Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
ni kwasababu tu nakaa mjini huku, nikirudi village nafasi ikipatikana nawinda kama kawaida mkuu. mtu hawezi kuacha asili yake.Mmmh hivi kweli umekua? Mbona km bado enzi zako za kuwinda hujaacha
ni kwasababu tu nakaa mjini huku, nikirudi village nafasi ikipatikana nawinda kama kawaida mkuu. mtu hawezi kuacha asili yake.Mmmh hivi kweli umekua? Mbona km bado enzi zako za kuwinda hujaacha
anaforce kuongopewa damnUnatafuta kudanganywa
Aiseee unabahati sana najaribu kila njia ndege wagamie kwangu imeshindikanaNaombeni kujua hii ina maana au inaashiria nini.
Ni kwamba wakati najenga kibanda changu nilipomaliza kupaua siku kadhaa baadae nilikuja gundua kuna njiwa wa porini wamejenga kiota ktk mbao za paa kwa ndani.
Baada ya kuziba kwa kuzunguka nje na baadae kuhamia wale njiwa waliondoka, ila nimegundua kuna ndege wengine wamenjenga pembeni ya nyumba, na baadae km miezi mitano mbele wale njiwa wamerud na wamejenga kiota chao pembeni kwa nje karibu na kenopi.
Sijapata tatizo lolote wala usumbufu wowote kwani pia napenda hawa viumbe.
Ninachotaka kujua kama kuna mahusian yoyote na mambo ya kiroho.
Njiwa ni ishara ya amani, upendo na bahati pia...ama ulitaka bundi...!!?Niko Dsm, labda km wamenifuata baada ya kuhamia huku
njiwa anapenda amani na upendo, ndio maana hawezi jenga sehem inayohatarisha maisha yake na ya watoto wake.Ooooh real?
Ooooh real?
Tengeneza banda ulitundike sehemu ili kuzuia wasiingie kwenye dari wakae bandani. Basi, kwa kifupi fanya kama ni wa kwako unawafuga.Hawa ndege wamekuwa kero mno nyumbani kwangu,wamehamia kwenye dari kila nikiziba wanatafuta upenyo wanaingia,nikiziba wanalala kwenye bati mpaka wapate pa kuingilia,nimeshapiga sana manati hawaondoki,wanafanya uharibifu mkubwa hadi wanakera,ninawahamishaje hawa??ni wa kufugwa ila ndio wamehama makwao kuja kuweka makazi kwangu.,naombeni ushauri tafadhali
Safi sana, na nyongeza ni kuwa hao ni viumbe kama viumbe wengine hapo kwako wamepapenda tu usianze kuingiza tafakuri nyingine utajikuta unafungua mlango mwengine ambao usije weza ufunga.Wewe ndio uliwakuta ukakata miti na kuharibu nyumba zao.
Sasa wape nafasi nao tena wawekee na maji na kila asubuhi mtama jioni wali
Siku mzee koboko akiweka makazi kwa mmoja wetu sijui itakuwa baraka au.....Mkuu nakuonea wivu... laiti ningekuwa mimi. Ndege siku zote huchagua kuweka viota vyao sehemu ambazo wanaona ni salama kwa wao na mayai/makinda yao. Japo siamini imani potofu lkini kwangu mimi naona mnyama au ndege wa porini anapoamini yupo salama anapokuwa kwenye mazingira ya nyumbani kwako basi ni baraka tena! Ushauri: Ikiwezekena boresha maeneo waliyowekea viota ili waongezeke. Niliwahi kwenda kutembelea mzungu mmoja ambaye nyumba yake ilikuwa na maua mengi mpaka yakawa kama kichaka hivi. Basi kulikuwa na bata maji waliotoka ziwani wakatagia kwenye maua. Jamaa alikuwa na furaha ya ajabu na ukitaka kukosana nae basi uwabughudhi wale mabata!
Ni kweli kabisa anataka kuongopewa, pia yeye katika nafsi yake kuna kitu kakijenga ila hapa anataka kuthibitisha tu.anaforce kuongopewa damn
Kwako wanafwata msosi hao na ukiwapatia mtama hawatoki tena haoMimi bwana wale njiwa wa kufugwa wawatu sijui wanatoka wapi wanajaa juu ya paa langu na kushuka chini kula pumba za kuku wangu wanashinda siku nzima kwangu mpaka wenye nao wanakasilika