Ndege ya ATCL Yapata Kizaazaa Mwanza

Sitakujibu kitu!...sick and tired!..i hate childish questions...nimesema wenye details zaidi watuambie, unaniuliza mimi...kweeek!
Naona 'dose' zangu za jana zilikuwa ni kali kwa wengi! Im sorry! Wabongo msiambiwe ukweli!
 
Taarifa nilizoskia sasa hivi ni kwamba ndege ya ATCL imeanguka mwanza baada ya kuhama katika njia ya kurukia wakati ikitua..habari njema ni kwamba hakuna walioumia..tunazidi kufuatilia..

PakaJimmy,
Kichwa cha habari kimekaa ki -comedy comedy
 
wajameni; ndege haijaanguka, ila imetua vibaya na kugusa pua chini... abiria wako poa ila ndege bado iko eneo la tukio na ndio watu wanfanya taratibu za kuiondoa kwenye hiyo site

Nadhani pia it is too early kujua kama ni weather, chombo au human error kilicholeta hayo....

The good news ni kwamba hakuna fatalities
the bad news ni kwamba ATCL sasa inabaki hoi zaidi japo kwa few days/hours na abiria inabidi waangalie ustaarab mwingne> abiria watoako mwanza kuja dar leo asubuhi kwa ATC naona waangalie ustaarab mweingine
 
PJ, unanipa wasiwasi na chanzo cha habari yako!
Ndege ilikuwa inatua MNZ, sawa lakini ilikuwa inatokea wapi? Arusha? Dar? Kigoma? Nairobi?
ili nini? watu wengine kwa kujifanya wataalam wa maswali!
 
the news ni kwamba hakuna ndege inayotua au kupaa hadi ndege iondoke eneo la tukio na hakuna vifaa vya kuivuta hiyo ndege

so leo Mwanza is offically disconnected from Dar kwa njia ya ndege

poleni ATCL
 
the news ni kwamba hakuna ndege inayotua au kupaa hadi ndege iondoke eneo la tukio na hakuna vifaa vya kuivuta hiyo ndege

Hivi hawajasema chanzo cha ajali ni kuteleza tu?
Hapa subili itaundwa tume kuchunguza tukio majibu mtapewa kipindi cha uchaguzi.
 
Poleni kwa mshtiko wasafiri. Tumshukuru Mungu kama moja ya post ilivyosema hakuna aliyeumia.
 
Daa afadhali kama hakuna aliyeumia.Mi nilistuka kweli nilijiua watu watakuwa ama injured or died.
 
wajameni; ndege haijaanguka, ila imetua vibaya na kugusa pua chini... abiria wako poa ila ndege bado iko eneo la tukio na ndio watu wanfanya taratibu za kuiondoa kwenye hiyo site

Nadhani pia it is too early kujua kama ni weather, chombo au human error kilicholeta hayo....

The good news ni kwamba hakuna fatalities
the bad news ni kwamba ATCL sasa inabaki hoi zaidi japo kwa few days/hours na abiria inabidi waangalie ustaarab mwingne> abiria watoako mwanza kuja dar leo asubuhi kwa ATC naona waangalie ustaarab mweingine

Afadhali imeharibika kwa njia hiyo kuliko ingetumbukia ziwani au kuangukia kwenye miamba hapo mwanza... bora tunajua moja kwamba No More ATCL kuliko kuwa na Flying Coffin:(
 
Ni kweli Pakajimmy na katika ndege hiyo aliwepo kakaangu hii ndo Coment yake

Hivi Ndivyo ilivyokuwa kwa ATC leo asubuhi. Nilikuwa mmoja wa abiria ndani ya ndege hii lakini naona Mungu bado ana mpango nami na wengine wote waliokuwamo humu, . THIS IS WHY WE SHOULD KEEP Praying for ourselves and one another.

Thanx to god watu wote wamenusurika sasa tungekuwa tunaongea mengine ..
 
Back
Top Bottom