Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Mungu ni mkubwa! Mimi ni muoga sana wa kupanda ndege... Mara kwa mara huwa naangalia kipindi cha "second from disaster" cha National geographic channel. Acheni tu abiria wa ATC waliokuwepo katika ndege iliyopata ajali watafikiri mara 2 kupanda ndege tena...