Nimeweka kama mfano, kama utagundua nineweka private sector tu,,,
Mfano kazi ya kupasua kokoto, haiitaji mtaji zaidi ya nyundo na nguvu zako, hii inaweza kuajili watu milion 10,, kinachotakiwa ni utashi wa watu,
Kazi ya kufyatua tofali za udongo na kuchoma,, mtaji ni jembe, koleo na pumba za mpunga, tu, unafyatua, unapanga tanuru, unachoma, unauza tofali,, haina mtaji mkubwa, inataka utashi tu,, hii nchi nzima inaweza kuajiri watu, milioni 5,
Kukusanya chupa za plastics, ni kazi nzuri,, lakini inataka utashi wako tu, na inalipa,
Dreva wa bodaboda,, hii inataka uaminifu tu na kujua kuendesha boda boda,
Ukuli,, hii inataka nguvu tu, hawa makuli kwa siku wanaingiza hadi 50,000,,

Kazi ni nyingi mno