Nchi hii haitawaliki tena!

wewe gambba sio yaani ukimpiga chura teke umempunguzia safari,mnazani mnawapiga chadema mkidhani wananchi tuta nyamaza kwa wizi na ujambazi wenu,mwambie baba na mwekiti wako kikwete mwisho wake na cccm yake 2015.......mtake msitake,rais wetu Dr.slaa lazima tumweke madarakani hamtaiba tena kura.mtaficha wapi sura zenu?mafisadi na watoto wa mafisadi kama wewe?f** you
muongezee na hii kwamba vita vitaanzia ccm wakati wa mchakato wa kumpata mgombea uraisi kwa hiyo ni rahisi zaidi kwa ccm kuivuruga nchi kuliko cdm.yangu macho waache washabikie upuuzi wakati mwisho wa siku wote tutatafutana.
 
Kuuliza si ujinga,
Hivi Ndesamburo alishiriki vipi katika kutafuta Uhuru wa Tanganyika?

Swali zuri sana'mimi kusoma kote historia ya wapigania uhuru wetu sijaona jina lla ndesamburo tafadhali tusaidieni na sisi tuwajue wapigania uhuru wetu mwenye ushahidi wa ndesamburo alikuwa mpigania uhuru pls amwage hapa na sisi tujue
 
uuuuuuuh!!ah!ah!ah! Mkuu ilo nyani lina ugonjwa mbaya wa kusinzia hivi hauna tiba ule?teh!teh!teh!magamba majitu ya ajabu sana

Kuna ugonjwa unaitwa Malale unaenezwa na inzi aitwaye Mbung'o. uking'antwa na huyu inzi unapata usingizi kama wa pono.
 
"Nchi hii haitawaliki tena"ni maneno yaliyo tamkwa mzee Ndesamburo mbunge na kada wa chadema mwaka jana baada ya serekali kubaka democrasia mkoani arusha kwa kuua raia ktk maandamano ya amani kupinga ubakaji wa demokrasia ulifanywa na CCM ikishirikiana na serekali yake, ktk mkutano wa kulaaani tendo hilo Ndesamburo alisema kama serekali imeanza kubaka demokrasia na kuua wananchi wake kwa kutumia polisi basi nchi hii haitawaliki tena.....

Tangu mwaka 2010 nchi yetu imekua ikiandamwa na majanga ya kushangaza ambayo mimi binafsi naona kama ni lahana inayotokana na viongozi ambao wameingia madarakani kwa njia chafu kama rushwa na kuchakachua matokeo ya uchaguzi mkuu,watu hawa sio chaguo la wananchi na na wamekua wakilahaniwa na wananchi matokeo yake lahana hizi zinaanza kuonekana wazi kwa matukio yanayoendelea hasa kutokana na kugawa wananchi kutokana na hoja dhaifu,kama udini,ukabila,ukanda na upendeleo ambazo tunaanza kuona matokeo yake:-

1. Udini sasa wazi tunaanza kuona waisilamu wakigomea mipango ya serekali kama sensa na matokeo ya kidato cha nne yaliyotolwa na baraza la mitihani.haya yanatokana na hoja za kidini ambazo wahasisi ni ccm ambazo zinaelekea kutugawa watanzania katika makundi,mfano cuf ilishambuliwa kwa hoja ya udini kuwa ni waislamuna sasa chadema nao wanasingiziwa ni wadini wakati chama kina wafuasi wa dini zote wapagani,waslam na wakristo.

2. Muendelezo wa mauaji kwa chama pinzani cha chadema,mauji yanafanywa makusudi sasa ili kuzima na kutisha harakati za mabadiliko ambapo wamekua wakizima mikutano ya chadema tu,wakiacha matamasha ya fiesta yakiendelea wakati huu wa sensa ni jambo ambalo naona hakuna atakaea vumilia kuicha nchi itawalike kwa kundamimiza baadha ya wananchi katika nchi yao..

3.ubaguzi wa vipato baina ya wanasiasa na watumishi wa kawida.kama wakulima na wafanyakazi ambapo tayari kuna kila dalili ya wanyonywa kushindw kuvulia kundi la wanasiasa na viongozi wandamizi wajuu wa serekali wakipangia na kujilipa mishahara mikubwa na posho nono wakati wateleza sera na mipango kama madaktari na walimu wakigandamizwa nalo linaifanya nchi hii isitawalike siku za usoni...

4. Migomo ya wafanyakazi kama madaktari na walimu inayodumaza maendeleo ya wananchi kwasababu ya kuwalipa maslai duni watumishi hawa muhimu wa serekali,ambao kwasasa serekali inadhani imewadhibiti kwa kukimbilia mahakamani badala ya kutekeleza bado yanafukuta chini kwa chini tusubiri mlipuko wake tena na kila dalili zipo kweli nchi siku za mbele kwa haya haitatawalika kama alivyosema ndesamburo....

5. Dhuluma na unovu unaofanywa na wenye fedha wakishirikiana kudhurumu ardhi za wanyonge na bomoa bomoa isizofuata haki za binadamu ktk makazi ya wananchi migogoro hii nayo siku za mbele itafanya nchi isitawalike kiraisi kama alivyosema ndesapesa......

