Nchi imekauka, mambo hayaendi...

Nchi imekauka, mambo hayaendi...

-%20kipanya.jpeg
 
Nimepita katika mitaa kadhaa ya jiji la dar es salaam.
Nilichokiona kinasikitisha, Mitaa michafu, watu wamekondeana, fremu zimefungwa na zilizofunguliwa wateja ni wa kuhesabu.

Ukizunguuka ukaenda kwa wauza chipsi mafuta wameyachomea chipsi wameyarudia hata mara tano yamekuwa meusi tiii, wanakwambia brother hali ni ngumu hatuwezi kumwaga yale tuliyokwisha tumia.

Ukienda kwa mama ntilie, unawaona jinsi watu wanavyohustle, vijana wanawakopa, hela ya kula ngumu na wanakwambia wanakula mlo mmoja kwa siku.

Siku hizi kuangalia TV majumbani imeshakuwa anasa, hela ya king'amuzi kila mwezi mtihani!

Hali ni ngumu kitaa, hali ni mbaya sana. Nchi imekauka kaukau

Hivi viongozi wa serikali wanalijua hili?. Hivi wako aware na hali ya kiuchumi ya wananchi wao?

Serikali ilijue hili kuwa hali ni mbaya mtaani, data na Takwimu za makusanyo na kukua kwa uchumi hazitusaidii sisi wananchi, matangazo yenu hayajatranslate kwenye hali halisi huku kitaa!

Na hii ni Dar, Jiji kubwa vipi huko mikoani?
" NIKIWA RAIS MTALIMIA MENO "
 
Nimepita katika mitaa kadhaa ya jiji la dar es salaam.
Nilichokiona kinasikitisha, Mitaa michafu, watu wamekondeana, fremu zimefungwa na zilizofunguliwa wateja ni wa kuhesabu.

Ukizunguuka ukaenda kwa wauza chipsi mafuta wameyachomea chipsi wameyarudia hata mara tano yamekuwa meusi tiii, wanakwambia brother hali ni ngumu hatuwezi kumwaga yale tuliyokwisha tumia.

Ukienda kwa mama ntilie, unawaona jinsi watu wanavyohustle, vijana wanawakopa, hela ya kula ngumu na wanakwambia wanakula mlo mmoja kwa siku.

Siku hizi kuangalia TV majumbani imeshakuwa anasa, hela ya king'amuzi kila mwezi mtihani!

Hali ni ngumu kitaa, hali ni mbaya sana. Nchi imekauka kaukau

Hivi viongozi wa serikali wanalijua hili?. Hivi wako aware na hali ya kiuchumi ya wananchi wao?

Serikali ilijue hili kuwa hali ni mbaya mtaani, data na Takwimu za makusanyo na kukua kwa uchumi hazitusaidii sisi wananchi, matangazo yenu hayajatranslate kwenye hali halisi huku kitaa!

Na hii ni Dar, Jiji kubwa vipi huko mikoani?

Mkoani hali ni mbaya zaidi. Mzee wa Chato bye bye. 2020 tunatembea na Tundu Antipas Lissu.
 
Kwa Dar unayoizungumzia:
1) Barabara ambazo hazikuwa gazipitiki zinafanyiwa ukarabati
2) Shule za Serikali ambazo kawaida ya watoto kusongamana, kukaa chini, walimu kufanyia kazi chini ya miti au chumba kimoja, hali inabadilika.
3) Hospitali, Vituo vya Afya, na Zahanati ambako kila aina ya uovu usiolingana na usafi wa afya ulionekana, mambo siyo hivyo tena.

Kwa Tanzania bakuri lilokuwa linatalembezwa kuomba misaada, sasa limesafishwa na kufungiwa kabatini.

AU unaishi nchi gani ambayo umetembelea mitaa hiyo?


Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe unaizungumzia Dar es salaam gani?
Ya kwenye TV TBC?

Bakuri gani limefungiwa kabatini?

It seems uko out of touch na reality ya kinachoendelea nchini!
 
