Nchi imemshinda na Chama chake kimemshinda; aombe wawekezaji?

Inasikitisha maana mambo yanayofanyika sasa ndani ya nchi hii yanasikitisha. Jk hawezi kusema lolote lile. Kila mtu anasema lake hata kama si msemaji. Ebu fikiria suala la kupanda kwa bei za umeme, kuwalipa dowans, katiba mpya. Maisha bora kwa kila mtanzania yameshindikana sasa aseme nini. Pole sana jk, kwanini usiachie ngazi?
Kwani yeye ni Mungu wa kibaniani? Ukiona hata Kilolambwani nae anataka ajibiwe na Rais basi elewa watu hawajitambui nafsi zao.
 
We vp au na wewe ni mtoto wa fisadi maendeleo gani wapi, demokrasia ip iloyo panuka au ya wizi. Watu wanaumia vijiji, hospitalini mitaani na kwingineko unasema mabadiliko, mbona sisi hatuoni kitu acha kubeza watu
ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.
 
Kitu gani kimemshinda, nchi siyo JF talk show mkuu

Kuwa specific kitu gani kimemshinda?
 
Ndiyo maana sasa nguvu za dola zinatumika badala ya nguvu ya kisiasa,na visingizio viko tele, cha kipumbavu kuliko vyote ni hiki cha "taarifa za kiinteligensia" Sasa twaelewa kwa nini alipozungumzia madai ya wafanyakazi alipambwa na majeshi.Tumshukuru Mungu NEC ilitmiza wajibu wake kwa mwajiri wake, ikatupuuza Watanzania wengine maana yangetokea kama yanayotokea Ivory Coast. Mfano halisi ni yanayotokea Arusha na Mwanza-CCM na mkuu wao wanataka kutawala daima, hata kama hawatashinda daima
 
Na bado atakibilia uhamishoni, maana asipoangalia nchi itakuwa na giza siku zote TANESCO haieleweki
 
"You can cheat some people all the time... and you cheat all the people at some...BUT YOU CANNOT CHEAT ALL THE PEOPLE ALL THE TIME! Naomba tukumbuke quote hii toka kwa Abraham Lincoln. JK na CCm walitegemea propaganda kudanganya umma ndio maana walibadili nyimbo kila mara mara Mkukuta, mkurabita, mkukubi mara kilimo kwanza mara Maisha bora kila Mdanganyika... Ukweli unachukua nafasi oungo wao unazidi kuumbuliwa. JK jumba bovu lamwangukia hana la kufanya.. ni wakati muafaka kuandaa chama cha kutuongoza 2015 9if at all Ccm itafika!!). nacho ni CDM none else!!!
 
ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.


Wewe uliyeanza kuandika humu juzi ndiyo unafikiri ni kwa ajili ya JK. Wenzako tulianzia mabali BCS enzi hizo hata JK hajategemewa kuwa rais. Usimpe sifa ambazo hastahili.

Barabara zenyewe za Mkapa kashindwa kuzimaliza mpaka imebidi amuombe Pombe arudi halafu unasema ajenge nyingine ataweza. Kwanza hizo pesa atapata wapi?? Serikali yake imechacha mpaka wanajaribu kuwatapeli wahisani kwa kuchakachua bajeti. Wewe huoni hata safari zimepungu sasa anakwenda Zambia na Malawi.

Hujasikia wanchapa noti mpya early next year ili kufunika mashimo ya uchaguzi??

Kalaga bhao!!
 
na wavaa mafulana ya kupigia deki. yale ya kijani na njano

Kama kuna watu wananaudhi ni hawa,halafu unamkuta peku,vumbi mwili mzima huyo anayemshabikia yuko ndani ya V8 V/GX anakula kipupwe bonge la tabasamu..kimoyomoyo anawasanifu..!
 
kwani alichaguliwa kuwa raisi?
Si mmempa ulaji afanyeje sasa?

Kama ni kuongoza alishindwa toka zamani,na chanzo cha matatizo ya watanzania alisema hakijui lakini bado "akapewa" muda mwingine wa kula raha kwanini mumsumbue kuja kuongelea matatizo yenu?

