Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,784
- 109,957
Abiria wote wameokolewa,Mungu ni mkubwa.Pilot aliomba kubadili mwelekeo atue Arusha kwa dharura ikashindikana kuwahi akatua ziwani.
Kwa maneno haya ina maana ndege imetua ziwani kwa dharura na wala sio kuwa imeanguka ziwani