share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,063
- 10,478
Inauma sana l
Nchi imedata. Ni bomu linalofukuta.
Inauma sana l
habari wadau..
naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa..
nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele..
hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania...
kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa
Mungu hawezi kulaani kwa kushindwa kulichaguwa jizi fisadi lililotubia nchi yetu.Kwa sisi wenye imani Fulani huwa tunasema wananchi wakilaani nchi yao hata aje nani nchi haitakuwa na maendeleo kwa magufuli hata afanye vipi nchi haiwezi songa maana tumeshailaani mpaka tuje kuitengua hio laana
Na hip laana itaondoka tu pale tutakapo kuwa na imani na mtu atakayetuongoza nb "haki huinua taifa Bali dhambi ni aibu ya watu wote "
Sema sina furaha. Mimi sijalala na wenzangu leo tumekesha kusherehekea ushindi wa tingatinga.
Poleni sana ukawa jahazi lenu limezama jipangeni upya msirudie kuwapaka wanja mafisadi sisi wananchi tumewapaka pilipili pokeeni salamu zangu za rambirambi
Kwani ni lazima watanzania wote tuipende Chadema? Nyie vipiHata kipindi cha Sodoma na Gomola watu wali kesha na kusherehekea kama Ninyi. Lakini sikiliza maneno yanayo semwa na watu hapa kwani Mungu hutenda haki kwa njia nyoofu. Kama CCM imeshinda kwa Ushindi wa haki Taifa hili lita simama Imara. Lakini kama watanzania wali shinda kwenye jua na mvua na kutembea kwa miguu na wengine kutumia hata kile kidogo walicho nacho na kukesha kwa imani wakijua wana kwenda kumchagua Rais wampendaye na haki hiyo ikaenda kuchukuliwa kwa dhuruma Basi mwenyezi mungu atakwenda kuwajibu.
habari wadau..
naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa..
nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele..
hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania...
kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa
Ni kweli mkuu maana fisadi eddo angeturuhusu kuvua kwa KOKORO NA BARUTI Alituahidibaada ya taarifa ya Libovu kutangaza kwamba COLOR=RED]mchoma nyavu ndio kaibuka kidede..[/COLOR]
nilishuhudia baadhi ya kina mama wakishindwa kujizuia na kububujikwa na machozi..
wazo lililonijia kichwani niliwaza kwamba haya yatakua machozi ya furaha.
sijui nilipatia ?