Ndege yaanguka ziwa Manyara

Ndege yaanguka ziwa Manyara

Abiria wote wameokolewa,Mungu ni mkubwa.Pilot aliomba kubadili mwelekeo atue Arusha kwa dharura ikashindikana kuwahi akatua ziwani.

Kwa maneno haya ina maana ndege imetua ziwani kwa dharura na wala sio kuwa imeanguka ziwani
 
ok, taarifa zimefika.
swali langu:mbona ndege ata ikijikwaluza tu na watu wawili inaonekan"big issue" kweli mpaka breaking newz...mara habari zilizotufikia hivi punde, lakini huko kwenye gari zetu za mkaa , au dala dala, au za mnadani zinamwaga abiria wa kutosha huwa inaoenekana ishu "minor" sana , hivi kwanini wa tz tunazikweza xana wakati kuna vyombo vya usafiri vinamajnga zaidi ya hivyo vindege vyetu. ni hayo tu.

Mmh jamaa una akili wewe, nidai beer moja jioni
 
Ziwa manyara si kama karai tu so wasingeweza kujaza, tena saivi maji yanakuwa nusu unakatiza kwa mguu toka huku lowland forest hadi kiwandani minjingu
 
Hao watu walikuwa wanatoka bukoba kwenye msiba, mume wangu ni mmoja wa walioenda msibani, na alinipa hii taarifa saa 8, ila wameokolewa wote
 
Kwahiyo nauli ndo inafanya ishu kuwa Breaking news??

pigia mstari mkuu, ndio maana tukidanja wengi kwenye madala madala yetu au bus za mikoani nauli ikijumlishwa inakua kubwa inabidi itangazwe kama breaking nyuuuuz ila kibus kimoja ainachuniwa tu. :tongue:
 
Back
Top Bottom