Habahatishi yule, hao wanaitwa manabii wa kwelikumbe yule mtabiri siyo tambi tambi
jamaa alitabiriItakuwa ilijiburuza kichwa chini kwanza kwenye kina kifupi, ikakatika (kunjika), then sehemu ya nyuma ikabinuka kwenda juu kutokana na momentum yake.
Eeeh MunguHii ndege kwa jinsi ilivyobondeka mbele, haikuwa 'runway overshoot', yawezekana palikuwa na shida, ni wakati uchunguzi wa makini ufanyike.
Ni kama 'imestall'. Aliyesema alifanya mawasiliano na marubani aliwasiliana nao kwa njia gani? Maji yamewaanza marubani kwanza.
Hiyo athari kutokana na hizi picha yaonesha wengi wamekufa kabla ya maji kuwakuta kutokana na kuvunjika viungo.
View attachment 2410269View attachment 2410270
Ingeshukia kichwani, hiyo sehemu yote ya mbele na juu ingekuwa imeharibika sana. Lakini iko almost intact. Lakini ukiangalia vizuri, uharibifu mkubwa umetokea sehemu ya mbele KWA CHINI.Mzigo ni kama uli pigwa mtama hewani uka shukia kichwa.alie kua ana wasiliana na rubani sijui waliongeaji apo
Hiyo ndege yaonekana engine zilizima ikashuka moja kwa mojaEeeh Mungu
Hii si ajali ya kawaida
Mbona kama imebondwa ama iligonga mwamba?
maharage ya ukweni ulisema hii kitu
Tunayaweza haya. Lakin kufanya uokozi mmm
Mpuuzi sana yule. Atafutwe na awajibishwe. Sisi watanzania tunajifanyaga wajuaji sana na siyo "quick thinkers" hata tukiwa wasomi. Dogo angewaokoa kabisa marubani wetu. Atafutwe jamaa. Awajibishwe.aliyesema vioo visivunjwe aione hii picha