6. Ubaguzi katika utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu vyuo vikuu ni janga siku za mbele kwani maskini waanbaghuliwa ktk elimu kwa kutumia bodi ya mikopo kitu ambacho siku kitakusanya hasira za wanyonge against wanyanyasaji wao ambao ni serekali na bodi yake ya mikopo itokanayo na kodi zao sioni amani ktk ili......

7. Wazee na pensheni na dhuluma zinazofanywa na mifuko ya ifadhi ya jamii,manyanyaso ktk malipo na hata kudhurummiwa kabisa ambako serekali inakufumbia macho kwa kuwa tu watendaji wake ndio wahusika wakuu hemu ona wazee wa eas sfrica wanavyoangaika kuipata haki yao...kataika alichokisema ndesamburo lizima kiendelee tokea...

8. Wimbi la vijana kukosa ajira na hama hama ya kutoka vijijini kuja mjini ili kwa siku za mbele na hata sasa linaifanya nchi isitawalike kwa uraisi...jamani yapo mengi mno, ambayo tunayaona yanafanya nchi isitulie, ndio maana nchi haipunziki na matukio mfanao, umetoka mgomo wa madaktari umefuata mgomo wa walimu umetoka mgomo wa walimu umefuata mgomo waislamu kugomea sensa, umetoka mgomo wa waislamu na sensa yamefuta mauji ya raia morogoro na mauaji ya mwandishi wa habari iringa na sasa kinachofuata ni mgomo waandishi wa habari dhidi ya serekali na polisi,

Kama wananchi tumechoka kusikia habari mbaya za matukio ya ajabu ajabu wakati wenzetu wakiangaika kuvumbua technolojia mbalimbali sisi tupo busy na majanga na kubuni majanga kama mgawo wa umeme,na mauaji ya raia,haya ni matokeo ya kuingia madarakani viongozi ambao hawajali wananchi waliopata uongozi kwa njia sio halali mafano umejidhihirisha ktk uchaguzi wa igunga na sumbawanga mjini....

Kamwe watu hawa tusitegemeee watuletee maendeleo zaidi tutaendelea kusikia majanga kila kukicha wakati wenzetu wakiwa bize kuvumbua maendeleo kwa staili hii nchi hii haitatawalika kwa raha kama alivyowai kusema filimon ndesamburo......ni yangu maoni na machungu juu ya serekali na inakoipeleka. Asante.

Nomba kuwakisilisha wanajamvi..........

Tafadhari mods wa jf, naomba mulinde uhuru wa mawazo ya watu kwani na nyinyi siku hizi mnabomoa uhuru wanajf kwa kutupia kapuni haja na michango ya wanajanvi wanaotoa uzi kama huu wa kuikosoa sirikali

haya tusubiri tuje gawana hoteli za ndesamburo
 
Kuna ugonjwa unaitwa Malale unaenezwa na inzi aitwaye Mbung'o. uking'antwa na huyu inzi unapata usingizi kama wa pono.

mbung'o wanapatikana polini ina maana huyu bwana anaishi polini........kweli nyani.
 
Swali zuri sana'mimi kusoma kote historia ya wapigania uhuru wetu sijaona jina lla ndesamburo tafadhali tusaidieni na sisi tuwajue wapigania uhuru wetu mwenye ushahidi wa ndesamburo alikuwa mpigania uhuru pls amwage hapa na sisi tujue

Sawasawa, itasaidia kujulishana historia ya nchi yetu.

Ingawa sijamfanyia Ndesamburo probe ya kutosha, because there was no reason, ninachojua kwa uhakika ni kwamba mzee Mtei alikimbia jitihada za kupigania uhuru akaenda kula maisha matamu ya kuajiriwa na wakoloni Kenya. Uhuru ulipopatikana akarudi nchini baada ya kuombwa kusaidia kusukuma gurudumu la maendeleo. Aliweka masharti ya kuja nchini kuijenga Tanganyika, masharti yakakubaliwa kwa maneno, alipoona masharti yake hayatekelezwi kwa vitendo akaondoka zake kwenda Marekani kuenjoy nchi iliyokweishajengwa ingawa kulikuwa na ubaguzi wa rangi lakini hilo kwa Mtei halikuwa tatizo, akakimbia kuijenga Tanganyika.

Baada ya maisha yake kuwa stable enough na sheria za nchi kuruhusu Mtei kaanzisha Chama na anajaribu kuwarubuni watanganyika na wazanzibar kuwa anaipenda sana hii nchi. Kwa vile watu hawafanyi utafiti, wanaamini maneno anayotamka Mtei jukwaani, lakini mwenyewe Mtei anajua moyoni kuwa hayuko tayari kupata taabu kwa ajiri ya nchi hii, kama alivyodhihirisha. Yuko radhi kubaguliwa kwa weusi wake kuliko kushirikiana na watanzania wenzake kujenga nchi yake.
 
Back
Top Bottom