Ndege yaanguka ziwa Manyara

Ndege yaanguka ziwa Manyara

Kuna viboko wengi sna hapo awe waangalifu.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Nimepokea taarifa hizi kutoka huko Arusha lakini sina uhakika, na kwa kuwa hapa ndo kwao na uhakika, kama kuna mtu ana data kamili atujuze.
 
Duh, nilifikiri mwandishi amekosea tu kuandika, kumbe kweli kuna shirika la ndege linaitwa tanzanair? Sijawahi kulisikia.
Wee na akina sie ndio Omujubi ametuambia ni lile kundi la watu wanaofikiria kidogo au hatupotezo muda kabisa kufikiria, sasa tutawezaje kufikiria habari za tanzaniair, zanair, eagle air n.k? Wacha tusikilizie new Challenge au Sumri ndio saizi yetu kaka.
 
huyo rubani ni jinias
Naam, bila shaka. Hii ni fani ambayo haitaki kuingiliwa. Kuna Rubani mmoja wa Air Tanzania alitua kwenye majani Oman miaka ile ya Air Tanzania ya kweli baada ya tairi kugoma kufunguk, na abiria wote walisalimika bila majeruhi. Hao ni marubani ambao walikuwa trained jeshi, Entebbe then Russia au Cuba kabla hajapewa ndege. Nashangaa siku hizi eti kuna vyuo vya urubani hadi 'Tabata Magengeni' na vinaachwa tu. tutarajie maafa makubwa huko tuendako?
 
Nimepokea taarifa hizi kutoka huko arusha lakini sina uhakika, na kwa kuwa hapa ndo kwao na uhakika, kama kuna mtu ana data kamili atujuze.

kweli according to Lau Masha

Lawrence (Lau) Masha ‏@laumasha3h
A plane has just crashed into Lake Manyara with 12 passengers on board including my Partner P. Ishengoma , they need help now.


Lawrence (Lau) Masha ‏@laumasha2h
The plane has been cited , rescue teams are approaching. Ishengoma is injured but alive. Thank you all for your prayers and assistance.
 
Ndege ya kampuni ya Tanzanair iliyokuwa ikitokea Bukoba kuelekea Zanzibar,imeanguka hivi punde katika ziwa Manyara.

Mpaka muda huu bado inaelea majini,abiria wote sita pamoja na pilot wa saba bado wamo ndani ya ndege.

Taarfa za hivi pundei zinasema kuna boti imetoka Serena kwenda kuwaokoa.

Nitaendelea kuleta up

Chanzo: Niko na mtu ambaye anawasiliana na mmoja wa abiria waliomo ndani ya ndege hiyo.

Imetua katika Ziwa kwa dharura badala yake ingeanguka nchi kavu hakungekuwa na kiumbe hai. Hongera kwake rubani maana kutua ziwani nako ni tukio la kutisha sana.
 
Nawapa pole waliopata hio ajali. Lakini ufike wakati sasa ufanyike uchunguzi wa kina kujua chanzo cha hizi ajali za ndege hasa ukanda huo manake kuna nyingine ilianguka recently

Na hilo ndio jambo la msingi mkuu, nimeshuhudia hivi karibuni ajali ya ndege iliyotokea Marekani 14 August 2013, UPS A300F4-622R; Birmingham. Uchunguzi wa hiyo ajali ulienda mbali hadi jinsi nagazi au madaraja yanavyoathiri mawasiliano baina ya wafanyakazi na kuona mchanganyiko wa wafanyakazi kutoka marekani na mataifa mengine.

Hii yote ilikua kuona kwamba huenda mtu wa chini akawa na habari muhimu ambayo ingeweza kuepusha ajali, lakini jinsi anavyoitoa inategemea anamwambia nani na yuko daraja gani, ikaonekana ajali ingeweza kuzuiliwa kama mtoa taarifa kwa rubani angetoa maelezo ya hali halisi kwa rubani badala ya kutumia lugha ya upole na kuogopa kumweleza ukweli kwamba aongeze speed ya ndege ili iweze kutua salama.

Naunga mkono hoja yako kwamba utafiti wa hizi ajali zinazoendelea kutokea hapa kwetu ufanyike kwa ufanisi na lengo iwe kupunguza au kuzuia matatizo kama hayo kutokea mbeleni.
 
ok, taarifa zimefika.
swali langu:mbona ndege ata ikijikwaluza tu na watu wawili inaonekan"big issue" kweli mpaka breaking newz...mara habari zilizotufikia hivi punde, lakini huko kwenye gari zetu za mkaa , au dala dala, au za mnadani zinamwaga abiria wa kutosha huwa inaoenekana ishu "minor" sana , hivi kwanini wa tz tunazikweza xana wakati kuna vyombo vya usafiri vinamajnga zaidi ya hivyo vindege vyetu. ni hayo tu.
Tukio lolote linaripotiwa jomba!!!wacha kulalamika kitabaka!
 
Tanapa wamefanikisha uokoaji wa ndege husika ndani ya ziwa manayara wahusika baada ya tatzo waliomba msaada tanapa kikosi cha uokoaji cha tanapa kikawahi na kuwaokoa abiria wote wakiwa ziwan ambapo kuna vboko na mamba mungu mkubwa tanapa wamesaidia abiria wote wapo salama
 
usalama wa anga hasa kwa ndege ndogo ni mdogo sana hapa nchini.... ndege ndogo nyingi ukifuatilia hawana hata engineering department au zinamilikiwa binafsi tu!!! sijui ni shirika gani hili lakini kwa route iyo nadhan ni auric air!!!
 
Tanapa wamefanikisha uokoaji wa ndege husika ndani ya ziwa manayara wah

dah! Ndugu ziwa manyara hakuna mamba na pia si sehemu zote zenye vipoko kwani ni ziwa la maji chumvi na viboko hawaishi sehemu hizo ila wanaisha kwenye mito na mifereji ambayo ina maji yasiyo na chumvi
 
Air Tanzania, sikio la kufa! Ni hujuma au uchawi, hili shirika mbona linateketea kwa kasi ya kutisha sana?

Wewe mburula hiyo ni ndege ya kampuni ya TANZANAIR na sio Air Tanzania!!
 
kikosi cha uokoaji cha shirika la TANAPA wamesaidia uokoaji abiria wote wapo salama...MASHRKA KAMA HAYA NI MFANO WA KUIGWA HAYANA URASMU
 
Back
Top Bottom