Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Mambo ya kibongo Bwana. Unawezaje kuipima nchi iliyo na furaha? Watz ni waelewa sana wameshajua kuwa wapo ktk kipindi cha hapa kazi tu. Ndo maana wapo bizzzzy na kazi tu. Wewe endelea kuzunguka uliangalia waliokuwa wakidhan watakaa nyumbani wakisubiri utajirisho. Amka, zinduka fanya kazi. Ndio masaaa yake. Starehe na kuchekacheka baadae. HAPA KAZI TU!
 
niko moshi.mji hauna uchangamfu wwake. vijana wanazomea waliovaa ccm nakuwaita waiziii. Mungu rudisha furaha ya watanzania
Hivi nyie kila ck mnaibiwa jamani kafanyeni kazi uchaguzi umeisha prezidentiiiiiiiiiiiii ni JPM. KUZOMEA NI DALILI YA ULOFA NA UPUMBAVU. Amkeni
 
Kwa mara ya kwanza nimejisikia huzuni kupita kiasi baada ya matokeo ya urais kutangazwa. Naona ni kama bado tuko kwenye ukoloni fulani vile na wenye koloni lao wameapa kutoliachia huru. Ee Mungu tusaidie.
 
Kwa sisi wenye imani Fulani huwa tunasema wananchi wakilaani nchi yao hata aje nani nchi haitakuwa na maendeleo kwa magufuli hata afanye vipi nchi haiwezi songa maana tumeshailaani mpaka tuje kuitengua hio laana
Na hip laana itaondoka tu pale tutakapo kuwa na imani na mtu atakayetuongoza nb "haki huinua taifa Bali dhambi ni aibu ya watu wote "

Hamna mtu aliyelaani nchi, tunalaani CCM na kwa kuwa imeshalaaniwa muda mrefu haiwezi kuleta mabadiliko, sasa ni lazima tuchague Chama kingine ili tupate mabadiliko kwani hata Magufuli angegombea UKAWA angeshinda uchaguzi.
 
Mlipoambiwa ukawa mtakuwa ukiwa mlibisha ona sasa!
 
Tatizo katiba na tume Sio huru


Kabisaaaaaa... Watu wame TEULIWA RAIS...!!!

Hii katiba ya sasa ndio UGONJWA mkubwa...!!!

TUNATAKA TUME HURU...BILA TUME HURU NI KAZI BURE kufanya UCHAGUZI...!!😨😨😨😨😨😨😨
 
Mtoa mada uko sawa kabisa hali imekuwa mbaya..hata biashara ya magazeti imedoda kabisa , Tv wakiweka tu habari za CCM watu wanazima..redio wakiongea tu habari za ccm watu wanabadilisha chanel...kwenye mabar ndiyo usiseme watu wanamaumivu makali hawataki hata kusikia hizo habari!!!
 
Ooohh..!!
Watu wamenunaaa..!! 😨😥👽👽🔥🙇🙇

Pigeni simu, ulizeni kuna nini...? Mpigie yeyote ndugu, jamaa, rafiki, jirani..!! Wengii wamenunaaaa...!!

Aiseeee... kuna nini hakuna FURAHA KABISA...!! Mpaka watoto wa shule ya Msingi wamenunaaaa...😨😷

🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
 
NCHI IMEJAA HUZUNI KUU.
"Mwenye haki akiwa na amri, watu
hufrai. Bali movu atawalapo watu
huugua Mithali 29;2.
 
Uamuzi wa Obama wa kutuma wana jeshi Syria leo ungefaa zaidi kwa Tanzania ili tuje kufundishwa kile kilicho mtoa Saadam Irak au Kuwait ya Magufuli. Ni bora tuka chapwa Mabomu na wa Amerika kuliko watanzania wenzetu.
 
NCHI IMEJAA HUZUNI KUU.
"Mwenye haki akiwa na amri, watu
hufrai. Bali movu atawalapo watu
huugua Mithali 29;2.
 
Kweli mkuu utadhani kuna msiba wa kitaifa ht waweza nusa kwenye anga. Its obvious haki haikutendeka. Mungu ataonesha njia siku si nyingi. Mungu halali km sisi
 
Back
Top Bottom