Mnataka aanguke tena mpate la kusema?
Ebu mwacheni mwenzenu apunge upepo bana!

nec wana dhambi kubwa -ndio maana tumempiga stop kiravu kuhubiri mpaka atubu dhambi yake.
 
Sasa ndio nimeelewa kwanini wale jamaa wa zeutamu waliiweka ile picha ya mkwer e akinaniliwa, inawezekana sio riziki huyu jamaa
 
Hii nchi ilishamshinda hata kabla hajawa Rais.. Kifupi hakuwa na uwezo wala nia thabiti ya kuwa Rais. Urais umemkumba tu nae akaingia katika mkumbo akajikuta ikulu. Ndo maana baada ya watu kugundua ni famfa akapigwa chini ila akalazimisha ili amalizie muhula wa pili..
 
ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.

cheki kwanza jina unalotumia
 
Inasikitisha maana mambo yanayofanyika sasa ndani ya nchi hii yanasikitisha. Maisha bora kwa kila mtanzania yameshindikana sasa aseme nini. Pole sana jk, kwanini usiachie ngazi?

Huu uoza wa leo haukuanzia hapa. Waloleta huu uoza kwa pamoja ni wale WABOVU waliomo ndani ya CCM. JK alitetea kiti alichokalia AKASHINDWA, lakini bado akabakia pale. Watanzania made a choice. Yes they did choose. Bahati mbaya sana tunaelekea kule ambako mabadiliko hayaletwi kupitia ballot box. Ndo maana, JK hataachia kiti alichopewa akikalie. Sana sana niseme watu wasikurupuke. Iko namna no matter how long it takes. Tayari mambo mazuri tu yanatokea. Mfano ni mtu mzima kwenda kwenye dhifa ya uzinduzi wa mke mpendwa wa Rais juha kabisa huko Malawi. That tells a lot. Wacha mengine. Watanzania walimkataa. Remember that!
 
ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.

sawa maana wewe unaangalia barabara tu
 
"Baba wa taifa mwaka 1995 aliposema kuwa J Kikwete ni mdogo, hakumaanisha umri kwa sababu alikuwa na miaka 45 kipindi hiko.Katiba inasema mtu anaweza kuwa raisi kama ana miaka zaidi ya 40.Alimaanisha uwezo wake ni mdogo sana na wala hafai kuwa raisi"Fred Mpendazoe 2010.Alichoona Nyerere ndicho kinatutesa watanzania.Bado miaka mingine mitano.Na usishangae akabadili katiba imruhusu aendelee kuula.Ni kama pop idol vile.
 
ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.

Kangara sio pombe nzuri. Manake unaongea kama mlevi wa kangara ama umetokea sayari nyingine.
JK ategue saga la Dowans kwanza ndio nitamwona dume otherwise apparently he seems to be intimidated by Rostam,....JK AINT GOT NO BALLS!!!
 
"Baba wa taifa mwaka 1995 aliposema kuwa J Kikwete ni mdogo, hakumaanisha umri kwa sababu alikuwa na miaka 45 kipindi hiko.Katiba inasema mtu anaweza kuwa raisi kama ana miaka zaidi ya 40.Alimaanisha uwezo wake ni mdogo sana na wala hafai kuwa raisi"Fred Mpendazoe 2010.Alichoona Nyerere ndicho kinatutesa watanzania.Bado miaka mingine mitano.Na usishangae akabadili katiba imruhusu aendelee kuula.Ni kama pop idol vile.
 
Inasikitisha maana mambo yanayofanyika sasa ndani ya nchi hii yanasikitisha. Jk hawezi kusema lolote lile. Kila mtu anasema lake hata kama si msemaji. Ebu fikiria suala la kupanda kwa bei za umeme, kuwalipa dowans, katiba mpya. Maisha bora kwa kila mtanzania yameshindikana sasa aseme nini. Pole sana jk, kwanini usiachie ngazi?


Hivi ulitaka nchi imshinde mara ngapi?
 
Back
Top Bottom