Mambo hadharani bila kifichoHa ha haa hayo mahaba yakoje
Wala usijali ni jirani wema,Aaah may be, lkn kwa dsm hamna miti mikubwa ni ile ya kupanda tu
Mkuu nakuonea wivu... laiti ningekuwa mimi. Ndege siku zote huchagua kuweka viota vyao sehemu ambazo wanaona ni salama kwa wao na mayai/makinda yao. Japo siamini imani potofu lkini kwangu mimi naona mnyama au ndege wa porini anapoamini yupo salama anapokuwa kwenye mazingira ya nyumbani kwako basi ni baraka tena! Ushauri: Ikiwezekena boresha maeneo waliyowekea viota ili waongezeke. Niliwahi kwenda kutembelea mzungu mmoja ambaye nyumba yake ilikuwa na maua mengi mpaka yakawa kama kichaka hivi. Basi kulikuwa na bata maji waliotoka ziwani wakatagia kwenye maua. Jamaa alikuwa na furaha ya ajabu na ukitaka kukosana nae basi uwabughudhi wale mabata!Naombeni kujua hii ina maana au inaashiria nini.
Ni kwamba wakati najenga kibanda changu nilipomaliza kupaua siku kadhaa baadae nilikuja gundua kuna njiwa wa porini wamejenga kiota ktk mbao za paa kwa ndani.
Baada ya kuziba kwa kuzunguka nje na baadae kuhamia wale njiwa waliondoka, ila nimegundua kuna ndege wengine wamenjenga pembeni ya nyumba, na baadae km miezi mitano mbele wale njiwa wamerud na wamejenga kiota chao pembeni kwa nje karibu na kenopi.
Sijapata tatizo lolote wala usumbufu wowote kwani pia napenda hawa viumbe.
Ninachotaka kujua kama kuna mahusian yoyote na mambo ya kiroho.
Kuna kitu nimepata kwako, thank, nitawaboreshea mazingira.Mkuu nakuonea wivu... laiti ningekuwa mimi. Ndege siku zote huchagua kuweka viota vyao sehemu ambazo wanaona ni salama kwa wao na mayai/makinda yao. Japo siamini imani potofu lkini kwangu mimi naona mnyama au ndege wa porini anapoamini yupo salama anapokuwa kwenye mazingira ya nyumbani kwako basi ni baraka tena! Ushauri: Ikiwezekena boresha maeneo waliyowekea viota ili waongezeke. Niliwahi kwenda kutembelea mzungu mmoja ambaye nyumba yake ilikuwa na maua mengi mpaka yakawa kama kichaka hivi. Basi kulikuwa na bata maji waliotoka ziwani wakatagia kwenye maua. Jamaa alikuwa na furaha ya ajabu na ukitaka kukosana nae basi uwabughudhi wale mabata!
hiyo ni bahati, ningekuwa ni mimi hapo mboga imekuja yenyewe ningekumbusha zangu za vijijini enzi zileee, tena njiwa wa pori anakuwa mkubwa na ana nyama kuliko wa kufugwa. ningemwotea tu amelala namkamata kumnyonyoa, naandaa pilipili ya unga na chumvi, ndimu/limao, bizari na moto wa mkaa. nachonga fimbo nyembamba afu namchomeka kuanzia chini hadi juu na kumpakaa hivyo vitu vyote abanikwe kwa polepole, hamna haraka. akiiiva nakumbushia maisha yangu ya utoto yooote. kwasababu utoto wangu nimewinda sana hao.Naombeni kujua hii ina maana au inaashiria nini.
Sijapata tatizo lolote wala usumbufu wowote kwani pia napenda hawa viumbe.
Ninachotaka kujua kama kuna mahusian yoyote na mambo ya kiroho.
Mmmh hivi kweli umekua? Mbona km bado enzi zako za kuwinda hujaachahiyo ni bahati, ningekuwa ni mimi hapo mboga imekuja yenyewe ningekumbusha zangu za vijijini enzi zileee, tena njiwa wa pori anakuwa mkubwa na ana nyama kuliko wa kufugwa. ningemwotea tu amelala namkamata kumnyonyoa, naandaa pilipili ya unga na chumvi, ndimu/limao, bizari na moto wa mkaa. nachonga fimbo nyembamba afu namchomeka kuanzia chini hadi juu na kumpakaa hivyo vitu vyote abanikwe kwa polepole, hamna haraka. akiiiva nakumbushia maisha yangu ya utoto yooote. kwasababu utoto wangu nimewinda sana hao.
Ukitaka akimbie ongeza kitu chochote hapo alipo jenga labda uoteshe mti ukuwe akiwa anoana zaidi wape chakula tu we tupa mtama au ulezi tupa chini na usikae karibu nao hawaijati kelele !Kuna kitu nimepata kwako, thank, nitawaboreshea mazingira.