Nchii yetu hakuna Chama cha siasa chenye wanafiki kama CCM

Nchii yetu hakuna Chama cha siasa chenye wanafiki kama CCM

Son of Israel from Africa

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,893
Reaction score
2,794
Real wala sina salamu

CCM na watu wake ni wanaa kichizi

Sijapata kuona wanafiki kama wanaccm.

Wao wenyewe wametuleea Nchimbi

Wakampamba weee oo ndio chaguo letu oo anakijua chama o sijui amekulia ndani ya CHAMA

SASA BAADA TUU KUJIUZULUU .

WAMEJIFUNGIA SIJUI HATA WAMEJIKUSANYA SAA NGAPI.

Wamekuja na Jamaa yetu wa Ddm

Sasa ivi ooo ni mzuri .oo haumizi watu ooo sijuii

Kaaa nao mbali haw jamaaa maaan ni wanafikia vibaya sana.

Pinga kwa hoja

Mwisho nimemsikia yule jama sijui ni wa Jumuya w Wazazi leusi flani

Jana ameongea vitu vya kijinga sana

Eti ukitaka kuu nyoka mpige kichwa
Kwa tafsri yangu ndogo wapo wengine ndani ya Ccm.

Wanafikii tuu na hawanaga hata diri wal direction

Na kwenye CCM wanaongozaa kuwa wanafaki na machawa na Wachawi wanaongozaa ni watu wenye asili Kanda ya Ziwa ukiacha mkoa wa Kagera
Mafano sijui Makonda,msukuma ,cheki akina biteko akina bash wana hawa kichizi
 
Real wala sina salamu

CCM na watu wake ni wanaa kichizi

Sijapata kuona wanafiki kama wanaccm.

Wao wenyewe wametuleea Nchimbi

Wakampamba weee oo ndio chaguo letu oo anakijua chama o sijui amekulia ndani ya CHAMA

SASA BAADA TUU KUJIUZULUU .

WAMEJIFUNGIA SIJUI HATA WAMEJIKUSANYA SAA NGAPI.

Wamekuja na Jamaa yetu wa Ddm

Sasa ivi ooo ni mzuri .oo haumizi watu ooo sijuii

Kaaa nao mbali haw jamaaa maaan ni wanafikia vibaya sana.

Pinga kwa hoja

Mwisho nimemsikia yule jama sijui ni wa Jumuya w Wazazi leusi flani

Jana ameongea vitu vya kijinga sana

Eti ukitaka kuu nyoka mpige kichwa
Kwa tafsri yangu ndogo wapo wengine ndani ya Ccm.

Wanafikii tuu na hawanaga hata diri wal direction
Halafu wanafamilia,wanaongea pumba Hadi wanasahau!
 
Real wala sina salamu

CCM na watu wake ni wanaa kichizi

Sijapata kuona wanafiki kama wanaccm.

Wao wenyewe wametuleea Nchimbi

Wakampamba weee oo ndio chaguo letu oo anakijua chama o sijui amekulia ndani ya CHAMA

SASA BAADA TUU KUJIUZULUU .

WAMEJIFUNGIA SIJUI HATA WAMEJIKUSANYA SAA NGAPI.

Wamekuja na Jamaa yetu wa Ddm

Sasa ivi ooo ni mzuri .oo haumizi watu ooo sijuii

Kaaa nao mbali haw jamaaa maaan ni wanafikia vibaya sana.

Pinga kwa hoja

Mwisho nimemsikia yule jama sijui ni wa Jumuya w Wazazi leusi flani

Jana ameongea vitu vya kijinga sana

Eti ukitaka kuu nyoka mpige kichwa
Kwa tafsri yangu ndogo wapo wengine ndani ya Ccm.

Wanafikii tuu na hawanaga hata diri wal direction
Kupambwa na kuasi vinahusianaje?
 
Real wala sina salamu

CCM na watu wake ni wanaa kichizi

Sijapata kuona wanafiki kama wanaccm.

Wao wenyewe wametuleea Nchimbi

Wakampamba weee oo ndio chaguo letu oo anakijua chama o sijui amekulia ndani ya CHAMA

SASA BAADA TUU KUJIUZULUU .

WAMEJIFUNGIA SIJUI HATA WAMEJIKUSANYA SAA NGAPI.

Wamekuja na Jamaa yetu wa Ddm

Sasa ivi ooo ni mzuri .oo haumizi watu ooo sijuii

Kaaa nao mbali haw jamaaa maaan ni wanafikia vibaya sana.

Pinga kwa hoja

Mwisho nimemsikia yule jama sijui ni wa Jumuya w Wazazi leusi flani

Jana ameongea vitu vya kijinga sana

Eti ukitaka kuu nyoka mpige kichwa
Kwa tafsri yangu ndogo wapo wengine ndani ya Ccm.

