Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Wadada wamelia sana. Sisi wanaume tunagugumia kwa maumivu kimya kimya
 
Diamond na Wema kura zao ni mbili tu haziwezi kuchagua Rais wa nchi, labda kama tafauti ingekuwa ni kwa kura hizo.

Na mimi nakuuliza, hivi kweli watanzania ni wa kuchagua rais ambaye tunamwona kiuhakika kwamba afya yake siyo nzuri? Na wala siulizi hivyo kwa kumkejeli maana maradhi mtu hupewa na Mungu, lakini kuna nini huko ikulu mpaka iwe lazima hivyo?

We mwenyewe marehem mtarajiwa.. Yawezekana ata usiugue ukajikwaa tu..... Tetea ukipendacho kwa style yoyote ila usikosoe uumbaji.... Asilimia kubwa ya wa Tz tuna uzuni kweli tena sio kidogo
 
Hata huku mwanza jamani yani ni Kama msiba wa kiongozi aliyekuwa akipendwa na wananchi: lakini cha ajabu kuna wahindi wameonyesha Furaha ya ajabu wakati walikuwa kimyaaa na wenye hofu kabla ya matokeo:
 
Acheni kujifariji. Magufuli hahitaji tabasamu wala kelele za mtu. Anasema yeye ni kazi tu. Wengi hawana furaha kwa sababu walidanganyika na nyomi. Wakasahau nyomi sio kura. Sasa rais keshapatikana wala hahitaji tabasamu lako. Anataka ufanye kazi tu.

Hiyo kazi anafanya na nani?
 
Wadau, unajua uongo una mwisho wake. CCM wana siri kubwa na hawataki watu waijue. Ila wana mwisho wake. Hii kubebana ina mwisho wake
 
Ukicheck kwenye page za BBC swahili huko fb kuhusu uchaguzi, ndio unaweza kujua wabongo wanawaza nini aisee.
 
Nyie Watu wa ajabu sana! Eti hamna furaha !? Wavivu wa kufikiri ndo hawana furaha kwa mtazamo wangu! Hivi mtu mwenye upeo mzuri alikuwa anaweza kuwaza kuwa LOWASSA anaweza kuwa Rais wa JMT?
 
ni ngumu sana kuitawala nchi huku watu wanakuchkia moyoni
 
Malofa na wapumbavu mnajifariji. Nchi iko kwenye furaha na amani tele na kila mmoja anajipanga kwa kazi. Miaka 3 baadaye mtakuja kuona kwamba watanzania walifanya chaguo sahihi badala ya kuchagua wapiga dili.
 
Acheni ushamba nchi hii ina wastaarabu eti siyo wanywa viroba. Ulitaka iwe moto iweje?
 
Magufuli hajashinda huu uchaguzi kwa hiyo yote uliyoandika hayana maana...

UKAWA wajilaumu wao wenyewe kwa ujinga wao, wangeibana sana ccm kwa swala la escrow, katiba mpya na ufisadi, na watz walikuwa na imani kubwa nao, gia ya angani ndo imeifikisha ukawa hapa-waliachana na ajenda ya rushwa na ufisadi, Dr.Makufuli kaitumia sana na ndo maana watu wamemwani sana kuliko Lowasa ambaye hakuwa msafi kabisa, waliamua kutumia pesa yake ili kupata nafasi ya urais-na imegonga mwamba.
 
Wadau, unajua uongo una mwisho wake. CCM wana siri kubwa na hawataki watu waijue. Ila wana mwisho wake. Hii kubebana ina mwisho wake

magufuli rais wa mpito kwa ajili ya ku-safeguard interest za mafisiem
 
Hadi watoto wa shule ya msingi wanasikitika..!? Ukiwauliza wanasema ELIMU itakuwa hovyo kama kawaida, waalimu wamenunaa, wazazi wao wamechukia..!!

The Nation mourns...!!!😨👽

The Heavenly God, will act ASAP..!!
 
Watanzania zaidi ya 40%waliamini Kuwa matatizo ya nchi yetu yanaweza kutatuliwa na sera na mawazo mbadala na yale ya ccm ndo maana waliwapigia kura wapinzani,kwa Kuwa matatizo yanayoikabili Tanzania katika sector zote yanamgusa kila mtanzania na hivyo kuhitaji akili ,ujuzi na mchango wa kila mtanzania kuyatatua!naamini Magufuli utatanguliza maslahi mapana ya Taifa letu na si ya ccm pekee,mtangulizi wako kwa makusudi au kwa kutokujua aligeuza upinzani kama vita,wewe naamini hautakuwa hivyo na unajua upinzani si vita Bali ni mawazo mbadala na unafahamu Kuwa kwa kuwa tuna watanzania 45,000,000 basi tuna solution 45,000,000 za matatizo yetu kama nchi na jukumu lako kubwa itakuwa ni just to pick an optimum solution out of the 45,000,000solutions kwa kila tatizo linalo tukabili kama taifa.Mfano ili kumaliza titizo la msongamano wa magari jijini dar una solution zaidi ya 6,000,000 za wakazi wa Dar juu ya tatizo lao,ukiweza kuwatumia kwa kuwekeza kwenye serikali shirikishi,kazi yako itakuwa rahisi na huo ugumu unaouona kama ulivyosema jana hautauona,Kwa kutambua ukweli huu sitegemei kumuona mtu kama James Mbatia,Tundu Lisu,Zito Kabwe,Mnyika John,Halima Mdee wakiwa nje ya baraza la mawaziri.nikiri Kuwa sijakupigia Kura yangu na kiukweli matokeo yaliyotangazwa yameniumiza sana kiasi cha kupunguza ari yangu ya kulitumikia Taifa langu kwa Kuwa sijawahi ona jipya ndani ya utawala Wa ccm na ninaamini wanaoipigia Kura ccm wengi wao wanaipigia kwa ushabiki tu na kutojitambua, mfano Mimi Hapa naishi na mama yangu mzazi Hapa nyumbani kwangu,mama ni ccm damu,siku moja nikamuuliza mama kwa nini unaipenda ccm,mama yangu akanijibu ccm imemulea,kumbuka wakati anasema ccm imemulea anakaa kwangu mpaka sasa,je nani anamlea mama yangu?ccm au Mimi mwanae?hao ndo wapiga Kura wa ccm,watu wanao jitambua kwa sasa wanaumwa na wamepoteza ari ya kulitumikia Taifa letu mbaya zaidi wanaumwa kutokana na matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu, mbaya zaidi asilimia kubwa ya hao walioumizwa na matokeo hayo ndo Nguvu Kazi ya Taifa ukilinganisha na wale wapiga Kura wa ccm, watu wa aina ya mama yangu,,please chonde chonde na kuomba uangalie maslahi mapana ya Taifa letu na si maslahi ya ccm,serikali ya Mseto inaweza kurudisha ari yetu ya kulitumikia Taifa letu tena.ccm mlikuwa na kauli Mbiu ya umoja ni ushindi,sasa jiulize kama umoja huo hauhitajiki kwenye ujenzi wa Taifa letu na chukua hatua.nikutakie maisha mema pamoja na kuumwa kwangu na kupoteza ari na matumaini
 
Wanafiki hao,; wabunge zaidi ya 205 CCM halafuCHADEMA wabunge 35 bado useme wanaumwa? Labda kuna kuna ugonjwa mwingine.Hivi mfano huyo LOWASSA angeshinda. Je angeongozaje nchi na wabunge 60 [UKAWA]?. CCM wangemburuza tu maana wao ndiyo wangekuwa wanapinga kila kitu.Kubalini tu kuwa mamvi katokota.
 
Back
Top Bottom