Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 3,772
- 4,913
Maprofesa na madaktari ni watu wenye Elimu kubwa baada ya kufanya tafiti mbalimbali.
Pili ni watu ambao wanasimamia kile wanachoamini maana wamekifanyia utafiti
Tatu ni watu wanaolenga kusaidia jamii Kwa kile wanachoamini na kuifanyia utafiti
Maprofesa na madaktari wasiosimamia kile wanachokiamini ni wasanii wa Elimu na hawapaswi kubaki na tittle zao.
Maana yake wanataka kituambia wao wenyewe hawaamini kile walichokifanyia tafiti
Naomba tusaidiane kuwaorodhesha Hao madaktari na Maprofesa uchwara
Pili ni watu ambao wanasimamia kile wanachoamini maana wamekifanyia utafiti
Tatu ni watu wanaolenga kusaidia jamii Kwa kile wanachoamini na kuifanyia utafiti
Maprofesa na madaktari wasiosimamia kile wanachokiamini ni wasanii wa Elimu na hawapaswi kubaki na tittle zao.
Maana yake wanataka kituambia wao wenyewe hawaamini kile walichokifanyia tafiti
Naomba tusaidiane kuwaorodhesha Hao madaktari na Maprofesa uchwara