Nchi haina hata mafuta watu mnashangilia

Nchi haina hata mafuta watu mnashangilia

Tuna akiba ya dollar bilion 5.3 za kuweza kuagiza bidhaa kwa muda wa miezi 6. Halafu nchi haina mafuta juzi nilikuwa Kigoma hakuna mafuta jana nimeenda nimepita Mpanda hakuna mafuta.

leo nimefika Sumbawanga hakuna petrol huu ni zaidi ya utoto yaani mikoa zaidi ya 3 hakuna mafuta unakuta mji mzima mafuta yapo sheli moja watu mnagombania mafuta.

Naomba Serikali wafanye kazi la sivyo tunaenda kwenye janga kama la sukari.
kweli bhana...mm kuna boss wangu kaja sumbawanga juzi kakosa mafuta...ikabdi aje huku kjjn kujaza..usije kuta kuna kamchezo kanachezwa ili kupandisha bei yake..maana kwa sasa bei ni chee hatar
 
Tunabembelezana sana nchi hii, serikali iwafutie leseni wapuuzi wote wanaogoma kuuza mafuta kwa bei elekezi.

Isiishie hapo, itaifishwe hivyo vituo na kuwapa wafanyabishara walio tayari kuuza mafuta.
Tatizo siyo bei elekezi huwezi kuwa na bei elekezi kwenye bidhaa ambayo haipo
 
Tuna akiba ya dollar bilion 5.3 za kuweza kuagiza bidhaa kwa muda wa miezi 6. Halafu nchi haina mafuta juzi nilikuwa Kigoma hakuna mafuta jana nimeenda nimepita Mpanda hakuna mafuta.

leo nimefika Sumbawanga hakuna petrol huu ni zaidi ya utoto yaani mikoa zaidi ya 3 hakuna mafuta unakuta mji mzima mafuta yapo sheli moja watu mnagombania mafuta.

Naomba Serikali wafanye kazi la sivyo tunaenda kwenye janga kama la sukari.
Hivi kila kituo cha mafuta kinaitwa shell
 
Tunabembelezana sana nchi hii, serikali iwafutie leseni wapuuzi wote wanaogoma kuuza mafuta kwa bei elekezi.

Isiishie hapo, itaifishwe hivyo vituo na kuwapa wafanyabishara walio tayari kuuza mafuta.
Kabisa,tena washtakiwe kwa kuhujumu uchumi.wafanya biashara wakubwa wa mafuta wanapenda kuumiza walaji.
 
Bei iliposhuka hapa katikati watu wengi walinunua mafuta wakahifadhi nyumbani. Pia wamiliki wanauza mafuta kidogo wakisubiria bei ipande.

Kusema nchi haina mafuta huo ni urongo.
Naona bei imepanda senti kadhaa kama siyo shilingi.
 
kusema kweli kati ya vitu ambavyo nampongeza sana MAGUFULI ni hili suala la mafuta na EWURA. hakuna kipindi ambapo watumia nishati ya mafuta tumeona serikali inafanya kazi kama kipindi hiki. yaani zamani EWURA ilikuwa kama kichaka cha WANYANG'ANYI, bei ikishuka hata mwezi mzima uarabuni Tanzania haishuki. bei ikipanda leo uarabuni basi kesho tanzania napo inapanda. Ntatoa mfano. kuna kipindi katika awamu iliyopita bei ya petrol katika soko la dunia ilishuka mpaka dola 30 kwa pipa ( yaani kama Sh. 350 kwa lita) lakini Tanzania bei ilikuwa zaidi ya sh.1900 kwa lita, unaenda nchi jirani bei iko chini kuliko tz na mafuta wanachukua bandari ya Dar , afu EWURA hawana hata aibu wanatangaza bei kubwa. vitu vingine MAGUFULI anastahili pongezi kwa kweli, hawa watu wametuumiza sana, unatoa elfu ishirini kwa machungu unapta lita 8 tu !!
 
