wakyagara wakinyora
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 735
- 288
- Thread starter
- #41
wameokolewa.shukrani kwa wote waliotoa msaada wa zoezi zima la uokoaji
marejesho asante sana kwa mlisho nyuma a.k.a feedback a.k.a mrejeshoWameshaokolewa mkuu, wote wako salama.
hao abiria ni mabilionea?
Lilikuwepo hata kabla ya Air Tanzania. One of the oldest in Tz.Duh, nilifikiri mwandishi amekosea tu kuandika, kumbe kweli kuna shirika la ndege linaitwa tanzanair? Sijawahi kulisikia.
ok si unajua tena mambo ya arusha.....wote ni mabilioneani mamilionea tu kama matola.
Air Tanzania = Tanzanair
Duniani kote inafanyika hivo, ikitokea ajali ya ndege ni lazima uchunguzi ufanyike kujua chanzo cha ajali. Hizo sababu ulizotoa wewe zimekaa ki-shehe Yahya zaidi.JK style, unataka iundwe tume??? Sababu ni uchakavu wa hizo ndege na uzembe wa mamlaka husika.>>>
Abiria wote wameokolewa,Mungu ni mkubwa.Pilot aliomba kubadili mwelekeo atue Arusha kwa dharura ikashindikana kuwahi akatua ziwani.
thanks God
Air Tanzania = Tanzanair
unashukuru kwa watu kupata majanga au
Ndege inatolewaje ziwani? Au ndo kwaheri?