Nchi ilipofika mnyama wa serengeti analindwa vizuri kuliko raia

Nchi ilipofika mnyama wa serengeti analindwa vizuri kuliko raia

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,026
Reaction score
2,106
CCM imeifikisha nchi sehemu mbaya sana, kwa sasa raia unawindwa kama paka na ukipatikana unapigwa kama mbwa mwizi na kuteswa ikiwezekana uuwawe kabisa.

Why ? Ni hawa matajiri wanafanya haya? Au vigogo wanaopora haki za raia wa kawaida ? Inahitaji kuandamana hadi viongozi watusikie?
 
Kiburi cha watawala uchwara kinatufikisha hapa
 
Back
Top Bottom