Tuna akiba ya dollar bilion 5.3 za kuweza kuagiza bidhaa kwa muda wa miezi 6. Halafu nchi haina mafuta juzi nilikuwa Kigoma hakuna mafuta jana nimeenda nimepita Mpanda hakuna mafuta.

leo nimefika Sumbawanga hakuna petrol huu ni zaidi ya utoto yaani mikoa zaidi ya 3 hakuna mafuta unakuta mji mzima mafuta yapo sheli moja watu mnagombania mafuta.

Naomba Serikali wafanye kazi la sivyo tunaenda kwenye janga kama la sukari.
Kigoma ipi hiyo isiyo na mafuta!!??
 
Alaah kumbe sasa dawa inakolea? niliandika hapa last week watu wakabeza sana subirini.
 
Kishindo Cha Awamu Ya Tano
Ccm Hoyee!!!!
Tunachukua, Tunaweka, Waaa!!!
Mafiga Matatu, Rais
Mbunge, Diwani
 
Hivi kila kituo cha mafuta kinaitwa shell
ha..haa..haaa shell walishaondoka japo wanarudi kwa mbali lakini kwa sasa hawauzi mafuta! ni kama short pens kuitwa kaptura bukta
 
Bei iliposhuka hapa katikati watu wengi walinunua mafuta wakahifadhi nyumbani. Pia wamiliki wanauza mafuta kidogo wakisubiria bei ipande.

Kusema nchi haina mafuta huo ni urongo.
Bahati mbaya ni kwamba Baiskeli unayo tumia haitumii mafuta zaidi ya nguvu yako ukishiba mihogo ya njiani..wenye magari hatutunzi mafuta nyumbani yanakuwa kwenye Tank ya Gari.
 
Yan iko hivi wenye magari wanatembea sasa na full tank. Zikipungua hata litre 10 zinaongezwa had full. Lazma mafta yaishe
 
kusema kweli kati ya vitu ambavyo nampongeza sana MAGUFULI ni hili suala la mafuta na EWURA. hakuna kipindi ambapo watumia nishati ya mafuta tumeona serikali inafanya kazi kama kipindi hiki. yaani zamani EWURA ilikuwa kama kichaka cha WANYANG'ANYI, bei ikishuka hata mwezi mzima uarabuni Tanzania haishuki. bei ikipanda leo uarabuni basi kesho tanzania napo inapanda. Ntatoa mfano. kuna kipindi katika awamu iliyopita bei ya petrol katika soko la dunia ilishuka mpaka dola 30 kwa pipa ( yaani kama Sh. 350 kwa lita) lakini Tanzania bei ilikuwa zaidi ya sh.1900 kwa lita, unaenda nchi jirani bei iko chini kuliko tz na mafuta wanachukua bandari ya Dar , afu EWURA hawana hata aibu wanatangaza bei kubwa. vitu vingine MAGUFULI anastahili pongezi kwa kweli, hawa watu wametuumiza sana, unatoa elfu ishirini kwa machungu unapta lita 8 tu !!
Umejitahidi, masaa 10 like 1 na hii yangu ya pili
 
Hata huko ruvuma mbinga nako nasikia hakuna mafuta watu wanagombania foleni hadi wanaumizana na jana nasikia wengine walilazwa hospitali baada ya kukanyagana
 
Bei iliposhuka hapa katikati watu wengi walinunua mafuta wakahifadhi nyumbani. Pia wamiliki wanauza mafuta kidogo wakisubiria bei ipande.

Kusema nchi haina mafuta huo ni urongo.
Kwa taarifa yako biashara ya mafuta inanamilikiwa na viongozi, wanachama na wafadhili wa CCM
 
Hata huko ruvuma mbinga nako nasikia hakuna mafuta watu wanagombania foleni hadi wanaumizana na jana nasikia wengine walilazwa hospitali baada ya kukanyagana
kuna Hatatari Ya Kuja Kutokea Maafa Kwenye Vituo Vya Mafuta
 
Back
Top Bottom