Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nafanya kazi kwenye taasisi ya kikatoliki yenye asilimia 95 ya wakatoliki na kati ya hao walioshangilia ushindi wa magufuli ni asilimia 5. By the way mimi ni mtu wa Mwanza na nimehuzunika haswa!

muhuzunike mfurahi Magufuli rais subirini 2025,uenda mtafurahi
 
Ooohh..!!
Watu wamenunaaa..!! 😨😥👽👽🔥🙇🙇

Pigeni simu, ulizeni kuna nini...? Mpigie yeyote ndugu, jamaa, rafiki, jirani..!! Wengii wamenunaaaa...!!

Aiseeee... kuna nini hakuna FURAHA KABISA...!! Mpaka watoto wa shule ya Msingi wamenunaaaa...😨😷

🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶

Muulize mamako
 
roho inaniuma sana.kutwa nzima leo nimekaa najiuliza hv kweli sisi watanzania wakuchaguliwa Rais na Diamond na wakina Wema sepetu kweli.shame on my country
 
Madactari WA binadamu wanatulaumu wagonjwa kama ndiyo tumemchagua magufuri
 
Ooohh..!!
Watu wamenunaaa..!! 😨😥👽👽🔥🙇🙇

Pigeni simu, ulizeni kuna nini...? Mpigie yeyote ndugu, jamaa, rafiki, jirani..!! Wengii wamenunaaaa...!!

Aiseeee... kuna nini hakuna FURAHA KABISA...!! Mpaka watoto wa shule ya Msingi wamenunaaaa...😨😷

🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
12193803_871216012996938_4770664570136829895_n.jpg
 
Habari wadau.

Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.

Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.

Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.

Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
12063875_161994237482903_1511963938692049995_n.jpg
 
roho inaniuma sana.kutwa nzima leo nimekaa najiuliza hv kweli sisi watanzania wakuchaguliwa Rais na Diamond na wakina Wema sepetu kweli.shame on my country

Diamond na Wema kura zao ni mbili tu haziwezi kuchagua Rais wa nchi, labda kama tafauti ingekuwa ni kwa kura hizo.

Na mimi nakuuliza, hivi kweli watanzania ni wa kuchagua rais ambaye tunamwona kiuhakika kwamba afya yake siyo nzuri? Na wala siulizi hivyo kwa kumkejeli maana maradhi mtu hupewa na Mungu, lakini kuna nini huko ikulu mpaka iwe lazima hivyo?
 
Hatuwaelewi,hatuwasiki. Matokeo ya Mkorea tumeyakataa tumeyakubali ya Nec. Shutup.Tumeishamaliza. Rais ni Dr John P Magufuli aliyechukia anywe sumu afe
 
Wewe upo Burundi?Furaha ipo sema mashabiki wa CCM ni waungwana,wataratibu na wengi wa huruma.Kwa mihemuko waliyokuwa nayo wafuasi wa Lowasa,CCM nao wakishangılıa kwa mihemuko km UKAWA hautakuwa ungwana huo.

Usitafsiri kwa urahisi hivyo. Kushangiriwa ni kukubalika.

Mwl.Nyerere alishangiliwa kwa maana alikubalika.

Mandela alishangiliwa kwa maana alikubalika

Pope Yohane II alishangiliwa,alikubalika.

J.Kikwete alishangiliwa mno mwaka 2005 kwa kuwa alikubalika kuliko marais watangulizi wake baada ya mwl. Nyerere

Rais Oboma wa USA alishangiliwa mno. Sababu, alikubalika.

Kushangiliwa ni dalili ya kukubalika na kupokelewa.

Ni dalili ya kwamba umeikonga mioyo ya watu..
 
Wewe upo Burundi?Furaha ipo sema mashabiki wa CCM ni waungwana,wataratibu na wengi wa huruma.Kwa mihemuko waliyokuwa nayo wafuasi wa Lowasa,CCM nao wakishangılıa kwa mihemuko km UKAWA hautakuwa ungwana huo.

Thubutu!
Leo nilikuwa kwenye barber shop moja. Kulikuwa na vijana kama sita hivi. Hakika ni huzuni tupu. Wanaamini wameporwa ushindi na chama cha lumumba.
 
Uzuri wako umesema kwa maoni yako,kwa maoni yangu watu wanaonizunguka wanafuraha sana hasa baaa ya kuwatosa mafisadi
 
nasubiria kuona kwa mara ya kwanza namba wani akizomewa
 
Habari wadau.

Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.

Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.

Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.

Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
shaurimbaya siku anatangazwa kaliakoo kulikuwa kimya sana dah
 
Last edited by a moderator:
Sipati picha miaka mwingine kumi naishi kwa huzuni sononeko huku nikiisoma namba! Nafikiria plan B.....
 
Back
Top Bottom