njeeseka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,371
- 976
Naombeni kujua hii ina maana au inaashiria nini.
Ni kwamba wakati najenga kibanda changu nilipomaliza kupaua siku kadhaa baadae nilikuja gundua kuna njiwa wa porini wamejenga kiota ktk mbao za paa kwa ndani.
Baada ya kuziba kwa kuzunguka nje na baadae kuhamia wale njiwa waliondoka, ila nimegundua kuna ndege wengine wamenjenga pembeni ya nyumba, na baadae km miezi mitano mbele wale njiwa wamerud na wamejenga kiota chao pembeni kwa nje karibu na kenopi.
Sijapata tatizo lolote wala usumbufu wowote kwani pia napenda hawa viumbe.
Ninachotaka kujua kama kuna mahusian yoyote na mambo ya kiroho.
Ni kwamba wakati najenga kibanda changu nilipomaliza kupaua siku kadhaa baadae nilikuja gundua kuna njiwa wa porini wamejenga kiota ktk mbao za paa kwa ndani.
Baada ya kuziba kwa kuzunguka nje na baadae kuhamia wale njiwa waliondoka, ila nimegundua kuna ndege wengine wamenjenga pembeni ya nyumba, na baadae km miezi mitano mbele wale njiwa wamerud na wamejenga kiota chao pembeni kwa nje karibu na kenopi.
Sijapata tatizo lolote wala usumbufu wowote kwani pia napenda hawa viumbe.
Ninachotaka kujua kama kuna mahusian yoyote na mambo ya kiroho.