Yusuph Wernery
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 316
- 147
Ahsante
Sahihi kabisaSafi saaana PIA WAZIRI AZIRUDISHE SHULE ZA MAZOEZI ZIWE CHINI YA WIZARA ,ZILIKUWA ZINASAIDIA VYUO KUPATA WALIMU BORA.
Kuzifufua ni ndoto wanaochaguliwa shule hizo toka primary hawaendi wanaosoma hapo ni kwa hisani ya mkuu wa shule na afisa elimuNampongeza sana kwa maamzi hayo yenye faida kwa taifa. Namshauri akumbuke kuzifufua shule maalum zilizotelekezwa ambazo zimezalisha wataalam wengi mfano Moshi tech, Ifunda, Tanga tech, Kibaha, Mzumbe, Tabora na nyingine zote ambazo zimebaki kama magofu tu!
Unashika cha kwako???? Subiri ushike cha kwako na soma kwa bidii ili uwe na hamu ya kuingia chuo ndo uyajue hayo ya GPA huko, sasa ukianza kuzijulia huku chini hutakuwa na hamu ya kufika zinakohusika, unakuwa kama mwanamke ama mwanaume anaenza umalaya akiwa mdogo so akifika umri wa kuolewa anakuwa hana hamu ya kuolewa kwa kuwa alishaliwa ama amekula mpaka kumelegea kotenyie mnataka tusielewe kitu tukishika vyeti vya makaka zetu walioko chuo.mwishoe kuuliza kaka gpa ndo nini!!!!
Kwahiyo yafanyike makolokocho ili nyie mje muweze kusoma vyeti vya kaka zenu, soma ili uje ushike cheti chakonyie mnataka tusielewe kitu tukishika vyeti vya makaka zetu walioko chuo.mwishoe kuuliza kaka gpa ndo nini!!!!