Kuna dada mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye hotel kubwa sana hapa Dar, nilimuomba tukafyatuane, akanitolea nje kuwa ana mchumba kamaliza chuo anatafuta kazi na akipata wataanza kuishi pamoja na kufunga ndoa, aisee yule dada akapunguzwa kazi pamoja na watu wengine huku mchumba wake hajapata kazi mpaka leo, siku moja nikamkuta bar zetu hizi za kawaida za uswahilini, aisee alinichangamkia huyo huwezi amini kuwa alinitolea nje, nikaomba kwa mara nyingine tena, yaani nilichukua mzigo kiulaini kama nanawa vile, sasa uliza shughuli yake nilikuwa napiga mechi kama ugomvi, cha kushangaza kesho yake tena yupo kwenye meza mpaka leo hii ni mchepuko wangu
Hahahahaaaaaa
Mpira uliojirudia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Dar unayoizungumzia:
1) Barabara ambazo hazikuwa gazipitiki zinafanyiwa ukarabati
2) Shule za Serikali ambazo kawaida ya watoto kusongamana, kukaa chini, walimu kufanyia kazi chini ya miti au chumba kimoja, hali inabadilika.
3) Hospitali, Vituo vya Afya, na Zahanati ambako kila aina ya uovu usiolingana na usafi wa afya ulionekana, mambo siyo hivyo tena.

Kwa Tanzania bakuri lilokuwa linatalembezwa kuomba misaada, sasa limesafishwa na kufungiwa kabatini.

AU unaishi nchi gani ambayo umetembelea mitaa hiyo?


Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga kwa hisani ya Jiwe unasumbua sana. Deni la nchi limepaa tutalipa sisi na wajukuu wetu kwa ujenzi wa chattel.
Muda utazungumza kama hamtatuambia mmehamia Rwanda na Burundi mkituachia maumivu ya madeni.
 
Ujinga kwa hisani ya Jiwe unasumbua sana. Deni la nchi limepaa tutalipa sisi na wajukuu wetu kwa ujenzi wa chattel.
Muda utazungumza kama hamtatuambia mmehamia Rwanda na Burundi mkituachia maumivu ya madeni.
Ujenzi wa kiwanja hicho unawala akili za wapinzani wa Serikali
hadi wamesahau agenda zao za mzingi ambazo ziliwapa kujulikana hadi kufikia kuwaingiza Ikulu!

Kweli wajinga ndio waliwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dada mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye hotel kubwa sana hapa Dar, nilimuomba tukafyatuane, akanitolea nje kuwa ana mchumba kamaliza chuo anatafuta kazi na akipata wataanza kuishi pamoja na kufunga ndoa, aisee yule dada akapunguzwa kazi pamoja na watu wengine huku mchumba wake hajapata kazi mpaka leo, siku moja nikamkuta bar zetu hizi za kawaida za uswahilini, aisee alinichangamkia huyo huwezi amini kuwa alinitolea nje, nikaomba kwa mara nyingine tena, yaani nilichukua mzigo kiulaini kama nanawa vile, sasa uliza shughuli yake nilikuwa napiga mechi kama ugomvi, cha kushangaza kesho yake tena yupo kwenye meza mpaka leo hii ni mchepuko wangu
Umekuwa mchumba wake?
 
Enzi hizi usipotumia akili ya ziada utakufa na njaa. Bahati mbaya Watanzania wengi wanategemea KUSAIDIWA na siyo kupambana. Mentally tumefeli toka utotoni.
 
Tukiwamaliza wapinzani na kumaliza kuvunja nyumba za watu, tuwasiliane
 
Wacha niendelee kusoma maoni ya watu tu hapa
 
Acha ujinga wewe, toka hapo kwa shemeji yako! Mimi nipo MWanza, nafuga kuku wa kienyeji, nina oda ya mayai ya kienyeji hadi wateja nawakimbia....kwasasa hivi nazalisha tray 2 tu kwa siku.(2 X 15,000 X 28) jibu unalo mwenyewe.
Kama utaweza njoo nikupe mitetea 3 na jogoo moja kisha baada ya miezi 6 urudi hapa jf uandike upuuzi wako.

Kama unafanya tu hii biashara nina uhakika hupati faida kwenye hii biashara yako. Wewe ni mtu unayepoteza muda wako tu. Hizi ndio kazi zisizo na tija, tusidanganyane hapa.

Unalipa kodi shilingi ngapi kwenye kila tray?
Kwanza una leseni ya biashara kweli wewe?
Bado sijauliza kama una EFD Mashine

Alafu ukiambiwa hali ni mbaya unaleta kibesi, wewe ni mhuju uchumi tu kama huna habari bado wewe hujaathirika na kimachoitwa wapiga dili. Kwahiyo kaa kwa kutulia


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
Back
Top Bottom