Kionambele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2010
- 236
- 93
All we do is win, No matter what!
Yeah mostly! Sheimufulu!
All we do is win, No matter what!
Yeah mostly! Sheimufulu!
Yule aliyepita alisema Ari mpya,nguvu mpya, kasi mpya" kasi mpya kama ya roketi, bla bla, Maisha bora kwa kila mdanganyika anaondoka kila mdanganyika yuko hoi bin taabani isipokuwa wale waliopata mgao wa EPA, DOWANS na ESCROW anakuja huyu mwenye jina, naomba nisilitaje hapa,ni ile kitu wanatumia walevi au wananing'iniza kwa mlango anasema "hapa kazi tu"Acheni kujifariji. Magufuli hahitaji tabasamu wala kelele za mtu. Anasema yeye ni kazi tu. Wengi hawana furaha kwa sababu walidanganyika na nyomi. Wakasahau nyomi sio kura. Sasa rais keshapatikana wala hahitaji tabasamu lako. Anataka ufanye kazi tu.
Mafisadi mjiandae.
Mmepigwa bao la mkono badugu. Kwa maneno mengine "ukibaka" umefanyika ili kuleta domokrasi.Daaagh yaani kama nimesapu vile ninavyo jisikia au kama naumwa maana sielewi kama naota ama watanzania wamethibitisha urofa wao au tumeibiwa maana...
Acheni kujifariji. Magufuli hahitaji tabasamu wala kelele za mtu. Anasema yeye ni kazi tu. Wengi hawana furaha kwa sababu walidanganyika na nyomi. Wakasahau nyomi sio kura. Sasa rais keshapatikana wala hahitaji tabasamu lako. Anataka ufanye kazi tu.
utoto mwingine raha sana
furaha itoke wapi wavivu, wezi, waliofoji vyeti mashaka matupu kaja jamaa kuwaadabisha
mlitaka apite goi goi mshangilie kula raha wakat hamfanyi kazi
mtoa mada upo sahihi kabisa. ...taft ambazo zimewahi fanywa hapo juzi kati zinaonesha tzn ni nchi ya 113 ambayo watu wake hawana furaha....nahis tuna amani ya nje lkn ndani ya mioyo ya watu hakuna amani