wakyagara wakinyora
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 735
- 288
Ndege ya kampuni ya Tanzanair iliyokuwa ikitokea Bukoba kuelekea Zanzibar,imeanguka hivi punde katika ziwa Manyara.
Mpaka muda huu bado inaelea majini,abiria wote sita pamoja na pilot wa saba bado wamo ndani ya ndege.
Taarfa za hivi pundei zinasema kuna boti imetoka Serena kwenda kuwaokoa.
Nitaendelea kuleta up
Chanzo: Niko na mtu ambaye anawasiliana na mmoja wa abiria waliomo ndani ya ndege hiyo.
Mpaka muda huu bado inaelea majini,abiria wote sita pamoja na pilot wa saba bado wamo ndani ya ndege.
Taarfa za hivi pundei zinasema kuna boti imetoka Serena kwenda kuwaokoa.
Nitaendelea kuleta up
Chanzo: Niko na mtu ambaye anawasiliana na mmoja wa abiria waliomo ndani ya ndege hiyo.
Bado haijafahamika chanzo cha ndege hiyo kuanguka.mmoja kati ya abiria waliokuwemo kwenye ndege hiyo ni wakili protaz ishengoma.boti inayokwenda kuwaokoa imeshawaona lakini bado haijawafikia
Abiria wote wameokolewa,Mungu ni mkubwa.Pilot aliomba kubadili mwelekeo atue Arusha kwa dharura ikashindikana kuwahi akatua ziwani.