- Thread starter
- #61
Mnapiga sana vibomu vya buku na jero, wajinga sana nyie!
Bora uwaambie
Mnapiga sana vibomu vya buku na jero, wajinga sana nyie!
Kama Redio ya taifa Tbc inachezesha kamari mimi ni nani nisicheze
Ajira zenyewe ngumu. Kipindi cha Jakaya mtu akisomea ualimu na afya ni moja kwa moja kwenye ajira ila alipoingia Magufuli akafuta ajira.
Acha wacheze
Sisi wote tumezaliwa wanaume. Dada zako wanapigwa miti sana mpk unahisi na mimi ni dada?makufuli alimchukua dada yako ?
Economic crisis! Ilishawahi kutokea miaka ya 1933s nchini ufaransa, wahuni wakahamia USA, Ndiyo ikawa home gambling, miji mikubwa kama Las Vegas, New York City and Hong Kong,ndiko ulikoanzia ule mchezo maarufu Deci, pyramid scheme system Nchi inapita Wakati mgumu kidogoWapendwa binafsi nmekua nikichukizwa na kufadhaishwa sana kwa jinsi vitendo vya kamari na bahati nasibu zilivyoshamiri kwenye jamii yetu, nmekua nikijiuliza maswali kadhaa kama taifa tunaelekea wapi ,upi mstakabali wa vijana wetu na ubunifu kwa ujumla ili kuboresha ustawi wetu kama taifa.
Vyombo vya habari navyo vimekua mstari wa mbele kuanzisha michezo yao ya kubahatisha ilihali wanajua wazi njia hiyo inawatajirisha na kuzidi kumdhoofisha mtanzania mnyonge.
Chukulia mfano bahati nasibu ya mtu kupokea laki 5 kwa kutuma shs 1000 kwenda namba ya kampuni, kama watz mil1 wakituma hiyo elfu1 manake wasimanizi wanapokea bil1 alafu wanatoa laki5 kwa mshindi, hii kitu haikubaliki na inazidisha umaskini kweny jamii yetu, naomba kama taifa tujiunge na kupinga michezo hii inayozidi kuangamiza taifa letu.
Nawasilisha
radio ya taifa tbc umeifanya ni mungu wako yaani wao wakifanya naweww lazima ufanye, shwain