Wanafikii tuu na hawanaga hata diri wal direction
 

Attachments

  • 1000024076.jpg
    1000024076.jpg
    45.1 KB · Views: 1
  • 1000059788.jpg
    1000059788.jpg
    17.9 KB · Views: 1
  • IMG-20260824-WA0073.jpg
    IMG-20260824-WA0073.jpg
    38.2 KB · Views: 1
Ilitakiwa watokee wanaomuunga mkono waziwazi na kumtetea nchimbi bila kujali watafukuzwa chamani. Siasa ni ushetani, hakuna mwanasiasa asiye mnafiki, muongo, mchawi/mshirikina ni watenda dhambi wakubwa ingawa hujifanya wanampenda Mungu. Watu wa Mungu siku zote wako kinyume na wanasiasa, huwakemea kwa dhambi zao watubu, wakishupaza shingo huishia pabaya
 
Nchimbi sio mbaya kivile ndani ya chama chake, bungeni pangeibuka pande mbili za kumuunga mkono na kumpinga ila wanaomuunga mkono wamenywea kulinda maslahi yao binafsi na kuogopa kushughulikiwa ikibadi wapige kura za ndio kinafiki. Nchimbi ni kiongozi wa ngazi ya juu hawezi kuwa against odds peke yake ndani ya chama bila kuwa na backup. Hata kama wanaogopa migawanyiko ndani ya chama ukweli utaendelea kuwa ukweli na utajitenga na unafiki
 
Nchimbi sio mbaya kivile ndani ya chama chake, bungeni pangeibuka pande mbili za kumuunga mkono na kumpinga ila wanaomuunga mkono wamenywea kulinda maslahi yao binafsi na kuogopa kushughulikiwa ikibadi wapige kura za ndio kinafiki. Nchimbi ni kiongozi wa ngazi ya juu hawezi kuwa against odds peke yake ndani ya chama bila kuwa na backup. Hata kama wanaogopa migawanyiko ndani ya chama ukweli utaendelea kuwa ukweli na utajitenga na unafiki
yaani mlitegemea ccm wamtetee nchimbi ? hv unajua nguvu ya chairman ? ccm wanafiki?
 
Siku zote siasa ni unafiki mtupu, huinua na hushusha. Wamempamba na kumuinua deo kinafiki. Wakampigia kura ya kumuidhinisha kwa 100% bila hata kura moja kuharibika.
Mkuu siyo kila nchi ina unafiki wa kiwango cha Bongo. Tanzania ni level nyingine halafu siku hizi hakuna tena aibu kwenye siasa. Wanajua wananchi wengi hawajielewi, wapo wapotu ndiyo ndiyo maana imekuwa hivi.
 
Ukiwa madarakani watakusifu na kukupamba ukitoka tu au ukaenguliwa wanaanza kukusagia kunguni, hao ni wafwata upepo na tune, ni wanafki waliokubuhu, wako tayari hata kukana mama zao au baba zao ili waendelee kubaki madarakani
 
Mkuu siyo kila nchi ina unafiki wa kiwango cha Bongo. Tanzania ni level nyingine halafu siku hizi hakuna tena aibu kwenye siasa. Wanajua wananchi wengi hawajielewi, wapo wapotu ndiyo ndiyo maana imekuwa hivi.
Napingana na wewe kusema wananchi wengi hawajielewi labda kama unajizungumzia wewe na watu wako. Wananchi wanajielewa sana ni vile hawa wehu wanatumia nguvu ya vyombo vya ulinzi na usalama, kifupi mtutu wa bunduki.
 
Napingana na wewe kusema wananchi wengi hawajielewi labda kama unajizungumzia wewe na watu wako. Wananchi wanajielewa sana ni vile hawa wehu wanatumia nguvu ya vyombo vya ulinzi na usalama, kifupi mtutu wa bunduki.
Asante sana sana kwa kurahisha dhana yangu! Wananchi wako wangapi vs vyombo vya ulinzi na usalama? Mazee, usiniambie una akili za nyumbu 1000 kumkimbia simba mmoja! Huko ndiko kutojielewa sasa. KUTOJIELEWA = kutojua ufanye nini japo una uwezo wa kutatua tatizo. Kwa taarifa: Historia inaonyesha pale wananchi wanapoungana pamoja (kama wanajielewa) hakuna anayeweza kuwazuia.
 
Real wala sina salamu

CCM na watu wake ni wanaa kichizi

Sijapata kuona wanafiki kama wanaccm.

Wao wenyewe wametuleea Nchimbi

Wakampamba weee oo ndio chaguo letu oo anakijua chama o sijui amekulia ndani ya CHAMA

SASA BAADA TUU KUJIUZULUU .

WAMEJIFUNGIA SIJUI HATA WAMEJIKUSANYA SAA NGAPI.

Wamekuja na Jamaa yetu wa Ddm

Sasa ivi ooo ni mzuri .oo haumizi watu ooo sijuii

Kaaa nao mbali haw jamaaa maaan ni wanafikia vibaya sana.

Pinga kwa hoja

Mwisho nimemsikia yule jama sijui ni wa Jumuya w Wazazi leusi flani

Jana ameongea vitu vya kijinga sana

Eti ukitaka kuu nyoka mpige kichwa
Kwa tafsri yangu ndogo wapo wengine ndani ya Ccm.

Wanafikii tuu na hawanaga hata diri wal direction

Na kwenye CCM wanaongozaa kuwa wanafaki na machawa na Wachawi wanaongozaa ni watu wenye asili Kanda ya Ziwa ukiacha mkoa wa Kagera
Mafano sijui Makonda,msukuma ,cheki akina biteko akina bash wana hawa kichizi
 

Attachments

  • 675c679920d4d64c27f242780da68a29.webp
    675c679920d4d64c27f242780da68a29.webp
    261.3 KB · Views: 1
Mimi sina shida kwa kumteua Huyu jamaa maana ni lazima angetakiwa apatikanee

Sijawai kuona shida yake .

Shida tuu ni unafiki wa hawa ccm
 
Back
Top Bottom