busy bees
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,249
- 1,348
Yaani ndo limekuwa wazo langu tangu niliposoma bandiko lake ... dunia hii ama kweli ina maajabu ....Kwanza, nikushukuru kwa kumpa somo halisi huyu mleta mada ili nina wasiwasi kama atakuelewa.
Pili, Usishangae ukisikia huyu uliyemjibu ana elimu ya Chuo Kikuu!
Tanzania kuna vituko!
