Nchi imegeuka ya wacheza kamari!

Nchi imegeuka ya wacheza kamari!

Mishe zime stuck

Ajira zimeshindwa tengenezwa

Kilichobaki kamali na kuingia kukata mauno bongo fleva

Ova
 
Mishe zime stuck

Ajira zimeshindwa tengenezwa

Kilichobaki kamali na kuingia kukata mauno bongo fleva

Ova
Ajira zipo sana mbona, sema uvuvi wa watu, na kutaka vitu vya rahisi,,
Bodaboda inaajili watu milioni 10,
Wapiga debe, conductors, tingo, dreva milioni 2,
Wabeba mizigo milion1.
Machinga milion 10
Mama ntilie milion 1
Fundi selemala laki 2
Fundi welding laki 2
Makanika elfu 50
Fundi uashi elfu 50
Fundi bomba elfu 10
Fundi rangi elfu 5
Fundi viatu elfu 10
Fundi cherehani elfu 50
Fundi tiles, elfu 10
Wachimba mchanga.
Wapasua kokoto.
Wachimba zahabu.
Barmaid.
Mpesa,,
Wakulima milioni 30
 
Inasikitisha!!!

Kila mtu anataka apate pesa just kuandika namba ya kampuni sijui herufi fulani,kinashangaza zaidi ni karibia radio zote wanafanya hivi nadhani baada ya kuona wasikilizaji wamepungua na matangazo mengi ya biashara yamehamia mitandaoni wakaona wapige kupitia huko ila ukweli ni wanavunja uti wa mgongo wa taifa kwa kupenyeza akili za uvivu kwa vijana

Umesema vema sana,kama taifa lazma tufanye jambo kuiokoa jamii yetu
 
Mpumbavu mmoja unaongea...

Kijana ajira unategemea wapi Ale.

Nikiamua kuishi maisha yangu unanifuatilia...

Hela ya kubet unanipa.


Acha tuishi maisha tuliyoamua kuishi

Unaonekana wazi kuwa una ubinafsi wa hali ya juu,zamani wazaz wetu hawakwenda shule na waliishi na kutulea,au jiulize n nchi gani huko ilioendelea kwa watu wake kucheza kamari,tumia kichwa chako kugundua chanzo sahihi cha mapato
 
Ajira zipo sana mbona, sema uvuvi wa watu, na kutaka vitu vya rahisi,,
Bodaboda inaajili watu milioni 10,
Wapiga debe, conductors, tingo, dreva milioni 2,
Wabeba mizigo milion1.
Machinga milion 10
Mama ntilie milion 1
Fundi selemala laki 2
Fundi welding laki 2
Makanika elfu 50
Fundi uashi elfu 50
Fundi bomba elfu 10
Fundi rangi elfu 5
Fundi viatu elfu 10
Fundi cherehani elfu 50
Fundi tiles, elfu 10
Wachimba mchanga.
Wapasua kokoto.
Wachimba zahabu.
Barmaid.
Mpesa,,
Wakulima milioni 30

Umenena vema
 
Mchezo wa kamari unatamba dunia nzima siyo Tanzania peke yake!

Ni plan B ya ajira hasa kwa vijana wasio na ajira ambao wanazidi kuongezeka kila siku! Lakini pia ni kuongeza kipato kwa sababu siyo kila siku utapoteza ukicheza, ndiyo maana hata maprofesa wa vyuo vikuu wanacheza! Kwa mfano, mimi nilikuwa sina hela kwa sikukuu ya christmas na mwaka mpya hivi majuzi! Nikajipinda kucheza jackpot kwenye sport pesa! Nilisuka mikeka yangu mitatu tu kwa elfu moja moja kila mkeka, hivyo nilitumia shilingi elfu tatu kwa mikeka mitatu.

Nilifanikiwa kupata jackpot bonus ya mkeka mmoja kati ya mitatu ambapo nilipata Tshs 4, 770,000/- na ushee! Sasa mpaka hivi ninapochapa huu ujumbe nipo kicheko!
Safi sana mkuu na mimi naamini ipo siku nitatusua pesa ndefu kupitia beting
 
Ajira zipo sana mbona, sema uvuvi wa watu, na kutaka vitu vya rahisi,,
Bodaboda inaajili watu milioni 10,
Wapiga debe, conductors, tingo, dreva milioni 2,
Wabeba mizigo milion1.
Machinga milion 10
Mama ntilie milion 1
Fundi selemala laki 2
Fundi welding laki 2
Makanika elfu 50
Fundi uashi elfu 50
Fundi bomba elfu 10
Fundi rangi elfu 5
Fundi viatu elfu 10
Fundi cherehani elfu 50
Fundi tiles, elfu 10
Wachimba mchanga.
Wapasua kokoto.
Wachimba zahabu.
Barmaid.
Mpesa,,
Wakulima milioni 30
Kati ya hizi ajira ulizozitaja hapo juu wewe huwa unafanya ipi?
 
Plastick bottles collectors.
Public shithouse supervisor.
Home manager(house gals/boy)
Kazi nyingi sana zipo
 
Ajira zipo sana mbona, sema uvuvi wa watu, na kutaka vitu vya rahisi,,
Bodaboda inaajili watu milioni 10,
Wapiga debe, conductors, tingo, dreva milioni 2,
Wabeba mizigo milion1.
Machinga milion 10
Mama ntilie milion 1
Fundi selemala laki 2
Fundi welding laki 2
Makanika elfu 50
Fundi uashi elfu 50
Fundi bomba elfu 10
Fundi rangi elfu 5
Fundi viatu elfu 10
Fundi cherehani elfu 50
Fundi tiles, elfu 10
Wachimba mchanga.
Wapasua kokoto.
Wachimba zahabu.
Barmaid.
Mpesa,,
Wakulima milioni 30
Hesabu hazina uhalisia kabisa
 
Hesabu hazina uhalisia kabisa
Nimeweka kama mfano, kama utagundua nineweka private sector tu,,,
Mfano kazi ya kupasua kokoto, haiitaji mtaji zaidi ya nyundo na nguvu zako, hii inaweza kuajili watu milion 10,, kinachotakiwa ni utashi wa watu,
Kazi ya kufyatua tofali za udongo na kuchoma,, mtaji ni jembe, koleo na pumba za mpunga, tu, unafyatua, unapanga tanuru, unachoma, unauza tofali,, haina mtaji mkubwa, inataka utashi tu,, hii nchi nzima inaweza kuajiri watu, milioni 5,
Kukusanya chupa za plastics, ni kazi nzuri,, lakini inataka utashi wako tu, na inalipa,
Dreva wa bodaboda,, hii inataka uaminifu tu na kujua kuendesha boda boda,
Ukuli,, hii inataka nguvu tu, hawa makuli kwa siku wanaingiza hadi 50,000,, 🤷‍♂️
Kazi ni nyingi mno
 
Back
Top Bottom