LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,389
...au kurahisisha sema, maji yakikatika masaa sita Masaki/Mikocheni/Mbezi beach sio wala engineer wa dawasko anaenda kusimamia zoezi la kuyarejesha bali waziri mkuu lakini wakati huo huo Yombo/Mnyamani visima vikikauka mwaka mzima hata mjumbe wa shina hajui!ok, taarifa zimefika.
swali langu:mbona ndege ata ikijikwaluza tu na watu wawili inaonekan"big issue" kweli mpaka breaking newz...mara habari zilizotufikia hivi punde, lakini huko kwenye gari zetu za mkaa , au dala dala, au za mnadani zinamwaga abiria wa kutosha huwa inaoenekana ishu "minor" sana , hivi kwanini wa tz tunazikweza xana wakati kuna vyombo vya usafiri vinamajnga zaidi ya hivyo vindege vyetu. ni hayo tu.
Nawapa pole waliopata hio ajali. Lakini ufike wakati sasa ufanyike uchunguzi wa kina kujua chanzo cha hizi ajali za ndege hasa ukanda huo manake kuna nyingine ilianguka recently
hao abiria ni mabilionea?
Ndege ya kampuni ya tanzanair iliyokuwa ikitokea bukoba kuelekea zanzibar,imeanguka hivi punde katika ziwa manyara.mpaka muda huu bado inaelea majini,abiria wote sita pamoja na pilot wa saba bado wamo ndani ya ndege.taarfa za hivi karibuni zinasema kuna boti imetoka serena kwenda kuwaokoa.
Nitaendelea kuleta updates
source:niko na mtu ambaye anawasiliana na mmoja wa abiria waliomo ndani ya ndege hiyo.
hao abiria ni mabilionea?
hao abiria ni mabilionea?
hao abiria ni mabilionea?
Air Tanzania, sikio la kufa! Ni hujuma au uchawi, hili shirika mbona linateketea kwa kasi ya kutisha sana?
Nauli yako na wao inafanana?
Wameshatolewa na wote wako salama, Mungu ashukuriwe.
Mungu awaokoe
Air Tanzania = TanzanairWapi imesemekana ni Air Tanzania?
Duh, nilifikiri mwandishi amekosea tu kuandika, kumbe kweli kuna shirika la ndege linaitwa tanzanair? Sijawahi kulisikia.