,

Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.

Wataalamu msaada wenu.
Huwezi kuelewa maana unataka kila kitu kimsaidie bibi yako, vingine vipo kwenye masilahi ya taifa ya jumla au tunaita General objectives ndio baadae utaona faida nyingine inakuja kwako na kwa bibi yako. huo ushamba watanzania wengi sijui tumetoa wapi hata unaamua kuandika bila kujiuliza na kufikiria
 
kwan ujenz wa bandari ya bagamoyo hukuusikia?
Ata ujenzi wa Chato Airport nao uliuponda japo kuna watu wananufaika nao through multiplier effect.
Aisee! Multiplier effect is just one thing but how viable is the investment! Sawa, leo viwanda vya saruji vimeuza saruji kwa ajili ya Uwanja wa Ndege Chato, vibarua vimepatikana, mafuta yameuzwa, Mama Lishe wamefanya biashara; now what about Return On Investment?!
 
Hakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,

Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.

Wataalamu msaada wenu.
mtwara na mafia kipindi cha nyerere tulikuwa tunaenda kwa ndege mpaka makapuku,....
 
Hakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,

Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.

Wataalamu msaada wenu.
hii nchi mna majungu sana aisee,kila kitu kwenu ni kibaya,viongozi washapita wangapi nchi hii kuna mliyewahi kumsifia?
 
ivi watanzania nani katuroga??sasa unataka ipelekwe lami bibi yako ana gari??ebu acheni mambo yenu,kama wewe hupandi si watapanda wenzio,mbona wakati ipo ndege moja zilipigwa kelele,sasa zipo unauliza zinamsaidiaje bibi yako kijijini......wewe ulitaka amnunulie baiskeli??
.....napita tu
 
mleta maada nafikiri ni small thinker siyo great thinker unless anatumia philosophy ya Socrates!!
 
Mkuu unasema utalii,kwani miaka yote haKukuwa na ndege?
Fikiria tunyo moja tu ya ATCL. Hatuwezi kuendeleza utalii kwa ndege za Kenya ambao ni washindani wetu kwenye utalii huo huo. Kikubwa na kuwa na usafiri wa anga mzuri ndani ya Tanzania. Watalii wakifika Dar waweze kwenda Kigoma, Tabora, Iringa, Mtwara, Rukwa, Ruvuma nk kwa ndege.
Mpango wa kununua zile kubwa utaleta manufaa zaidi. Zinawaleta toka nje ya nchi ili waje waunganishe na hizi za ndani
 
Duh! siamini kama kuna mtanzania bado anaweza kuzungumza hivyo, yaani hata shule kidogo hamna. hebu jiulize kwanza serikali inapata wapi fedha kwa ajili ya maendeleo? unadhani ni kodi tu? kalagabaho wewe!!
Jinga sana hili majitu kama haya unaona hata aibu akiwa ni kaka, dada au mzazi yako.
 
Kwanza, nikushukuru kwa kumpa somo halisi huyu mleta mada ili nina wasiwasi kama atakuelewa.

Pili, Usishangae ukisikia huyu uliyemjibu ana elimu ya Chuo Kikuu!

Tanzania kuna vituko!
Kabisa utashangaa ni mwanachuo
 
We mbinafsi sana. Kwa kuwa bibi yako na wewe hamuwezi kupanda ndege (kama ni kweli) ndo zisinunuliwe? Taifa kwanza. Wewe na bibi yako baadae.

Unavyoonekana ukipata urais wa nchi hii utakomalia mambo ya kumnufaisha bibi yako na wewe binafsi. Utakuwa kama Mobutu. Hutokuwa kama Gadaffi.
 
What kind of myiopic thinking! Tuna safari ndefu kweli kweli
Je ndege hizo zina mchango wowote kwenye kukua kwa uchumi wa nchi? Itasaidia kwa mfano sekta ya utalii inayoingiza fedha nyingi kwenye hazina?
Kule kijijini bibi ana mahitaji mengi - usafiri, huduma za afya, maji nk. Vitu vtote hivyo vinahitaji serikali iwekeze au itumie fedha.
Utalii ukiongezeka maana yake serikali inakuwa na uwezo zaidi wa kufikisha hizo tajwa kwa wananchi akiwemo bibi. Huo ni mfano mmoja tu.
Jibu la YES .... baada ya swali ulilouliza .... "Je ndege hizo zina mchango wowote kwenye kukua kwa uchumi wa nchi? ... lilitakiwa liwepo ili kutengeneza nguvu ya hoja yako ..... then alama (?) hapo ktk aya ya chini isingekuwepo ili kuendelea kumuelewesha vyema huyo mtoa mada pia kujenga POSITIVITY ARGUMENT
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom