Chiya Chibi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 484
- 110
Ndg wajumbe nimetafakar kwa muda na nimejiuliza vitu vingi hasa kuanzia utawala wa Mh Mwinyi then Mh Mkapa na Mh Jakaya, hasa Mkapa na Jakaya.
Kiutawala Mwinyi alipiga hatua flan ingawa haikuwalidhisha baadh lakin kwa namna flan ilikuwa ni hatua, Mkapa akapiga hatua kadhaa ambazo ziliwafanya baadh ya watu wapendekeze katiba kubadilishwa ili aongezewa hata miaka mitano tu, lakin katiba ni katiba. Ingawa mwishon inasemekana alikwapua, ila kuna hatua ilionekana kiutawala.
Then akaingia Mh Jakaya kwa kura nying tena zilizovunja record, akionekana ni Rais kijana na mjanja wa mjin ambae angepiga hatua kubwa zaid hasa kwa vijana, lakin sina uhakika kama yale matumain ya wapiga kura 2005 kama bado yapo, na sidhan kama kuna mtu atapendekeza katiba imuongezee muda kama ilivyotokea kwa Mkapa.
Je, ni kwanini nchi imefikia hapa mara baada ya hatua zote hizo tena kwa huyu kiongoz aliyekuwa kwenye serikali zote mbil zilizomtangulia? Kwanini nchi imekuwa na sintofahamu nyingi kwa wakati mmoja na zisizo na majibu ya uhakika? Kwanini uaminifu baina yetu umepungua kwa kiasi kikubwa?
MIGOMO (Madaktari & walimu), RUSHWA (Mawaziri, Wabunge, wakurugenzi wa mashirika ya Uma, Mahakama/Polis n.k) MIGOGORO (Malawi na ziwa Nyasa, Meli ya IRAN na bendera ya TZ, haki na huduma za raia) MAJANGA (Meli kuzama znz, ajal barabaran, Dr Ulimboka na kuhusishwa kwa serikali) na mengineyo hasa kuanzia 2010.
Siupingi utawala wa Jakaya lakini nia yangu ni kujua kwanini hayo yametokea katika utawala huu kwa kiasi kikubwa kuliko tawala zilizopita? Ni wap utawala huu ulijikwaa? Au ni baada ya Lowassa na Richmond?
Je, ni kweli hapa tulipo sasa nchi haitawaliki, yani ipo kiholela tu, viongozi hawaaminiki na hawasikilizwi.?
Kiutawala Mwinyi alipiga hatua flan ingawa haikuwalidhisha baadh lakin kwa namna flan ilikuwa ni hatua, Mkapa akapiga hatua kadhaa ambazo ziliwafanya baadh ya watu wapendekeze katiba kubadilishwa ili aongezewa hata miaka mitano tu, lakin katiba ni katiba. Ingawa mwishon inasemekana alikwapua, ila kuna hatua ilionekana kiutawala.
Then akaingia Mh Jakaya kwa kura nying tena zilizovunja record, akionekana ni Rais kijana na mjanja wa mjin ambae angepiga hatua kubwa zaid hasa kwa vijana, lakin sina uhakika kama yale matumain ya wapiga kura 2005 kama bado yapo, na sidhan kama kuna mtu atapendekeza katiba imuongezee muda kama ilivyotokea kwa Mkapa.
Je, ni kwanini nchi imefikia hapa mara baada ya hatua zote hizo tena kwa huyu kiongoz aliyekuwa kwenye serikali zote mbil zilizomtangulia? Kwanini nchi imekuwa na sintofahamu nyingi kwa wakati mmoja na zisizo na majibu ya uhakika? Kwanini uaminifu baina yetu umepungua kwa kiasi kikubwa?
MIGOMO (Madaktari & walimu), RUSHWA (Mawaziri, Wabunge, wakurugenzi wa mashirika ya Uma, Mahakama/Polis n.k) MIGOGORO (Malawi na ziwa Nyasa, Meli ya IRAN na bendera ya TZ, haki na huduma za raia) MAJANGA (Meli kuzama znz, ajal barabaran, Dr Ulimboka na kuhusishwa kwa serikali) na mengineyo hasa kuanzia 2010.
Siupingi utawala wa Jakaya lakini nia yangu ni kujua kwanini hayo yametokea katika utawala huu kwa kiasi kikubwa kuliko tawala zilizopita? Ni wap utawala huu ulijikwaa? Au ni baada ya Lowassa na Richmond?
Je, ni kweli hapa tulipo sasa nchi haitawaliki, yani ipo kiholela tu, viongozi hawaaminiki na hawasikilizwi.?